picha

Ijue Dawa ya lignocaine

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.

1.lignocaine  ni  mojawapo ya dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji ambapo uzuia mgonjwa asisikie maumivu makali wakati wa kufanyiwa upasuaji  hii dawa uchomwa kwenye sehemu ambayo imeandaliwa kwa ajili ya upasuaji, kwa hiyo sehemu nyingine za mwili zinakuwa kawaida kwa hiyo hii dawa utuliza maumivu kwa mgonjwa.

 

2. Hii dawa ufanya kazi kwa kuzuia mfumo wa Neva kwa kuzuia sehemu ya juu ya ngozi kutoruhusu sodium ambayo usababisha ujumbe kuenea sehemu mbalimbali za mwili kwenye mfumo wa kusafilisha ujumbe, kwa kuwepo dawa hii ya lignocaine kwenye sehemu yoyote ya mwili kitendo Cha usafilishaji wa ujumbe usimama na mtu hawezi kusikia maumivu mpaka pale kiwango Cha dawa kitakapoisha ndipo mtu anaweza kuhisi maumivu.

 

3. Hii dawa inaweza kutumiwa na mtu yeyote ambaye Hana allergies na dawa hii lakini mtu kama ana allergies nayo hasitumie anaweza kutumia dawa nyingine kama vile dawa ambazo zipo kwenye kundi la ester ambazo ni procaine and cocaine au anaweza kututumia prilocaine badala ya lignocaine lakini wasio na shida ya lignocaine wanaweza kutumia dawa hiyo kwa sababu ndo inatumika sana na inapatikana kwa urahisi kuliko dawa nyingine  kambazi utumika kwenye operation ya sehemu husika.

 

4. Pamoja na matumizi ya dawa hii ya lignocaine Kuna maudhi madogo madogo kwa Sababu ya matokeo ya dawa, ni kama vile kutojielewa kwa mgonjwa hali hii utokea zaidi iwapo kiwango Cha dawa kimekuwa kingi kuliko kawaida, kuwa na ganzi kwa sehemu husika kutotumia kwa mgonjwa kutotulia kwa mgonjwa  pengine mgonjwa anaweza kupata degedege Ila hii utokea kama dawa iliyochomwa kwa Mgonjwa ni nyingi na pengine mgonjwa anaweza kuzimia, kwa hiyo hii ni dawa ambayo utolewa hospitalini sio kuitumia pasipo na uangalizi wa wataalamu wa afya.

 

5. Kwa hiyo hii dawa ni muhimu mgonjwa haipate akiwa hospitalini kw sababu Kuna watu wanajifanywa anajua ukiitumia vijijibi mtu anaweza kupata shida wahi hospitalini kwa ajili ya matatizo makubwa zaigi.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 2288

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 ai web app     👉4 web hosting     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Umuhimu wa kutumia dawa za ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha

Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
Mgawanyo wa tiba ya kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Soma Zaidi...