Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,
1. Dawa ya fluconazole ni aina ya dawa inayotumika kutibu fangasi za aina mbalimbali kama vile fangasi za kwenye koo, fangasi za kwenye oesophageal na fangasi za kwenye sehemu za siri,hii ni dawa ya kwanza iliyopendekezwa kwa kutibu fangasi mbalimbali kwenye watu mbalimbali.
2. Katika matumizi ya dawa hizi pia kuna maudhi maudhi madogo yanaweza kutokea ambayo ni pamoja na kutapika, kuharisha, na upele upele kwenye ngozi,na dalili hizi zikionekana ni kwenda kwa daktari mara moja au kwenda kwa wataalamu wa afya.
3. Dawa hii inatumika ila kuna watu ambao hawapaswi kutumia kwa mfano wale wenye aleji na pia dawa hizi uingiliana na matengenezo ya adrenal gland ambayo usaidia katia kutengeneza gonadal steroids na pia usababisha kubadilika kwa hedhi na pia matumizi ya mara kwa mara usababisha ugumba.
4. Kwa watumiaji wa dawa hizi wakipata tatizo la kubadilika kwa hedhi wasishangae kwa sababu hizi dawa uingilia na system za hedhi kwa ujumla.na pia matumizi ya mara kwa mara ya dawa hii sio nzuri ukitumia mara ya kwanza na nafuu haipatikani ni lazima kupata ushauri wa wataalamu wa afya ili kuweza kuepukana na matatizo makubwa kama vile ugumba na mambo kama hayo.
5. Katika matumizi ya dawa hii ni vizuri kabisa kula vizuri ukashiba na kutumia maji mengi ya kutosha kwa sababu maji mengi usaidia kupunguza sumu mwilini kwa hiyo tusipende kutumia dawa hii kiholela kwa sababu matatizo yake ni makubwa ikiwa matumizi hayaeleweki kwa sababu ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia dawa hii.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.
Soma Zaidi...Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...