Navigation Menu



image

Dawa ya penicillin ambayo uzuia asidi ya bakteria.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.

Fahamu dawa ya phenoxy-methyl penicillin.

1. Hii ni aina ya dawa ambayo imo kwenye kundi la penicillin, dawa hii ya phenoxy-methyl penicillin upambana na bakteria ambao wakiingia mwilini na kuuushambilia kila dawa inayojaribu kupambana na bakteria Hawa inashindwa kufanya kazi, kwa hiyo dawa hii ya phenoxy-methyl imetengenezwa Ili kuweza kupambana na bakteria Hawa na imefanikiwa kwa kiwango kikubwa.

 

2. Dawa hii kwa ujumla utubi maambukizi yoyote ya bakteria ambayo Kwa kitaamu maambukizi huiitwa bakteria infection,kama vile maambukizi ya bakteria kwenye mkojo na sehemu mbalimbali za mwili,dawa hiyo huwa kwenye mfumo wa vidonge kwa kitaamu huiitwa table form as potassium salt.

 

3. Kila dozi kwenye kasha huwa na mia mbili hamsini milligrams ila zinatofautiana kulingana na matumizi kwa kawaida uanzia milligrams mia mbili na hamsini mpaka mia tano na utumika kuanzia masaa sita na kuendelea na pia Kuna dawa nyingine ambazo huwa kwenye maji maji hizi utumiwa na watoto kwa wingi na pia huwa na miigram mia Moja na ishilini na tano na mills tano.

 

4. Kwa kawaida dawa hizi upitia kwenye mdomo, na pia dawa hizi utumiwa na watu mbalimbali ila wenye aleji na dawa ya penicillin hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu wanaweza kupata matatizo mbalimbali kwa sababu ya aleji.

 

5. Vile vile dawa hii huwa na maudhi madogo madogo baada ya kuitumia kama vile kichefuchefu na kutapika, kuharisha, kichwa kuuma, pia na wale wagonjwa au watu wenye tatizo la kupungukiwa na damu hawapaswi kutumia dawa hii au waitumie kwa maagizo ya wataalamu wa afya kwa sababu dawa hii huwa na tabia ya kupunguza damu wakati wa kutumia.

 

6 pia dawa hii haipaswi kutumika ovyo ovyo au kiholela Bali utumika kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya, kwa hiyo ni vizuri kupata utaratibu wa wataalamu wa afya na kuanza kutumia dawa hii.






           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1007


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zifazofanana:-

Fahamu Dawa itwayo Diazepam
Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya parental Artusnate dawa ya kutibu malaria sugu
Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa
Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi
Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto. Soma Zaidi...

Fahamu dawa zinazopunguza maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya Prednisone katika kupambana na aleji
Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji. Soma Zaidi...

Matibabu ya macho
Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho Soma Zaidi...

Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria
Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria. Soma Zaidi...

Njia zinazotumika Ili kumpatia mgonjwa dawa
Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya kaoline
Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide. Soma Zaidi...

Umuhimu wa kutumia dawa za ARV
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo . Soma Zaidi...

Miungurumo haiishi tumboni nikishika upande wa kushoto wa tumbo kuna maumivu kwa mbali je mm nitumie dawa gan kuondoa tatizo hilo
Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote. Soma Zaidi...