Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
Njia za kutumia Ili kumpatia mgonjwa dawa
1. Njia ya kuchukua dawa kumeza na maji.hii ni njia inayotumiwa hasa kwa vidonge ambapo mgonjwa utumia maji kumeza dawa.
2, Njia ya kupitisha dawa kwenye mishipa, hasahasa kwa kutumia dawa ambapo dawa huelekea kwenye Bomba na kumwekea mgonjwa kupitia kwenye mishipa.
3. Njia ya kupulizia dawa, hii utumika kwa watu wenye matatizo ya kubanwa na kifua ambapo dawa upuliziwa kwenye pua au mdomoni.
4. Njia ya kupitisha dawa kwenye ngozi, hii njia utumiwa na watu wenye ugonjwa wa kisukari ambapo dawa upitishwa kwenye ngozi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.
Soma Zaidi...kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za kisukari, kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kisukari vilevile kuna dawa zake ambazo utumika kurekebisha sukari kama imepanda au kushuka.
Soma Zaidi...