Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.
1.lignocaine ni mojawapo ya dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji ambapo uzuia mgonjwa asisikie maumivu makali wakati wa kufanyiwa upasuaji hii dawa uchomwa kwenye sehemu ambayo imeandaliwa kwa ajili ya upasuaji, kwa hiyo sehemu nyingine za mwili zinakuwa kawaida kwa hiyo hii dawa utuliza maumivu kwa mgonjwa.
2. Hii dawa ufanya kazi kwa kuzuia mfumo wa Neva kwa kuzuia sehemu ya juu ya ngozi kutoruhusu sodium ambayo usababisha ujumbe kuenea sehemu mbalimbali za mwili kwenye mfumo wa kusafilisha ujumbe, kwa kuwepo dawa hii ya lignocaine kwenye sehemu yoyote ya mwili kitendo Cha usafilishaji wa ujumbe usimama na mtu hawezi kusikia maumivu mpaka pale kiwango Cha dawa kitakapoisha ndipo mtu anaweza kuhisi maumivu.
3. Hii dawa inaweza kutumiwa na mtu yeyote ambaye Hana allergies na dawa hii lakini mtu kama ana allergies nayo hasitumie anaweza kutumia dawa nyingine kama vile dawa ambazo zipo kwenye kundi la ester ambazo ni procaine and cocaine au anaweza kututumia prilocaine badala ya lignocaine lakini wasio na shida ya lignocaine wanaweza kutumia dawa hiyo kwa sababu ndo inatumika sana na inapatikana kwa urahisi kuliko dawa nyingine kambazi utumika kwenye operation ya sehemu husika.
4. Pamoja na matumizi ya dawa hii ya lignocaine Kuna maudhi madogo madogo kwa Sababu ya matokeo ya dawa, ni kama vile kutojielewa kwa mgonjwa hali hii utokea zaidi iwapo kiwango Cha dawa kimekuwa kingi kuliko kawaida, kuwa na ganzi kwa sehemu husika kutotumia kwa mgonjwa kutotulia kwa mgonjwa pengine mgonjwa anaweza kupata degedege Ila hii utokea kama dawa iliyochomwa kwa Mgonjwa ni nyingi na pengine mgonjwa anaweza kuzimia, kwa hiyo hii ni dawa ambayo utolewa hospitalini sio kuitumia pasipo na uangalizi wa wataalamu wa afya.
5. Kwa hiyo hii dawa ni muhimu mgonjwa haipate akiwa hospitalini kw sababu Kuna watu wanajifanywa anajua ukiitumia vijijibi mtu anaweza kupata shida wahi hospitalini kwa ajili ya matatizo makubwa zaigi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno
Soma Zaidi...Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n
Soma Zaidi...Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.
Soma Zaidi...