Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
1. Kwa kuwa sababu za Ugonjwa huu ni nyingi kwa hiyo tunatibu kadri ya kisababishi, kama mdudu aliyesababisha ni kirusi kwa kawaida huwa hakuna dawa maalumu kwa ajili ya kirusi, kwa kawaida uanza na kuisha chenyewe kwa baadhi ya wagonjwa ila tunatibu kwa kulingana na dalili inayojitokeza,kwa hiyo ni vizuri kabisa kujua chanzo cha homa ya uti wa mgongo ni nini ili tuweze kujua matibabu maalum.
2. Kwa kawaida Ugonjwa huu uathiri sana sehemu za ubongo ni vizuri kabisa mgonjwa kutibiwa kwenye mazingira ya ukimya na kuhakikisha hakuna kitu chochote ambacho kinatumia nguvu ili mgonjwa aweze kufikilia zaidi kwa hiyo ni vizuri kabisa kumtenga Mgonjwa na kuepuka tabia ya kuzungumza naye bila sababu, tunafanya hivyo ili kuweza kupumzisha ubongo ambao umeathirika ili kuweza kurudi kwenye hali ya kawaida.
3. Kwa sababu ya visababishi mbalimbali mgonjwa anaweza kutibiwa kwa kutibu dalili kwa mfano kama ana homa anapaswa kupewa dawa za kutuliza homa, kama ana degedege anapewa dawa za degedege, na kama hawezi kula anapewa mpira wa kuweza kumrishia chakula na kawa hawezi kwenda haja kubwa na ndogo anawekewa mpira wa kuweza kupitisha mkojo na pia mgonjwa anapaswa kukaa katika hali ya usafi mda wote.
4. Na pengine visababishi vinaweza kuwana dawa za moja kwa moja kwa mfano kama aliyesababisha ni bakteria la zima Mgonjwa atapewa antibiotics kama vile chloramphenicol, benzyl penicillin,certriaxone, ampicillin,cefotaxime na kama ni fungasi tunampatia anti fungasi , kama ana degedege tunampatia dawa hizo, kwa hiyo tunapokuwa tunamtibu mgonjwa huyu tunapaswa kuwa makini ili kuweza kuepuka Maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka
Soma Zaidi...Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.
Soma Zaidi...