Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine.
Dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba dawa hii ya carvedilo imo kwenye makundi ya dawa za matibabu ya magonjwa ya moyo ,dawa hii uhusika na kupunguza mapigo ya moyo kama yanakwenda mbio na matatizo mbalimbali yanayoendana na hali hiyo ,kwa upande wa matumizi dawa hii utegemea mgonjwa pia na utaalamu wa wahudumu wa afya.
2. Kwa kawaida dawa hii uwa kwenye mfumo wa vidonge na pia utumika kila siku hasa kwa watumiaji wenye tatizo la kudumu ila kwa wale ambao tatizo limetokea kwa mda au kwa sababu fulani dawa hizi zinawezwa kuacha kutumika hasa pale tatizo lilionekana kuisha .
3. Pia kama zilivyo dawa nyingine na dawa hii ya carvedilo ina maudhui madogo madogo kama vile kuwepo kwa kizungu Zungu hasa kwa wanaoanza kutumia dawa, uchofu wa mara kwa mara ,presha kushuka, kichefuchefu na kutapika, uzito kuongezeka, pia kwa walio wachache wanaweza kupata shida ya kushindwa kupumua na pengine sukari kushuka, kwa hiyo ikitokea haya maudhui madogo madogo yakitokea kwa kiwango cha chini ni vizuri kuyavumilia na kisha baada ya mda mfupi.
5. Kwa upande wa maudhi madogo madogo yakiendelea na kusababisha madhara makubwa hasa upungufu wa sukari na kupumua vibaya ni vizuri kutoa taarifa kwa wataalamu wa afya ili waweze kubadilisha dawa na kumfanya mgonjwa aendelee vizuri.
6. Dawa hii inatumika kwa watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo ya kushuka kwa sukari,na kupumua vibaya wanapaswa kuzitumia kwa uangalifu mkubwa au kwa upande wa wenye sukari ni vizuri kupima sukari kabla ya kutumia dawa.
7. Kwa hiyo dawa hizo zinapaswa kutumika kwa utaratibu na ushauri wa wataalamu wa afya na sio kutumia dawa hii kiholela.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Soma Zaidi...Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.
Soma Zaidi...Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.
Soma Zaidi...