mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya

mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya

Samahn naomba niulize iv mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya endapo kama katambua kapata maambukizi ya vvu mapema kabla havijazoofisha mwili



Namba ya swali 046

Kuna aina zaidi ya 40 za dawa hizo, kulingana na afya ya mtu, na stage. Nchi nyingi zimeruhusi kuanza dozi napema hata ndani ya miezi 6. Hakuna madhara kiafya kama itatolewa kwa umakini. Hata hivyo naadhi ya maeneo wanapendekeza kuchelewa kwa kuhofia mlundikizsno mkubwa wa dumu za dawa kama utaanza napema



Namba ya swali 046

Kwahiyo endapo kama mtu kapata maambukiz ndan ya wiki 4 anaweza anza tumia dawa bila hata afya yake kutetereshwa na virusi hivyo au asubiri adi afya yake itapo tetereka?



Namba ya swali 046

Kuanza dawa mapema ni vizuri maana kutamfanya virusi visihame kufikia hatua ya tatu. Hata hivyo wiki nne hata virusi havijaanza kuonejana jwrnye vipomo,



Namba ya swali 046

Okay na je afya itabaki kua imara au itayumba kwasabu ndo atakua kaanza kutumia arv kwa mara ya kwanza



Namba ya swali 046

Afya itaendelea kuwa imara. Ijapokuwa kabla dawa hajazizoea kuna mabadiliko anaweza kuyaona ila nibya muda na sinkwa qatu wote. Kwa mfano kujisabhanu ya kula na mengineyo. Ila baada ya kuzizoea itakuwanni kawaida, na afya yake itakuwa sana na watu wengine.



Namba ya swali 046

Okay asante nimekuelewa...



Namba ya swali 046
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 632

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Dawa ya kutibu minyoo

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kundi la diuretics

Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa

Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha

Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Faida za vidonge vya zamiconal

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.

Soma Zaidi...
Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?

Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi

Soma Zaidi...
Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...