Fahamu kuhusu dawa ya parental Artusnate dawa ya kutibu malaria sugu
Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye.
Fahamu kuhusu dawa ya Parental Artusnate.
1.Ni aina ya dawa ambayo inatumika kutibu malaria sugu, tunahita malaria sugu kwa sababu ya dalili zake ambazo ujitokeza kwa mgonjwa, dalili hizo ni kama ifuatavyo, mgonjwa anakuwa amechoka sana, mgonjwa anakuwa amezimia au hana fahamu, pia kunakuwepo na upungufu wa damu kwa sababu ya kuharibikiwa kwa chembe chembe za seli, tabia ya mgonjwa ubadirika na pengine kuna wagonjwa ambao malaria uwaingia kichwani na kutaka kukimbia kwa kitaalamu huitwa cerebral malaria au malaria iliyomuingia mtu kichwani.
2. Pia dalili nyingine mgonjwa anakuwa anapumua vibaya mpaka anawekewa mashine ya kumsaidia kupumua, na kwa wakati mwingine mgonjwa anakuwa anatokwa damu kwenye fizi na kwenye pua, na dalili nyingine mgonjwa anakuwa na njano au akitapika utafika njano tu kwa sababu ya kuharibikiwa kwa chembe chembe ndogo za seli,au dalili nyingine mgonjwa anaweza kuwa na degedege hata kama ni mtoto au mtu mzima kwa malaria sugu degedege uwapata wote.pia mgonjwa anashindwa kula kabisa au ikitokea akala anatapika kila kitu.
3. Baada ya kuona dalili kama hizi moja kwa moja hizi ni dalili za malaria sugu kwa hiyo Parental Artusnate utumika kutibu malaria ya aina hizi, na pia vipimo upima kama vile damu ni kuthibitisha kuwepo kwa malaria, kwa kawaida dawa hii upitishwa kwenye damu dozi ya kwanza mgonjwa hupata na baada ya kuipata atapata nyingine baada ya masaa kumi na mawili na pia anasubiri baada ya masaa mengine kumi na mawili kwa kawaida dozi ambayo utokea ni dozi tatu na hapo mgonjwa anakuwa ameshapata nafuu na kama hali haijakaa sawa anaweza kuongezewa kwa kufuatana na utaratibu wa wataalamu wa afya.
4. Kwa kawaida baada ya kutumia dawa ya Parental Artusnate ni vizuri na ni lazima mgonjwa amalize kwa kutumia vidonge vya ALU ili kumalizia malaria iliyobaki, kwa kawaida dawa hizi iko kwenye muundo wa Poda na pia ina vibox viwili moja ni ndogo ambayo kwa kitaalamu kuna aina ya dawa ambayo uchanganyikana na dawa ambayo imo kwenye ka kopo kakubwa na baadae Poda uchanganyawa na ile dawa mpaka inakuwa clealy kwa ajili ya alivyo agiziwa Mgonja .
5. Kwa hiyo dawa hizi inapaswa kutumiwa na watu kwa kufuata utaratibu na kuomba ushauri kwa waty mbalimbali kuhusu dawa hizi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 web hosting 👉3 ai web app 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Neno la awali
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.
Soma Zaidi...Fahamau madhara ya flagyl (Metronidazole)
Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi
Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.
Soma Zaidi...Faida za vidonge vya zamiconal
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
Soma Zaidi...Dawa ya chango na maumivu ya hedhi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...