Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.
1. Dawa ya Theophylline ni mojawapo ya dawa ambayo ufanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji hasa kwa wagonjwa ambao wanabanwa , kwa hiyo dawa hii usaidia hasa kwa watu wenye asthma, ufanya kazi hiyo kwa kulegeza sehemu za mfumo wa upumuaji na hewaa uweza kupitia kwa urahisi na mgonjwa uweza kuendelea vizuri na afya njema.
2. Dawa hii kwa kawaida huwa kwenye mfumo wa vidonge na nyingine upitia kwenye mishipa ya damu na ikipitia kwenye damu inapaswa kwenda pole kwa mda walau wa dakika ishilini na pia inawezekana kupitia kwenye matako au kwenye paja ila ikitolewa kwa mtindo huo usababisha kuwepo kwa viupele sehemu hizo ndio maana mara nyingi utolewa kama vidonge na kupitia kwenye damu .
3. Pia dawa hii kwenye matumizi huwa na maudhi madogo madogo kama vile kutapika na kichefuchefu, kizunguzungu, maumivu makali ya kichwa, mapigo ya moyo kwenda mbio, maumivu kwenye misuli, pia sukari inawezekana kupanda.
4. Dawa hii huwa na milligrams kuanzia mia Moja mpaka mia tatu na dozi utolewa kulingana na umri na uzito hii ni dozi ya mfumo wa vidonge. Na pia milligrams huwa tofauti kwa wale wanaotumia dawa kupitia kwenye mishipa ya damu, dozi uanzia milligrams mia mbili hamsini mpaka miatano kwa watu wazima na kwa watoto uanzia mia ishilini na tano mpaka mia mbili hamsini na Tano.
5. Kwa hiyo dawa hii inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya na isitumiwe kiholela au kwa mazoea kwa sababu inawezekana kuwepo kwa matatizo kwa baadhi ya watumiaji.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...