Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.
1. Hii ni aina ya dawa ambayo imo kwenye kundi la penicillin, dawa hii ya phenoxy-methyl penicillin upambana na bakteria ambao wakiingia mwilini na kuuushambilia kila dawa inayojaribu kupambana na bakteria Hawa inashindwa kufanya kazi, kwa hiyo dawa hii ya phenoxy-methyl imetengenezwa Ili kuweza kupambana na bakteria Hawa na imefanikiwa kwa kiwango kikubwa.
2. Dawa hii kwa ujumla utubi maambukizi yoyote ya bakteria ambayo Kwa kitaamu maambukizi huiitwa bakteria infection,kama vile maambukizi ya bakteria kwenye mkojo na sehemu mbalimbali za mwili,dawa hiyo huwa kwenye mfumo wa vidonge kwa kitaamu huiitwa table form as potassium salt.
3. Kila dozi kwenye kasha huwa na mia mbili hamsini milligrams ila zinatofautiana kulingana na matumizi kwa kawaida uanzia milligrams mia mbili na hamsini mpaka mia tano na utumika kuanzia masaa sita na kuendelea na pia Kuna dawa nyingine ambazo huwa kwenye maji maji hizi utumiwa na watoto kwa wingi na pia huwa na miigram mia Moja na ishilini na tano na mills tano.
4. Kwa kawaida dawa hizi upitia kwenye mdomo, na pia dawa hizi utumiwa na watu mbalimbali ila wenye aleji na dawa ya penicillin hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu wanaweza kupata matatizo mbalimbali kwa sababu ya aleji.
5. Vile vile dawa hii huwa na maudhi madogo madogo baada ya kuitumia kama vile kichefuchefu na kutapika, kuharisha, kichwa kuuma, pia na wale wagonjwa au watu wenye tatizo la kupungukiwa na damu hawapaswi kutumia dawa hii au waitumie kwa maagizo ya wataalamu wa afya kwa sababu dawa hii huwa na tabia ya kupunguza damu wakati wa kutumia.
6 pia dawa hii haipaswi kutumika ovyo ovyo au kiholela Bali utumika kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya, kwa hiyo ni vizuri kupata utaratibu wa wataalamu wa afya na kuanza kutumia dawa hii.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.
Soma Zaidi...DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...