Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
1. Kwa kuwa sababu za Ugonjwa huu ni nyingi kwa hiyo tunatibu kadri ya kisababishi, kama mdudu aliyesababisha ni kirusi kwa kawaida huwa hakuna dawa maalumu kwa ajili ya kirusi, kwa kawaida uanza na kuisha chenyewe kwa baadhi ya wagonjwa ila tunatibu kwa kulingana na dalili inayojitokeza,kwa hiyo ni vizuri kabisa kujua chanzo cha homa ya uti wa mgongo ni nini ili tuweze kujua matibabu maalum.
2. Kwa kawaida Ugonjwa huu uathiri sana sehemu za ubongo ni vizuri kabisa mgonjwa kutibiwa kwenye mazingira ya ukimya na kuhakikisha hakuna kitu chochote ambacho kinatumia nguvu ili mgonjwa aweze kufikilia zaidi kwa hiyo ni vizuri kabisa kumtenga Mgonjwa na kuepuka tabia ya kuzungumza naye bila sababu, tunafanya hivyo ili kuweza kupumzisha ubongo ambao umeathirika ili kuweza kurudi kwenye hali ya kawaida.
3. Kwa sababu ya visababishi mbalimbali mgonjwa anaweza kutibiwa kwa kutibu dalili kwa mfano kama ana homa anapaswa kupewa dawa za kutuliza homa, kama ana degedege anapewa dawa za degedege, na kama hawezi kula anapewa mpira wa kuweza kumrishia chakula na kawa hawezi kwenda haja kubwa na ndogo anawekewa mpira wa kuweza kupitisha mkojo na pia mgonjwa anapaswa kukaa katika hali ya usafi mda wote.
4. Na pengine visababishi vinaweza kuwana dawa za moja kwa moja kwa mfano kama aliyesababisha ni bakteria la zima Mgonjwa atapewa antibiotics kama vile chloramphenicol, benzyl penicillin,certriaxone, ampicillin,cefotaxime na kama ni fungasi tunampatia anti fungasi , kama ana degedege tunampatia dawa hizo, kwa hiyo tunapokuwa tunamtibu mgonjwa huyu tunapaswa kuwa makini ili kuweza kuepuka Maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.
Soma Zaidi...PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.
Soma Zaidi...Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.
Soma Zaidi...Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k
Soma Zaidi...