Fahamu dawa za cyclophosphamide na mustargen.

Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.

Dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na Kansa.

1. Dawa hizi mbili yaan cyclophosphamide na mustargen ni dawaa ambazo ziko kwenye group lmay kundi la alkylating, ni dawa ambazo usaidia kupambana na kansa ya kwenye matiti,na ma uvimbe ambayo Yako kwenye mwili kwa watoto na watu wazima pia,

 

2. Dawa hzi ufanya Kazi kwa kuuua seli za Kansa kwa kivamia nuclear ambayo Kwa kitaamu huiitwa DNA ambayo ni material , kwa hiyo kwa kuvamia nuclear usababisha au kuzuia kazi ya kuharibika kwa seli kupungua na ambazo zilizokuwa zimezalishwa tayari na haziitajiki uendelea kuisha taratibu na hatimaye hali ya mgonjwa upata unafuu.

 

3. Vile vile dawa hii utumiwa na watu mbalimbali ila Kuna ambao hawapaswi kutumia dawa hizi za cyclophosphamide na mustargen,ni wale wenye mzio au aleji na dawa hizi au ufuatana na utaratibu wa wataalamu wa afya wanaweza kumzuia mgonjwa asitumie dawa hii.

 

4. Pia dawa hizi baada ya kutumia uweza kuwa na maudhi madogo madogo kama vile, maumivu ya tumbo, kichefuchefu na kutapika, pengine mgonjwa anaweza kuwa au kupata choo kigumu, vile vile na kuwepo kwa vidonda midomo ambavyo usababishwa na kupungua kwa kinga ya mwili.

 

5. Pia mgonjwa anaweza kukosa hamu ya kula, kwa sababu dawa ambazo mgonjwa anatumia Zina nguvu sana hata kama Hana hamu ya kula ni lazima kumlazimisha Ili aweze kula na hakikisha anapata chakula anachokihitaji.

 

6. Pia kwa wagonjwa wanaotumia dawa hii za cyclophosphamide na mustargen wanaweza kupata shida ya kupungua kwa seli kwa sababu dawa hizi usaidia kuuua seli ambazo haziitajiki hatari ni kwamba na seli zinazohitajika kuuuawa na kusababisha kupungua kwa seli.

 

7. Kwa hiyo hatupaswi kuzitumia dawa hizi kiholela Bali utumika kulingana na wataalamu wa afya na pia mgonjwa anapaswa kuwa kwenye uangalizi maalumu wakati wa kutumia dawa hii.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 915

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Namna ya kutumia tiba ya jino.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kundi la diuretics

Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dapsone na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya kaoline

Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Matibabu ya macho

Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...