Fahamu dawa zinazopunguza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.

Dawa za kupunguza maumivu

1 . Hizi ni dawa ambazo kwa kawaida uingia kwenye mfumo wa fahamu na kuvunja mfumo wa kuzalishwa prostagland ambayo usaidia kusafirisha ujumbe kutoka sehemu Moja na kwenda nyingine kwa hiyo kama Kuna maumivu sehemu na ukatumia dawa ya kuzuia maumivu prostaglands uweza kuvunjwa kwa hiyo hayo maumivu hayawezi kusambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.

 

2. Pia dawa hizi haiitumiki kupunguza maumivu ty Bali Kuna nyingine ambazo usaidia kumshusha joto la mwili na kuwa kawaida. Dawa zenyewe ni kama zifuatazo.

 

3.hizi dawaa uweza kupunguza maumivu ya Kawaida na maumivu makali kadri ya wataalamu wa afya watakavyoweza kueekeza pia dawa hizi Zina utaratibu wake wakati wa kutumia Kuna nyingine hazipaswi kutumiwa na watu Fulani na nyingine zinapaswa kutumiwa na watu Fulani kadri ya maagizo na maelekezo ya wataalamu wa afya ka hiyo hatupaswi kuzitumia kiholela ni vizuri kabisa kutumia kwa maelekezo.

 

4. Na pia Kuna Mila na destri za watu Katika matumizi ya dawa za maumivu kwa mfano mtu akipata maumivu Fulani ananunua Panadol mbili kama ni mtu mzima kama ni mtoto atatumia kadri ya dozi yake na maumivu yakiisha anaendelea na maisha, na akihisi maumivu tena anaendelea kufanya hivyo hata kwa wiki nzima , kwa kufanya hivyo anakuwa anafubaza ugonjwa hali inayosababisha ugonjwa kuendelea kukua na kulipuka hatimaye hali ya mgonjwa huwa mbaya.

 

5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa ukituma dawa ya maumivu Zaid ya mara mbili bila nafuu wahi hospital mapema Ili kuweza kuepuka madhara yanaweza kuripuka kwa sababu ya matumizi mabaya ya dawa za maumivu, kwa hiyo dawa za maumivu kazi yake ni kupunguza maumivu sio kufubaza ugonjwa.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1158

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dawa ya UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI

Soma Zaidi...
Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Soma Zaidi...
Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
Chini ya Tumbo langu Kuna uchungu lakini si sana shinda ni ni?

Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu?

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.

Soma Zaidi...
Dawa ya maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu maumivu ya jino

Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino

Soma Zaidi...