Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
1. Dawa hii ya macrolide ni dawa ambayo Ina dawa nyingine ndani yake kama vile azithromycin, erythromycin na clarithromysin ambazo kwa pamoja upambana na bakteria ambao tumeweza kuwaona hapo juu.
2. Dawa hii kwa sababu ya mkusanyiko wa dawa zaidi ya Moja kwa hiyo usaidia kwenye matibabu ya maambukizi ya bakteria ndani ya sikio, kwenye miwasho na viupele vya mwilini, pia utibu kikohozi, usaidia kwenye minyoo ya tumboni ambayo Kwa kitaamu huiitwa intestinal ameobiasis, kwenye maambukizi ya kwenye mlango wa kizazi kwa kitaamu huiitwa pelvic inflammatory diseases, pia usaidia kwenye matibabu ya kaswende na kisonono.
3. Pia dawa hizi mara nyingi huwa kwenye mfumo wa vidonge kwa hiyo zinapotumiwa uenda Moja kwa moja kwenye mmengenyo wa chakula na pia kuingia kwenye mzunguko wa damu na hatimaye kuingia kwenye sehemu mbalimbali ambapo Kuna bakteria na kuanza mashambulizi na pia dawa hizi zinaweza kuingia kwenye maji maji ambayo yapo kwenye ubongo na kweye mfumo wa fahamu kwa kitaamu huiitwa central nerve system na pia dawa zinaweza kuingia kwenye plasenta au kondo la nyuma na kuweza kuuua bakteria walioma ndani.
4. Dawa hii ya macrolide haipaswi kutumiwa na watu wenye aleji na dawa hiyo na pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kabisa na watu wenye magonjwa ya ini na pia zitumiwe kwa uangalifu kwa wenye matatizo ya Figo, mimba changa na wale watumiaji wa pombe Kali wanapotumia dawa hizi wanapaswa kuacha kutumia kabisa pombe. Kwa wale wenye mimba changa dawa hizi zinaweza kutoa mimba,na kwa wale wagonjwa wa ini dawa hizi uwezo wa kuongeza sumu upo mkubwa mno na pia kwa wale wenye tatizo la Figo ni vizuri kunywa maji mengi endapo watatumia dawa hizi.
5. Vile vile dawa hizi zina matokeo mbalimbali kama vile kichefuchefu na kutapika maumivu ya tumbo na kichwa na pengine maupeke na miwasho.
Pia dawa hizi zinapaswa kutumika kwa uwepo wa uangalizi wa wa wataalamu wa afya sio kutumia dawa hii kiholela to.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
Soma Zaidi...Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.
Soma Zaidi...Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni
Soma Zaidi...