Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.
Dapsone na kazi zake.
1.Ni mojawapo ya dawa inayotumika kutibu maambukizi kwenye ngozi ikiwemo na ukoma kama tulivyoona hapo juu kuwa dawa hii haitibu ugonjwa huu peke yake na huwa na mchanganyiko na dawa nyingine, dawa hii ufanya kazi kwa kufubaza bakteria ambao usababisha ukoma na hatimaye wadudu uishiwa nguvu na kutoweka kabisa.
2.Katika matumizi ya Dawa hii pamoja na dawa ambazo uambatana nazo yaani utolewa kwa vipindi viwili muhimu ambavyo ni miezi sita na miezi kumi na miwili katika miezi kumi na miwili mgonjwa utumia mchanganyiko wa Rifampicin, Dapsone na clofazimine na wakati wa kipindi cha miezi sita mgonjwa utumia Rifampicin na Dapson, mchanganyiko huo utolewa ili kuwezesha uponyaji kwa wagonjwa wa ukoma
3.Pia katika matumizi ya dawa hizi ya Dapson kuna maudhi madogo madogo ambayo uweza kutokea kama vile kutapika, kichefuchefu, kuharisha, maumivu ya kichwa, mapigo ya moyo kubadilika, kusinzia sinzia,kuchanganyikiwa kwa mgonjwa kwa hiyo katika matumizi ya dawa hizi mgonjwa anapaswa kuwa katika uangalizi wa karibu zaidi ili pakitokea maudhi yanazidi aweze kupewa msaada wa matibabu.
4.Katika matumizi ya dawa hii kuna wale ambao wanapaswa kutumia dawa hizi kwa uangalizi kwa mfano hii dawa usababisha mapigo ya moyo kubadilika kwa hiyo wenye Magonjwa ya moyo wanapaswa kutumia kwa uangalifu zaidi,na kwa wale wenye matatizo ya kuishiwa damu wanapaswa kutibu kwanza kuishiwa damu na hatimaye kutumia dawa hizi.
5.Kw hiyo tunajua kubwa Ugonjwa wa ukoma upo na kadiri Watu wanavyotumia dawa unazidi kupungua kwa hiyo tunapaswa kuwaleta wagonjwa wa ukoma hospitalini ili wapewe dawa kwa maana ugonjwa huu unatibika na tuache kuwanyanyapaa wagonjwa wa ukoma ila tuwapeleke wapate tiba sio kuwafukuza majumbani mwetu na kuwatenga wakashinda wanaomba omba ili kupata mahitaji kwa hiyo jamii inapaswa kupewa elimu ya kutosha kuhusu tiba ya ugonjwa huu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.
Soma Zaidi...Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa.
Soma Zaidi...