mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya

mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya

Samahn naomba niulize iv mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya endapo kama katambua kapata maambukizi ya vvu mapema kabla havijazoofisha mwili



Namba ya swali 046

Kuna aina zaidi ya 40 za dawa hizo, kulingana na afya ya mtu, na stage. Nchi nyingi zimeruhusi kuanza dozi napema hata ndani ya miezi 6. Hakuna madhara kiafya kama itatolewa kwa umakini. Hata hivyo naadhi ya maeneo wanapendekeza kuchelewa kwa kuhofia mlundikizsno mkubwa wa dumu za dawa kama utaanza napema



Namba ya swali 046

Kwahiyo endapo kama mtu kapata maambukiz ndan ya wiki 4 anaweza anza tumia dawa bila hata afya yake kutetereshwa na virusi hivyo au asubiri adi afya yake itapo tetereka?



Namba ya swali 046

Kuanza dawa mapema ni vizuri maana kutamfanya virusi visihame kufikia hatua ya tatu. Hata hivyo wiki nne hata virusi havijaanza kuonejana jwrnye vipomo,



Namba ya swali 046

Okay na je afya itabaki kua imara au itayumba kwasabu ndo atakua kaanza kutumia arv kwa mara ya kwanza



Namba ya swali 046

Afya itaendelea kuwa imara. Ijapokuwa kabla dawa hajazizoea kuna mabadiliko anaweza kuyaona ila nibya muda na sinkwa qatu wote. Kwa mfano kujisabhanu ya kula na mengineyo. Ila baada ya kuzizoea itakuwanni kawaida, na afya yake itakuwa sana na watu wengine.



Namba ya swali 046

Okay asante nimekuelewa...



Namba ya swali 046

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 903

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya ibuprofen katika kutuliza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol

Soma Zaidi...
Dawa ya Rifampicin na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Matibabu ya Fangasi ukeni na dawa za fangasi wanaoshambulia uke.

Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Miungurumo haiishi tumboni nikishika upande wa kushoto wa tumbo kuna maumivu kwa mbali je mm nitumie dawa gan kuondoa tatizo hilo

Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu mapunye

DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo.

Soma Zaidi...
Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu

Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.

Soma Zaidi...
Dawa ya UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI

Soma Zaidi...
Dawa mbadala za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi na dalili za fangasi

hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mebendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.

Soma Zaidi...