Fahamu dawa za cyclophosphamide na mustargen.

Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.

Dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na Kansa.

1. Dawa hizi mbili yaan cyclophosphamide na mustargen ni dawaa ambazo ziko kwenye group lmay kundi la alkylating, ni dawa ambazo usaidia kupambana na kansa ya kwenye matiti,na ma uvimbe ambayo Yako kwenye mwili kwa watoto na watu wazima pia,

 

2. Dawa hzi ufanya Kazi kwa kuuua seli za Kansa kwa kivamia nuclear ambayo Kwa kitaamu huiitwa DNA ambayo ni material , kwa hiyo kwa kuvamia nuclear usababisha au kuzuia kazi ya kuharibika kwa seli kupungua na ambazo zilizokuwa zimezalishwa tayari na haziitajiki uendelea kuisha taratibu na hatimaye hali ya mgonjwa upata unafuu.

 

3. Vile vile dawa hii utumiwa na watu mbalimbali ila Kuna ambao hawapaswi kutumia dawa hizi za cyclophosphamide na mustargen,ni wale wenye mzio au aleji na dawa hizi au ufuatana na utaratibu wa wataalamu wa afya wanaweza kumzuia mgonjwa asitumie dawa hii.

 

4. Pia dawa hizi baada ya kutumia uweza kuwa na maudhi madogo madogo kama vile, maumivu ya tumbo, kichefuchefu na kutapika, pengine mgonjwa anaweza kuwa au kupata choo kigumu, vile vile na kuwepo kwa vidonda midomo ambavyo usababishwa na kupungua kwa kinga ya mwili.

 

5. Pia mgonjwa anaweza kukosa hamu ya kula, kwa sababu dawa ambazo mgonjwa anatumia Zina nguvu sana hata kama Hana hamu ya kula ni lazima kumlazimisha Ili aweze kula na hakikisha anapata chakula anachokihitaji.

 

6. Pia kwa wagonjwa wanaotumia dawa hii za cyclophosphamide na mustargen wanaweza kupata shida ya kupungua kwa seli kwa sababu dawa hizi usaidia kuuua seli ambazo haziitajiki hatari ni kwamba na seli zinazohitajika kuuuawa na kusababisha kupungua kwa seli.

 

7. Kwa hiyo hatupaswi kuzitumia dawa hizi kiholela Bali utumika kulingana na wataalamu wa afya na pia mgonjwa anapaswa kuwa kwenye uangalizi maalumu wakati wa kutumia dawa hii.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1192

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Ifahamu dawa ya kutibu kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Mgawanyo wa tiba ya kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za kifua kikuu

Post hii inahusu dawa za kifua kikuu ni dawa ambazo utumika kutibu kifua kikuu, kwanza kabisa kabla ya kuanza kufahamu dawa hizo ni vizuri kabisa kufahamu kifua kikuu nini hili kuweza pia kufahamu dawa zake.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB

Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Dawa za Anesthesia katika kutuliza maumivu.

Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.

Soma Zaidi...
Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu

Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Ampicillin.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...
Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.

Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.

Soma Zaidi...