picha

Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin, Daunorubicin katika kupambana na kansa.

1. Hizi ni dawa ambazo zimo kwenye kundi la antitumor antibiotics ,ni dawa ambazo zinatokana na material kutoka kwenye fungi wanaotokana na udongo ufanya kazi kwa kuingilia kazi za seli kwa kuzuia kuendelea kwa kazi ya nuclear ambayo kwa kitaalamu huitwa DNA na pia dawa hizi uingilia  protein ya DNA kwa kufanya hivyo seli ambazo hazihiitajiki kuzuiliwa kuendelea kukua na kuongezeka kwenye mwili.

 

2. Dawa hizi pia usaidia kwenye matibabu ya kansa ya damu, kansa ya kwenye tumbo, kansa ya ngozi na pia kansa kwenye milango ya fahamu yaani kwenye macho, pua na sehemu mbalimbali na pia usaidia usaidia kwenye kupambana na kansa ambazo usababisha uvimbe.

 

3. Kwa matumizi ya dawa hizi uweza kuleta pia maudhui madogo madogo kama vile kupungua kwa kiwango cha seli mwilini,kwa sababu dawa hizi zinapokuwa zinapambana na seli ambazo hazihiitajiki usababisha kuua na seli nyingine ambazo ziko nzima hali inayosababisha kupungua kwa seli mwilini, kwa hiyo matunzo kwa mgonjwa huyu ni ya muhimu kama vile ulaji wa mlo kamili,matunda na mbogamboga za majani.

 

4. Pia na maudhui mengine ni kama vile kuwepo kwa vidonda kwenye midomo, mabadiliko ya ngozi yaani kuwepo kwa upele na kwa upande wa kichwani nywele uanza kunyonyoka na pia kuna wagonjwa ambao wanaweza kuwa na choo kigumu, pengine kichefuchefu na kuharisha. Kama maudhi madogo madogo yanafanya hali ya mgonjwa kuwa mbaya ni vizuri kabisa kubadilisha dawa ili mgonjwa awe na hali ya kawaida.

 

5. Kwa hiyo dawa hizi hazitumiki kiholela bali ni kwa maagizo ya wataalamu wa kwa sababu matokeo ya dawa hizi mengine ni makali yanahitaji uangalizi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 1331

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 ai web app     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,

Soma Zaidi...
Dawa ya penicillin ambayo uzuia asidi ya bakteria.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.

Soma Zaidi...
Dapsone na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi uumeni

kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

Soma Zaidi...