Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.
1.lignocaine ni mojawapo ya dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji ambapo uzuia mgonjwa asisikie maumivu makali wakati wa kufanyiwa upasuaji hii dawa uchomwa kwenye sehemu ambayo imeandaliwa kwa ajili ya upasuaji, kwa hiyo sehemu nyingine za mwili zinakuwa kawaida kwa hiyo hii dawa utuliza maumivu kwa mgonjwa.
2. Hii dawa ufanya kazi kwa kuzuia mfumo wa Neva kwa kuzuia sehemu ya juu ya ngozi kutoruhusu sodium ambayo usababisha ujumbe kuenea sehemu mbalimbali za mwili kwenye mfumo wa kusafilisha ujumbe, kwa kuwepo dawa hii ya lignocaine kwenye sehemu yoyote ya mwili kitendo Cha usafilishaji wa ujumbe usimama na mtu hawezi kusikia maumivu mpaka pale kiwango Cha dawa kitakapoisha ndipo mtu anaweza kuhisi maumivu.
3. Hii dawa inaweza kutumiwa na mtu yeyote ambaye Hana allergies na dawa hii lakini mtu kama ana allergies nayo hasitumie anaweza kutumia dawa nyingine kama vile dawa ambazo zipo kwenye kundi la ester ambazo ni procaine and cocaine au anaweza kututumia prilocaine badala ya lignocaine lakini wasio na shida ya lignocaine wanaweza kutumia dawa hiyo kwa sababu ndo inatumika sana na inapatikana kwa urahisi kuliko dawa nyingine kambazi utumika kwenye operation ya sehemu husika.
4. Pamoja na matumizi ya dawa hii ya lignocaine Kuna maudhi madogo madogo kwa Sababu ya matokeo ya dawa, ni kama vile kutojielewa kwa mgonjwa hali hii utokea zaidi iwapo kiwango Cha dawa kimekuwa kingi kuliko kawaida, kuwa na ganzi kwa sehemu husika kutotumia kwa mgonjwa kutotulia kwa mgonjwa pengine mgonjwa anaweza kupata degedege Ila hii utokea kama dawa iliyochomwa kwa Mgonjwa ni nyingi na pengine mgonjwa anaweza kuzimia, kwa hiyo hii ni dawa ambayo utolewa hospitalini sio kuitumia pasipo na uangalizi wa wataalamu wa afya.
5. Kwa hiyo hii dawa ni muhimu mgonjwa haipate akiwa hospitalini kw sababu Kuna watu wanajifanywa anajua ukiitumia vijijibi mtu anaweza kupata shida wahi hospitalini kwa ajili ya matatizo makubwa zaigi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.
Soma Zaidi...Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.
Soma Zaidi...Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa.
Soma Zaidi...Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
Soma Zaidi...