Fahamu dawa zinazopunguza maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
Dawa za kupunguza maumivu
1 . Hizi ni dawa ambazo kwa kawaida uingia kwenye mfumo wa fahamu na kuvunja mfumo wa kuzalishwa prostagland ambayo usaidia kusafirisha ujumbe kutoka sehemu Moja na kwenda nyingine kwa hiyo kama Kuna maumivu sehemu na ukatumia dawa ya kuzuia maumivu prostaglands uweza kuvunjwa kwa hiyo hayo maumivu hayawezi kusambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
2. Pia dawa hizi haiitumiki kupunguza maumivu ty Bali Kuna nyingine ambazo usaidia kumshusha joto la mwili na kuwa kawaida. Dawa zenyewe ni kama zifuatazo.
- Aspirin
- Paracetamol
- Ibuprofen
- Indomethacine
- Diclofenac
- Morphine
- Pethidine
- Tramadol
- Codeine
- Methadone
3.hizi dawaa uweza kupunguza maumivu ya Kawaida na maumivu makali kadri ya wataalamu wa afya watakavyoweza kueekeza pia dawa hizi Zina utaratibu wake wakati wa kutumia Kuna nyingine hazipaswi kutumiwa na watu Fulani na nyingine zinapaswa kutumiwa na watu Fulani kadri ya maagizo na maelekezo ya wataalamu wa afya ka hiyo hatupaswi kuzitumia kiholela ni vizuri kabisa kutumia kwa maelekezo.
4. Na pia Kuna Mila na destri za watu Katika matumizi ya dawa za maumivu kwa mfano mtu akipata maumivu Fulani ananunua Panadol mbili kama ni mtu mzima kama ni mtoto atatumia kadri ya dozi yake na maumivu yakiisha anaendelea na maisha, na akihisi maumivu tena anaendelea kufanya hivyo hata kwa wiki nzima , kwa kufanya hivyo anakuwa anafubaza ugonjwa hali inayosababisha ugonjwa kuendelea kukua na kulipuka hatimaye hali ya mgonjwa huwa mbaya.
5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa ukituma dawa ya maumivu Zaid ya mara mbili bila nafuu wahi hospital mapema Ili kuweza kuepuka madhara yanaweza kuripuka kwa sababu ya matumizi mabaya ya dawa za maumivu, kwa hiyo dawa za maumivu kazi yake ni kupunguza maumivu sio kufubaza ugonjwa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha
Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya ibuprofen katika kutuliza maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol
Soma Zaidi...Dawa ya kutibu UTI
Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide
Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno
Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...