Fahamu dawa za 5-fluorouracil,Tegafur na uracili

Fahamu dawa za 5-fluorouracil,Tegafur na uracili

Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Fahamu kuhusu dawa za 5- fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa,

1. Hizi ni dawa ambazo upatikana kwenye kundi la antimetabolite, dawa hizi usaidia kupambana na kansa za kwenye matiti, kansa ya damu ,kansa za kwenye kizazi na aina nyingine kadri ya wataalamu wa afya, dawa hizi ufanya kazi ya ya kuingilia nuclear ambayo kwa kitaalamu huitwa DNA na kuhakikisha kwamba seli ambazo hazihiitajiki zinaacha kabisa kuendelea kuzalishwa na kukomaa kabisa.

 

2. Kwa matumizi ya dawa hizi za 5-fluoro uracili, Tegafur na uracili usaidia kuondoa kabisa au kufubaisha zile seli za kansa ambazo zilikuwa zimekwisha zalishwa tayari na kuhakikisha kwamba zinapungua kabisa na haziendelei kuzalishwa , kwa watumiaji wazuri wa dawa na wale waliowahi kuanza matibabu hasa wa kansa ngazi ya kwanza na ya pili,wanaweza kupona ugonjwa huu.

 

3. Katika matumizi ya dawa hizi mgonjwa anapaswa kula mlo kamili na pia kula wingi wa matunda kwa sababu dawa hizi zina tabia ya kumaliza mgonjwa nguvu na pia kumbuka kuna baadhi ya seli ambazo tayari zimeshaanza kushambuliwa,na zingine zimeharibiwa na dawa kwa sababu kama dawa inatumika haijarishi aina ya seli  bali ufyeka seli zote, kwa hiyo kwa mgonjwa huyu matunda na mlo kamili ni lazima.

 

4. Vile vile dawa hizi zina maudhui madogo madogo ambayo ujitokeza na maudhi haya utofautiana kutoka kwa mgonjwa mmoja kwenda mwingine,na maudhi hayo ni kama vile vidonda kwenye midomo, kichefuchefu na kutapika,uchofu na kuishiwa nguvu, hamu ya kula kuwa ndogo hali ambayo usababisha mgonjwa kukonda kwa hiyo uangalizi wa mgonjwa huyu ni lazima hasa kwa upande wa chakula kwa sababu uchagua vyakula kwa hiyo anapaswa kupewa vyakula anavyovipenda.

 

5. Na kwa matumizi ya mda mrefu dawa hizi  usababisha nywele kuondoka na kubadilika kusiko kwa kawaida vile  vile kwa matumizi ya dawa hizi mgonjwa anaweza pia kuwa na viupele kwenye ngozi kwa hivyo usafi ni kawaida kwa mgonjwa huyu ili kuweza kuepukana na vi upele na kama mgonjwa yuko kwenye umri wa kuzaa anaweza kuwa mgumba kwa matumizi ya dawa hizi kwa mda mrefu na pengine hamu ya tendo la ndoa kupungua,

 

6. Kwa sababu ya kuwepo kwa maudhi madogo madogo pengine maudhui haya yanaweza kugeuka kuwa kama ugonjwa kwa hiyo matibabu ya matokeo ya dawa nayo yanatakiwa kwa mfano kama mgonjwa hana hamu ya kula ni vizuri kupewa dawa ya hamu ya kula, au kama mgonjwa anaharisha na kutapika ni vizuri kabisa kupewa dawa za kutapika na kuharisha au kama mgonjwa ana shida ya kuwa na choo kigumu ni vizuri kuwepo kwa dawa za kusaidia tatizo hilo, kwa hiyo matibabu ya matokeo ya dawa ni lazima ili kuweza kuhakikisha mgonjwa anaendelea vizuri.

