Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,

Fahamu kuhusu dawa ya Fluconazole .

1. Dawa ya fluconazole ni aina ya dawa inayotumika kutibu fangasi za aina mbalimbali kama vile fangasi za kwenye koo, fangasi za kwenye oesophageal na fangasi za kwenye sehemu za siri,hii ni dawa ya kwanza iliyopendekezwa kwa kutibu fangasi mbalimbali kwenye watu mbalimbali.

 

2. Katika matumizi ya dawa hizi pia kuna maudhi maudhi madogo yanaweza kutokea ambayo ni pamoja na kutapika, kuharisha, na upele upele kwenye ngozi,na dalili hizi zikionekana ni kwenda kwa daktari mara moja au kwenda kwa wataalamu wa afya.

 

3. Dawa hii inatumika ila kuna watu ambao hawapaswi kutumia kwa mfano wale wenye aleji na pia dawa hizi uingiliana na matengenezo ya adrenal gland ambayo usaidia katia kutengeneza gonadal steroids na pia usababisha kubadilika kwa hedhi na pia matumizi ya mara kwa mara usababisha ugumba.

 

4. Kwa watumiaji wa dawa hizi wakipata tatizo la kubadilika kwa hedhi wasishangae kwa sababu hizi dawa uingilia na system za hedhi kwa ujumla.na pia matumizi ya mara kwa mara ya dawa hii sio nzuri ukitumia mara ya kwanza na nafuu haipatikani ni lazima kupata ushauri wa wataalamu wa afya ili kuweza kuepukana na matatizo makubwa kama vile ugumba na mambo kama hayo.

 

5. Katika matumizi ya dawa hii ni vizuri kabisa kula vizuri ukashiba na kutumia maji mengi ya kutosha kwa sababu maji mengi usaidia kupunguza sumu mwilini kwa hiyo tusipende kutumia dawa hii kiholela kwa sababu matatizo yake ni makubwa ikiwa matumizi hayaeleweki kwa sababu ni  vizuri kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia dawa hii.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 4363

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.

Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kundi la diuretics

Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi ukeni

Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia dawa za ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutibu mafua

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB

Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Dawa ya maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi na dalili za fangasi

hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Ampicillin.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici

Soma Zaidi...