Fahamu dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.

fahamu kuhusu dawa ya digoxin katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

1. Kama tulivyoona hapo juu ya kwamba dawa hii imo kwenye kundi la cardiac glycoside, dawa hizi mara nyingi usaidia pale kama damu imeshindwa kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili, ina uwezo wa kupanua mishipa na kueza kuruhusu damu inaweza kupita bila shida yeyote.

 

2. Pia dawa hizi inawezekana juwa na maudhi mbalimbali wakati wa kutumia ikiwemo  kutapika , kichefuchefu, kuharisha hali hizi utokea kwa sababu ya kuwepo kwa sumu ya dawa hasa kwa watumiaji wa dawa kwa mda mrefu.

 

3. Pamoja ha maudhui hayo kuna kipindi wagonjwa au watumiaji uihisi kizunguzungu au pengine kutojielewa kwa kitaalamu huitwa hallusination, hasa hasa kwa wale watu wazima ambao umri umeenda.

 

4. Na kwa walio wachache wanapata shida ya maumivu ya tumbo au pengine choo kinaweza kuwa kigumu au kuharisha mara kwa mara,

 

5. Kwa hiyo tunapaswa kufahamu watu mbalimbali wanaweza kutumia dawa hizi ya cardiac glycoside ila wale walio na presha ya kushuka hawapaswi kabisa kutumia kwa sababu dawa hizi ushusha presha iliyo juu kwa hiyo kwa wenye pressure ya kushuka wakiitumia wanaweza kupata madhara makubwa au pengine presha inashuka kabisa na kusababisha vifo.

 

6. Kwa hiyo dawa hizi tunapaswa kuzitumia kwa kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya kwa hiyo kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba magonjwa ya moyo utofautiana kwa hiyo na tiba Nayo ni tofauti, kwa sababu hiyo dawa hizi haitumiki kiholela bali kwa utaratibu wa wataalamu wa afya.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 969

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID

PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya parental Artusnate dawa ya kutibu malaria sugu

Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye.

Soma Zaidi...
Matibabu ya macho

Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho

Soma Zaidi...
Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.

Soma Zaidi...