Dapsone na kazi zake

Dapsone na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.

Dapsone na kazi zake.

1.Ni mojawapo ya dawa inayotumika kutibu maambukizi kwenye ngozi ikiwemo na ukoma kama tulivyoona hapo juu kuwa dawa hii haitibu ugonjwa huu peke yake na huwa na mchanganyiko na dawa nyingine, dawa hii ufanya kazi kwa kufubaza bakteria ambao usababisha ukoma na hatimaye wadudu uishiwa nguvu na kutoweka kabisa.

 

2.Katika matumizi ya Dawa hii pamoja na dawa ambazo uambatana nazo yaani utolewa kwa vipindi viwili muhimu  ambavyo ni miezi sita na miezi kumi na miwili katika miezi kumi na miwili mgonjwa utumia mchanganyiko wa Rifampicin, Dapsone na clofazimine na wakati wa kipindi cha miezi sita mgonjwa utumia Rifampicin na Dapson, mchanganyiko huo utolewa ili kuwezesha uponyaji kwa wagonjwa wa ukoma 

 

3.Pia  katika matumizi ya dawa hizi ya Dapson kuna maudhi madogo madogo ambayo uweza kutokea kama vile kutapika, kichefuchefu, kuharisha, maumivu ya kichwa, mapigo ya moyo kubadilika, kusinzia sinzia,kuchanganyikiwa kwa mgonjwa kwa hiyo katika matumizi ya dawa hizi mgonjwa anapaswa kuwa katika uangalizi wa karibu zaidi ili pakitokea maudhi yanazidi aweze kupewa msaada wa matibabu.

 

4.Katika matumizi ya dawa hii kuna wale ambao wanapaswa kutumia dawa hizi kwa uangalizi kwa mfano hii dawa usababisha mapigo ya moyo kubadilika kwa hiyo wenye Magonjwa ya moyo wanapaswa kutumia kwa uangalifu zaidi,na kwa wale wenye matatizo ya kuishiwa damu wanapaswa kutibu kwanza kuishiwa damu na hatimaye kutumia dawa hizi.

 

5.Kw hiyo tunajua kubwa Ugonjwa wa ukoma upo na kadiri Watu wanavyotumia dawa unazidi kupungua kwa hiyo tunapaswa kuwaleta wagonjwa wa ukoma hospitalini ili wapewe dawa kwa maana ugonjwa huu unatibika na tuache kuwanyanyapaa wagonjwa wa ukoma ila tuwapeleke wapate tiba sio kuwafukuza majumbani mwetu na kuwatenga wakashinda wanaomba omba ili kupata mahitaji kwa hiyo jamii inapaswa kupewa elimu ya kutosha kuhusu tiba ya ugonjwa huu.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/16/Wednesday - 08:00:38 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1272


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria
Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi. Soma Zaidi...

dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor
Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi
Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto. Soma Zaidi...

Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?
Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi Soma Zaidi...

Faida za vidonge vya zamiconal
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi. Soma Zaidi...

Dawa za fangasi ukeni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni Soma Zaidi...

Fahamau madhara ya flagyl (Metronidazole)
Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo. Soma Zaidi...

Kazi ya Dawa ya salbutamol
Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya parental Artusnate dawa ya kutibu malaria sugu
Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye. Soma Zaidi...

Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali. Soma Zaidi...

Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia
PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia Soma Zaidi...