Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
1 . Hizi ni dawa ambazo kwa kawaida uingia kwenye mfumo wa fahamu na kuvunja mfumo wa kuzalishwa prostagland ambayo usaidia kusafirisha ujumbe kutoka sehemu Moja na kwenda nyingine kwa hiyo kama Kuna maumivu sehemu na ukatumia dawa ya kuzuia maumivu prostaglands uweza kuvunjwa kwa hiyo hayo maumivu hayawezi kusambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
2. Pia dawa hizi haiitumiki kupunguza maumivu ty Bali Kuna nyingine ambazo usaidia kumshusha joto la mwili na kuwa kawaida. Dawa zenyewe ni kama zifuatazo.
3.hizi dawaa uweza kupunguza maumivu ya Kawaida na maumivu makali kadri ya wataalamu wa afya watakavyoweza kueekeza pia dawa hizi Zina utaratibu wake wakati wa kutumia Kuna nyingine hazipaswi kutumiwa na watu Fulani na nyingine zinapaswa kutumiwa na watu Fulani kadri ya maagizo na maelekezo ya wataalamu wa afya ka hiyo hatupaswi kuzitumia kiholela ni vizuri kabisa kutumia kwa maelekezo.
4. Na pia Kuna Mila na destri za watu Katika matumizi ya dawa za maumivu kwa mfano mtu akipata maumivu Fulani ananunua Panadol mbili kama ni mtu mzima kama ni mtoto atatumia kadri ya dozi yake na maumivu yakiisha anaendelea na maisha, na akihisi maumivu tena anaendelea kufanya hivyo hata kwa wiki nzima , kwa kufanya hivyo anakuwa anafubaza ugonjwa hali inayosababisha ugonjwa kuendelea kukua na kulipuka hatimaye hali ya mgonjwa huwa mbaya.
5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa ukituma dawa ya maumivu Zaid ya mara mbili bila nafuu wahi hospital mapema Ili kuweza kuepuka madhara yanaweza kuripuka kwa sababu ya matumizi mabaya ya dawa za maumivu, kwa hiyo dawa za maumivu kazi yake ni kupunguza maumivu sio kufubaza ugonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.
Soma Zaidi...PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia
Soma Zaidi...hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi
Soma Zaidi...