Menu



Dawa ya penicillin ambayo uzuia asidi ya bakteria.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.

Fahamu dawa ya phenoxy-methyl penicillin.

1. Hii ni aina ya dawa ambayo imo kwenye kundi la penicillin, dawa hii ya phenoxy-methyl penicillin upambana na bakteria ambao wakiingia mwilini na kuuushambilia kila dawa inayojaribu kupambana na bakteria Hawa inashindwa kufanya kazi, kwa hiyo dawa hii ya phenoxy-methyl imetengenezwa Ili kuweza kupambana na bakteria Hawa na imefanikiwa kwa kiwango kikubwa.

 

2. Dawa hii kwa ujumla utubi maambukizi yoyote ya bakteria ambayo Kwa kitaamu maambukizi huiitwa bakteria infection,kama vile maambukizi ya bakteria kwenye mkojo na sehemu mbalimbali za mwili,dawa hiyo huwa kwenye mfumo wa vidonge kwa kitaamu huiitwa table form as potassium salt.

 

3. Kila dozi kwenye kasha huwa na mia mbili hamsini milligrams ila zinatofautiana kulingana na matumizi kwa kawaida uanzia milligrams mia mbili na hamsini mpaka mia tano na utumika kuanzia masaa sita na kuendelea na pia Kuna dawa nyingine ambazo huwa kwenye maji maji hizi utumiwa na watoto kwa wingi na pia huwa na miigram mia Moja na ishilini na tano na mills tano.

 

4. Kwa kawaida dawa hizi upitia kwenye mdomo, na pia dawa hizi utumiwa na watu mbalimbali ila wenye aleji na dawa ya penicillin hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu wanaweza kupata matatizo mbalimbali kwa sababu ya aleji.

 

5. Vile vile dawa hii huwa na maudhi madogo madogo baada ya kuitumia kama vile kichefuchefu na kutapika, kuharisha, kichwa kuuma, pia na wale wagonjwa au watu wenye tatizo la kupungukiwa na damu hawapaswi kutumia dawa hii au waitumie kwa maagizo ya wataalamu wa afya kwa sababu dawa hii huwa na tabia ya kupunguza damu wakati wa kutumia.

 

6 pia dawa hii haipaswi kutumika ovyo ovyo au kiholela Bali utumika kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya, kwa hiyo ni vizuri kupata utaratibu wa wataalamu wa afya na kuanza kutumia dawa hii.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1046

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin

Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)

Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu fangasi wa kwenye mdomo na kinywa

Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.

Soma Zaidi...
Tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya aminophylline kutibi maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mebendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya pyrantel pamoate

Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.

Soma Zaidi...