Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,
1. Dawa ya fluconazole ni aina ya dawa inayotumika kutibu fangasi za aina mbalimbali kama vile fangasi za kwenye koo, fangasi za kwenye oesophageal na fangasi za kwenye sehemu za siri,hii ni dawa ya kwanza iliyopendekezwa kwa kutibu fangasi mbalimbali kwenye watu mbalimbali.
2. Katika matumizi ya dawa hizi pia kuna maudhi maudhi madogo yanaweza kutokea ambayo ni pamoja na kutapika, kuharisha, na upele upele kwenye ngozi,na dalili hizi zikionekana ni kwenda kwa daktari mara moja au kwenda kwa wataalamu wa afya.
3. Dawa hii inatumika ila kuna watu ambao hawapaswi kutumia kwa mfano wale wenye aleji na pia dawa hizi uingiliana na matengenezo ya adrenal gland ambayo usaidia katia kutengeneza gonadal steroids na pia usababisha kubadilika kwa hedhi na pia matumizi ya mara kwa mara usababisha ugumba.
4. Kwa watumiaji wa dawa hizi wakipata tatizo la kubadilika kwa hedhi wasishangae kwa sababu hizi dawa uingilia na system za hedhi kwa ujumla.na pia matumizi ya mara kwa mara ya dawa hii sio nzuri ukitumia mara ya kwanza na nafuu haipatikani ni lazima kupata ushauri wa wataalamu wa afya ili kuweza kuepukana na matatizo makubwa kama vile ugumba na mambo kama hayo.
5. Katika matumizi ya dawa hii ni vizuri kabisa kula vizuri ukashiba na kutumia maji mengi ya kutosha kwa sababu maji mengi usaidia kupunguza sumu mwilini kwa hiyo tusipende kutumia dawa hii kiholela kwa sababu matatizo yake ni makubwa ikiwa matumizi hayaeleweki kwa sababu ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia dawa hii.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3187
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Simulizi za Hadithi Audio
👉5 Kitau cha Fiqh
👉6 kitabu cha Simulizi
Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?
Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones
Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin. Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji
Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji. Soma Zaidi...
Matibabu ya macho
Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu
Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya haloperidol katika matibabu ya akili
Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa. Soma Zaidi...
Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo. Soma Zaidi...
Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha
Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha. Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi Soma Zaidi...
Faida za dawa za NMN
Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile. Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo. Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.
Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu Soma Zaidi...