Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
1. Dawa hii ya macrolide ni dawa ambayo Ina dawa nyingine ndani yake kama vile azithromycin, erythromycin na clarithromysin ambazo kwa pamoja upambana na bakteria ambao tumeweza kuwaona hapo juu.
2. Dawa hii kwa sababu ya mkusanyiko wa dawa zaidi ya Moja kwa hiyo usaidia kwenye matibabu ya maambukizi ya bakteria ndani ya sikio, kwenye miwasho na viupele vya mwilini, pia utibu kikohozi, usaidia kwenye minyoo ya tumboni ambayo Kwa kitaamu huiitwa intestinal ameobiasis, kwenye maambukizi ya kwenye mlango wa kizazi kwa kitaamu huiitwa pelvic inflammatory diseases, pia usaidia kwenye matibabu ya kaswende na kisonono.
3. Pia dawa hizi mara nyingi huwa kwenye mfumo wa vidonge kwa hiyo zinapotumiwa uenda Moja kwa moja kwenye mmengenyo wa chakula na pia kuingia kwenye mzunguko wa damu na hatimaye kuingia kwenye sehemu mbalimbali ambapo Kuna bakteria na kuanza mashambulizi na pia dawa hizi zinaweza kuingia kwenye maji maji ambayo yapo kwenye ubongo na kweye mfumo wa fahamu kwa kitaamu huiitwa central nerve system na pia dawa zinaweza kuingia kwenye plasenta au kondo la nyuma na kuweza kuuua bakteria walioma ndani.
4. Dawa hii ya macrolide haipaswi kutumiwa na watu wenye aleji na dawa hiyo na pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kabisa na watu wenye magonjwa ya ini na pia zitumiwe kwa uangalifu kwa wenye matatizo ya Figo, mimba changa na wale watumiaji wa pombe Kali wanapotumia dawa hizi wanapaswa kuacha kutumia kabisa pombe. Kwa wale wenye mimba changa dawa hizi zinaweza kutoa mimba,na kwa wale wagonjwa wa ini dawa hizi uwezo wa kuongeza sumu upo mkubwa mno na pia kwa wale wenye tatizo la Figo ni vizuri kunywa maji mengi endapo watatumia dawa hizi.
5. Vile vile dawa hizi zina matokeo mbalimbali kama vile kichefuchefu na kutapika maumivu ya tumbo na kichwa na pengine maupeke na miwasho.
Pia dawa hizi zinapaswa kutumika kwa uwepo wa uangalizi wa wa wataalamu wa afya sio kutumia dawa hii kiholela to.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.
Soma Zaidi...Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...