Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag

Matibabu ya ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.

1. Kwa kuwa sababu za Ugonjwa huu ni nyingi kwa hiyo tunatibu kadri ya kisababishi, kama mdudu aliyesababisha ni kirusi kwa kawaida huwa hakuna dawa maalumu kwa ajili ya kirusi, kwa kawaida uanza na kuisha chenyewe kwa baadhi ya wagonjwa ila tunatibu kwa kulingana na dalili inayojitokeza,kwa hiyo ni vizuri kabisa kujua chanzo cha homa ya uti wa mgongo ni nini ili tuweze kujua matibabu maalum.

 

2. Kwa kawaida Ugonjwa huu uathiri sana sehemu za ubongo ni vizuri kabisa mgonjwa kutibiwa kwenye mazingira ya ukimya na kuhakikisha hakuna kitu chochote ambacho kinatumia nguvu ili mgonjwa aweze kufikilia zaidi kwa hiyo ni vizuri kabisa kumtenga Mgonjwa na kuepuka tabia ya kuzungumza naye bila sababu, tunafanya hivyo ili kuweza kupumzisha ubongo ambao umeathirika ili kuweza kurudi kwenye hali ya kawaida.

 

3. Kwa sababu ya visababishi mbalimbali mgonjwa anaweza kutibiwa kwa kutibu dalili kwa mfano kama ana homa anapaswa kupewa dawa za kutuliza homa, kama ana degedege anapewa dawa za degedege, na kama hawezi kula anapewa mpira wa kuweza kumrishia  chakula na kawa hawezi kwenda haja kubwa  na ndogo anawekewa mpira wa kuweza kupitisha mkojo na pia mgonjwa anapaswa kukaa katika hali ya usafi mda wote.

 

4. Na pengine visababishi vinaweza kuwana dawa za moja kwa moja kwa mfano kama aliyesababisha ni bakteria la zima Mgonjwa atapewa antibiotics kama vile chloramphenicol, benzyl penicillin,certriaxone, ampicillin,cefotaxime na kama  ni fungasi tunampatia anti fungasi , kama ana degedege tunampatia dawa hizo, kwa hiyo tunapokuwa tunamtibu mgonjwa huyu tunapaswa kuwa makini ili kuweza kuepuka Maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2383

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimi

Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao

Soma Zaidi...
Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa ya Moyo DIGOXIN

Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mebendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi ukeni

Makala hii itakueleza dawa ya kutibu fangasi wa ukeni

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi uumeni

kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu tiba ya jino

Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ketoconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.

Soma Zaidi...