Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag

Matibabu ya ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.

1. Kwa kuwa sababu za Ugonjwa huu ni nyingi kwa hiyo tunatibu kadri ya kisababishi, kama mdudu aliyesababisha ni kirusi kwa kawaida huwa hakuna dawa maalumu kwa ajili ya kirusi, kwa kawaida uanza na kuisha chenyewe kwa baadhi ya wagonjwa ila tunatibu kwa kulingana na dalili inayojitokeza,kwa hiyo ni vizuri kabisa kujua chanzo cha homa ya uti wa mgongo ni nini ili tuweze kujua matibabu maalum.

 

2. Kwa kawaida Ugonjwa huu uathiri sana sehemu za ubongo ni vizuri kabisa mgonjwa kutibiwa kwenye mazingira ya ukimya na kuhakikisha hakuna kitu chochote ambacho kinatumia nguvu ili mgonjwa aweze kufikilia zaidi kwa hiyo ni vizuri kabisa kumtenga Mgonjwa na kuepuka tabia ya kuzungumza naye bila sababu, tunafanya hivyo ili kuweza kupumzisha ubongo ambao umeathirika ili kuweza kurudi kwenye hali ya kawaida.

 

3. Kwa sababu ya visababishi mbalimbali mgonjwa anaweza kutibiwa kwa kutibu dalili kwa mfano kama ana homa anapaswa kupewa dawa za kutuliza homa, kama ana degedege anapewa dawa za degedege, na kama hawezi kula anapewa mpira wa kuweza kumrishia  chakula na kawa hawezi kwenda haja kubwa  na ndogo anawekewa mpira wa kuweza kupitisha mkojo na pia mgonjwa anapaswa kukaa katika hali ya usafi mda wote.

 

4. Na pengine visababishi vinaweza kuwana dawa za moja kwa moja kwa mfano kama aliyesababisha ni bakteria la zima Mgonjwa atapewa antibiotics kama vile chloramphenicol, benzyl penicillin,certriaxone, ampicillin,cefotaxime na kama  ni fungasi tunampatia anti fungasi , kama ana degedege tunampatia dawa hizo, kwa hiyo tunapokuwa tunamtibu mgonjwa huyu tunapaswa kuwa makini ili kuweza kuepuka Maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2206

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake

Posti hii inahusu zaidi njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake, hii njia dawa umengenywa kwenye tumbo na kupitia kwenye utumbo mdogo na baadae kwenye damu,

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Ampicillin.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,

Soma Zaidi...
Mgawanyo wa tiba ya kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za cyclophosphamide na mustargen.

Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu ugonjwa wa macho

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho

Soma Zaidi...
Tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,

Soma Zaidi...
Njia zinazotumika Ili kumpatia mgonjwa dawa

Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...