Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.
1. Dawa hizi mbili yaan cyclophosphamide na mustargen ni dawaa ambazo ziko kwenye group lmay kundi la alkylating, ni dawa ambazo usaidia kupambana na kansa ya kwenye matiti,na ma uvimbe ambayo Yako kwenye mwili kwa watoto na watu wazima pia,
2. Dawa hzi ufanya Kazi kwa kuuua seli za Kansa kwa kivamia nuclear ambayo Kwa kitaamu huiitwa DNA ambayo ni material , kwa hiyo kwa kuvamia nuclear usababisha au kuzuia kazi ya kuharibika kwa seli kupungua na ambazo zilizokuwa zimezalishwa tayari na haziitajiki uendelea kuisha taratibu na hatimaye hali ya mgonjwa upata unafuu.
3. Vile vile dawa hii utumiwa na watu mbalimbali ila Kuna ambao hawapaswi kutumia dawa hizi za cyclophosphamide na mustargen,ni wale wenye mzio au aleji na dawa hizi au ufuatana na utaratibu wa wataalamu wa afya wanaweza kumzuia mgonjwa asitumie dawa hii.
4. Pia dawa hizi baada ya kutumia uweza kuwa na maudhi madogo madogo kama vile, maumivu ya tumbo, kichefuchefu na kutapika, pengine mgonjwa anaweza kuwa au kupata choo kigumu, vile vile na kuwepo kwa vidonda midomo ambavyo usababishwa na kupungua kwa kinga ya mwili.
5. Pia mgonjwa anaweza kukosa hamu ya kula, kwa sababu dawa ambazo mgonjwa anatumia Zina nguvu sana hata kama Hana hamu ya kula ni lazima kumlazimisha Ili aweze kula na hakikisha anapata chakula anachokihitaji.
6. Pia kwa wagonjwa wanaotumia dawa hii za cyclophosphamide na mustargen wanaweza kupata shida ya kupungua kwa seli kwa sababu dawa hizi usaidia kuuua seli ambazo haziitajiki hatari ni kwamba na seli zinazohitajika kuuuawa na kusababisha kupungua kwa seli.
7. Kwa hiyo hatupaswi kuzitumia dawa hizi kiholela Bali utumika kulingana na wataalamu wa afya na pia mgonjwa anapaswa kuwa kwenye uangalizi maalumu wakati wa kutumia dawa hii.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
Soma Zaidi...