Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.
1. Dawa ya Theophylline ni mojawapo ya dawa ambayo ufanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji hasa kwa wagonjwa ambao wanabanwa , kwa hiyo dawa hii usaidia hasa kwa watu wenye asthma, ufanya kazi hiyo kwa kulegeza sehemu za mfumo wa upumuaji na hewaa uweza kupitia kwa urahisi na mgonjwa uweza kuendelea vizuri na afya njema.
2. Dawa hii kwa kawaida huwa kwenye mfumo wa vidonge na nyingine upitia kwenye mishipa ya damu na ikipitia kwenye damu inapaswa kwenda pole kwa mda walau wa dakika ishilini na pia inawezekana kupitia kwenye matako au kwenye paja ila ikitolewa kwa mtindo huo usababisha kuwepo kwa viupele sehemu hizo ndio maana mara nyingi utolewa kama vidonge na kupitia kwenye damu .
3. Pia dawa hii kwenye matumizi huwa na maudhi madogo madogo kama vile kutapika na kichefuchefu, kizunguzungu, maumivu makali ya kichwa, mapigo ya moyo kwenda mbio, maumivu kwenye misuli, pia sukari inawezekana kupanda.
4. Dawa hii huwa na milligrams kuanzia mia Moja mpaka mia tatu na dozi utolewa kulingana na umri na uzito hii ni dozi ya mfumo wa vidonge. Na pia milligrams huwa tofauti kwa wale wanaotumia dawa kupitia kwenye mishipa ya damu, dozi uanzia milligrams mia mbili hamsini mpaka miatano kwa watu wazima na kwa watoto uanzia mia ishilini na tano mpaka mia mbili hamsini na Tano.
5. Kwa hiyo dawa hii inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya na isitumiwe kiholela au kwa mazoea kwa sababu inawezekana kuwepo kwa matatizo kwa baadhi ya watumiaji.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.
Soma Zaidi...Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto
Soma Zaidi...Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
Soma Zaidi...Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.
Soma Zaidi...