Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.
1. Dawa ya Theophylline ni mojawapo ya dawa ambayo ufanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji hasa kwa wagonjwa ambao wanabanwa , kwa hiyo dawa hii usaidia hasa kwa watu wenye asthma, ufanya kazi hiyo kwa kulegeza sehemu za mfumo wa upumuaji na hewaa uweza kupitia kwa urahisi na mgonjwa uweza kuendelea vizuri na afya njema.
2. Dawa hii kwa kawaida huwa kwenye mfumo wa vidonge na nyingine upitia kwenye mishipa ya damu na ikipitia kwenye damu inapaswa kwenda pole kwa mda walau wa dakika ishilini na pia inawezekana kupitia kwenye matako au kwenye paja ila ikitolewa kwa mtindo huo usababisha kuwepo kwa viupele sehemu hizo ndio maana mara nyingi utolewa kama vidonge na kupitia kwenye damu .
3. Pia dawa hii kwenye matumizi huwa na maudhi madogo madogo kama vile kutapika na kichefuchefu, kizunguzungu, maumivu makali ya kichwa, mapigo ya moyo kwenda mbio, maumivu kwenye misuli, pia sukari inawezekana kupanda.
4. Dawa hii huwa na milligrams kuanzia mia Moja mpaka mia tatu na dozi utolewa kulingana na umri na uzito hii ni dozi ya mfumo wa vidonge. Na pia milligrams huwa tofauti kwa wale wanaotumia dawa kupitia kwenye mishipa ya damu, dozi uanzia milligrams mia mbili hamsini mpaka miatano kwa watu wazima na kwa watoto uanzia mia ishilini na tano mpaka mia mbili hamsini na Tano.
5. Kwa hiyo dawa hii inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya na isitumiwe kiholela au kwa mazoea kwa sababu inawezekana kuwepo kwa matatizo kwa baadhi ya watumiaji.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za kisukari, kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kisukari vilevile kuna dawa zake ambazo utumika kurekebisha sukari kama imepanda au kushuka.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
Soma Zaidi...Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.
Soma Zaidi...Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno
Soma Zaidi...