 

7. Vile vile kama maudhui yamekuwa na matokeo mabaya ni vizuri kumbadilishia mgonjwa dawa na kumpatia dawa ambayo atatumia bila shida au kwa kuwepo maudhi madogo madogo ambayo hayamletei shida, pamoja na kuwepo kwa maudhi hayo pia dawa hizi hazipatiswi kutumiwa na watu ambao wana aleji au mzio wa 5-fluorouracil, Tegafur na uracili , kwa sababu kuna dawa nyingine ambazo wanaweza kutumia ili kuweza kuendelea na matibabu.

 

8. Vile vile dawa hizi hazitumiki kiholela zinapaswa kutumika kwa utaratibu wa wataalamu wa afya na pia wagonjwa wa kansa ni vizuri kabisa kupewa uangalizi wa karibu kwa hiyo sio vizuri kabisa kumeza dawa hizi kiholela.

 

9. Vile vile jamii inapaswa kufahamu kwamba ugonjwa huu wa kansa ya matiti,kansa ya kizazi na pia kansa  ya damu zinatibika kabisa kwa kutumia dawa hizi za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili, kitu cha kwanza cha kufahamu ni kwamba mgonjwa anapaswa kufuata utaratibu wote wakati wa matibabu na pia kutunzwa vizuri na kupewa chakula cha kutosha na vilevile mgonjwa anapaswa kuwahi matibabu mapema kabisa , yaani kuanza matibabu kwenye ngazi ya kwanza na ya pili na pia mgonjwa akiongezea na matunzo pamoja na kumtia moyo kwa upande wa kansa ngazi ya kwanza na ya pili mgonjwa anaweza kupona .

 

10. Vile vile jamii inapaswa kuelezwa wazi kwamba kwa wagonjwa wanaoanza dawa wamechelewa wakiwa kwenye ngazi ya tatu na ya nne ni vigumu kupona haraka na kwa sababu ya kuwepo kwa matokeo ya dawa ambayo pengine ni makali kama kuharisha na kutapika , kupungua kwa seli mwilini na matokeo mengine kama tulivyoona hapo nyuma.kwa hiyo w agonjwa wa ngazi ya tatu na ya nne kupona kwao ni vigumu na kwa hivyo baadhi yetu wakiona dalili yoyote ambayo siyo ya kawaida ni vizuri, kama vile na uvumbe ambayo hayaeleweki ni vizuri kabisa kuwahi hospitali ili kama ni kansa matibabu yaanze mapema.

 

11. Vile vile jamii inapaswa kuachana na mila na desturi za kuogopa ugonjwa huu wa kansa na kwa wakati mwingine wengine wanafikia kiwango cha kuwatelekeza wagonjwa wao hospitalini  na kwa wakati mwingine wakihofia kuambukizwa na ugonjwa huo na wengine wanafikia kiwango cha kuamini kwamba mtu ambaye ana kansa hawezi kupona , kwa hiyo wafahamu kwamba wagonjwa wa kansa wakiwahi matibabu wanaweza kupona kabisa na kurudia hali zao za kawaida, ila shida watu wanashindwa kuwahi matibabu hali inayoendelea kuleta shida zaidi.

 

12. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa hudumia wagonjwa wa kansa na kuepuka na tabia ya kuwatenga kwa sababu kansa haijathibitishwa kwamba inaenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda mwingine na kwa hiyo wagonjwa wanapaswa kuwekwa kutunzwa vizuri na kuwekwa kwenye hali ya kawaida kwani ni kama ugonjwa mwingine.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 828

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya Prednisone katika kupambana na aleji
Fahamu dawa ya Prednisone katika kupambana na aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.

Soma Zaidi...
Tiba ya minyoo
Tiba ya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tiba ya minyoo

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.

Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu

Soma Zaidi...
Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo
Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag

Soma Zaidi...
Faida za vidonge vya zamiconal
Faida za vidonge vya zamiconal

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu minyoo
Dawa ya kutibu minyoo

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote

Soma Zaidi...
Dawa ya Rifampicin na kazi zake
Dawa ya Rifampicin na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID

PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa

Soma Zaidi...
Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Dawa ya Carvedilol na kazi yake.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.

Soma Zaidi...
Kazi ya Dawa ya salbutamol
Kazi ya Dawa ya salbutamol

Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.

Soma Zaidi...