Madhara ya Tiba mionzi

Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani.

1. Kupoteza hamu ya chakula.

Hii ni mojawapo ya madhara ambayo utokea kwa watumiaji wa mionzi kwa sababu ya kuwepo kwa dawa kwenye damu usababisha kuingilia mfumo wa  hamu ya kula kwa hiyo mgonjwa ushindwa kula, kwa hiyo mgonjwa anapaswa kula kidogo kidogo na kwa kila mara na pia anapaswa kula vyakula kama vile supu  na vyakula vingine vilaini Ili aweze kuruhusu dawa kufanya kazi maana dawa bila chakula mambo hayaendi vizuri.

 

2. Mgonjwa usikia uchovu mara kwa mara.

Kwa sababu mionzi uharibifu seli zinazosababisha saratani na vile vile zile ambazo ni nzima nazo uharibiwa na mionzi kwa hiyo  tunajua kabisa maisha yetu msingi wake ni seli kwa hiyo seli zikifa  bila kufikia mda wake na mambo mengine mwilini yanakwama ndo maana mtu uhisi uchovu kwa hiyo wanaotumia mionzi wanapaswa kupumzika kwa mda wa kutosha, kutembea walau dakika Kumi na Tano kwa siku na kunywa maji mengi, kula chakula Cha kutosha Ili kuupatia mwili nguvu.

 

3.Mabadiliko ya ngozi.

Kwa wagonjwa wanaotumia mionzi huwa na mabadiliko kwenye ngozi zao , pengine ngozi ubadilika na kuwa pinki, nyeusi, kuhisi moto kwenye ngozi, ngozi kuwa kavu, kuwasha na ngozi kuwa na upele au malengelenge kwa mgonjwa anayetumia mionzi akiona dalili kama hizi hasiogope Bali achukue dawa za kawaida zinazotumika kutibu magonjwa ya ngozi na pia apate ushauri wa daktari Ili kuweza kujua Cha kufanya maana madhara mengine kwenye ngozi huwa yanatisha na kumnyima mgonjwa amani.

 

4. Mgonjwa huisi kichefuchefu.

Kwa sababu dawa hizi za mionzi  zinaharibu seli na pia uingilia mfumo wa chakula na kumfanya mgonjwa kutaka kutapika kila kitu, kwa hiyo mgonjwa anapaswa kukaa woman Ili asitapike, pia anapaswa kula chakula kidogo kidogo kwa wakati b tofauti na pia anapaswa kujiadhari na vyakula vile ambavyo huwa havipendelei Ili kuepuka kutapika kwa kufanya hivyo mgonjwa ataweza kula chakula na dawa zitaweza kufanya kazi.

 

5. Tukumbuke kuwa mionzi huua seli zinazosababisha saratani na pamoja na zile ambazo ziko kawaida na pia mwili wa binadamu unapaswa kuwa na seli zinatosha Ila kwa sababu ya magonjwa seli zinaharibika kwa mionzi kwa hiyo wagonjwa hawa wanahitaji uangalizi wa karibu na kupewa chakula chenye virutubisho vyote Ili waendelee kuishi na pia jamii inapaswa kuwasaidia na kuwapa ushirikiano wa karibu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2754

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Soma Zaidi...
Faida za dawa za NMN

Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB

Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu fangasi wa kwenye mdomo na kinywa

Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)

Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k

Soma Zaidi...
IJUE DAWA YA AMOXLINE (antibiotic) NA MATUMIZI YAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.

Soma Zaidi...
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
Dawa za Anesthesia katika kutuliza maumivu.

Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo Aspirin.

Aspirini Ni dawa ya kutuliza maumivu.Majina yanayoaminika zaidi katika kutuliza maumivu sasa yanapatikana kwa njia mbadala inayookoa gharama kwa kutumia Aspirini. Aspirini inayopendwa na familia kwa miongo kadhaa, mara nyingi hutumiwa kupunguza maumivu y

Soma Zaidi...