Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.
1. Hizi ni dawa ambazo zimo kwenye kundi la antitumor antibiotics ,ni dawa ambazo zinatokana na material kutoka kwenye fungi wanaotokana na udongo ufanya kazi kwa kuingilia kazi za seli kwa kuzuia kuendelea kwa kazi ya nuclear ambayo kwa kitaalamu huitwa DNA na pia dawa hizi uingilia protein ya DNA kwa kufanya hivyo seli ambazo hazihiitajiki kuzuiliwa kuendelea kukua na kuongezeka kwenye mwili.
2. Dawa hizi pia usaidia kwenye matibabu ya kansa ya damu, kansa ya kwenye tumbo, kansa ya ngozi na pia kansa kwenye milango ya fahamu yaani kwenye macho, pua na sehemu mbalimbali na pia usaidia usaidia kwenye kupambana na kansa ambazo usababisha uvimbe.
3. Kwa matumizi ya dawa hizi uweza kuleta pia maudhui madogo madogo kama vile kupungua kwa kiwango cha seli mwilini,kwa sababu dawa hizi zinapokuwa zinapambana na seli ambazo hazihiitajiki usababisha kuua na seli nyingine ambazo ziko nzima hali inayosababisha kupungua kwa seli mwilini, kwa hiyo matunzo kwa mgonjwa huyu ni ya muhimu kama vile ulaji wa mlo kamili,matunda na mbogamboga za majani.
4. Pia na maudhui mengine ni kama vile kuwepo kwa vidonda kwenye midomo, mabadiliko ya ngozi yaani kuwepo kwa upele na kwa upande wa kichwani nywele uanza kunyonyoka na pia kuna wagonjwa ambao wanaweza kuwa na choo kigumu, pengine kichefuchefu na kuharisha. Kama maudhi madogo madogo yanafanya hali ya mgonjwa kuwa mbaya ni vizuri kabisa kubadilisha dawa ili mgonjwa awe na hali ya kawaida.
5. Kwa hiyo dawa hizi hazitumiki kiholela bali ni kwa maagizo ya wataalamu wa kwa sababu matokeo ya dawa hizi mengine ni makali yanahitaji uangalizi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo
Soma Zaidi...Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici
Soma Zaidi...