Dawa ya penicillin ambayo uzuia asidi ya bakteria.

Dawa ya penicillin ambayo uzuia asidi ya bakteria.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Fahamu dawa ya phenoxy-methyl penicillin.

1. Hii ni aina ya dawa ambayo imo kwenye kundi la penicillin, dawa hii ya phenoxy-methyl penicillin upambana na bakteria ambao wakiingia mwilini na kuuushambilia kila dawa inayojaribu kupambana na bakteria Hawa inashindwa kufanya kazi, kwa hiyo dawa hii ya phenoxy-methyl imetengenezwa Ili kuweza kupambana na bakteria Hawa na imefanikiwa kwa kiwango kikubwa.

 

2. Dawa hii kwa ujumla utubi maambukizi yoyote ya bakteria ambayo Kwa kitaamu maambukizi huiitwa bakteria infection,kama vile maambukizi ya bakteria kwenye mkojo na sehemu mbalimbali za mwili,dawa hiyo huwa kwenye mfumo wa vidonge kwa kitaamu huiitwa table form as potassium salt.

 

3. Kila dozi kwenye kasha huwa na mia mbili hamsini milligrams ila zinatofautiana kulingana na matumizi kwa kawaida uanzia milligrams mia mbili na hamsini mpaka mia tano na utumika kuanzia masaa sita na kuendelea na pia Kuna dawa nyingine ambazo huwa kwenye maji maji hizi utumiwa na watoto kwa wingi na pia huwa na miigram mia Moja na ishilini na tano na mills tano.

 

4. Kwa kawaida dawa hizi upitia kwenye mdomo, na pia dawa hizi utumiwa na watu mbalimbali ila wenye aleji na dawa ya penicillin hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu wanaweza kupata matatizo mbalimbali kwa sababu ya aleji.

 

5. Vile vile dawa hii huwa na maudhi madogo madogo baada ya kuitumia kama vile kichefuchefu na kutapika, kuharisha, kichwa kuuma, pia na wale wagonjwa au watu wenye tatizo la kupungukiwa na damu hawapaswi kutumia dawa hii au waitumie kwa maagizo ya wataalamu wa afya kwa sababu dawa hii huwa na tabia ya kupunguza damu wakati wa kutumia.

 

6 pia dawa hii haipaswi kutumika ovyo ovyo au kiholela Bali utumika kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya, kwa hiyo ni vizuri kupata utaratibu wa wataalamu wa afya na kuanza kutumia dawa hii.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1191

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo
dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.

Soma Zaidi...
Njia zinazotumika Ili kumpatia mgonjwa dawa
Njia zinazotumika Ili kumpatia mgonjwa dawa

Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital
Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Soma Zaidi...
   Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo paracetamol.
Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo paracetamol.

Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik

Soma Zaidi...
Chini ya Tumbo langu Kuna uchungu lakini si sana shinda ni ni?
Chini ya Tumbo langu Kuna uchungu lakini si sana shinda ni ni?

Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu?

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba mionzi
Madhara ya Tiba mionzi

Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani.

Soma Zaidi...
Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Soma Zaidi...
Dawa ya ALU  kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria
Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...