Faida za vidonge vya antroextra

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.

Faida za vidonge vya antroextra.

1. Faida ya kwanza ni kuboresha sehemu zilizoumia kwenye mwili, kama Kuna aina yoyote ya maumivu vidonge hivi uweza kuboresha sehemu hizo.

 

2. Uondoa maumivu ya ugonjwa wa mifupa (osteomyelitis) na uchakavu wa mifupa, kwa kawaida kama Kuna shida yoyote kwenye mifupa na hasa kuchakaa kwa mifupa dawa hii usaidia Sana.

 

3. Uimarisha mpishano wa mifupa.

Kuna wakati mwingine mifupa inakuwa imepishana na kutoka kwenye sehemu yake ya kawaida kwa hiyo vidonge hivi uboresha mipishani ya mifupa na kuwa kawaida kabisa.

 

4. Uongeza virutubisho muhimu kwenye mifupa.

Kwa kawaida kwenye mifupa huwa Kuna virutubisho muhimu ambavyo usaidia mifupa kuweza kufanya kazi yake kwa ubora zaidi kwa hiyo dawa hizi uongeza virutubisho muhimu kwenye mifupa.

 

5. Usaidia kurainisha tissue ambazo zimezunguka mifupa,

Kwa kawaida Kuna tissue mbalimbali ambazo uzunguka mifupa tissue hizo Kuna kipindi zinakakamaa na kusababisha maumivu makali wakati wa kutembea kwa hiyo dawa hii urainisha tissue kwenye mifupa.

 

6. Usaidia kuzalisha Ute kwenye maungo.

Kwa kawaida dawa hii ni msaada mkubwa katika kuzalisha Ute kwenye maungo, kwa sababu Kuna wakati mwingine mifupa ukosa Ute ila kwa kuwepo kwa dawa hii usaidia Ute kuendelea kuzalishwa zaidi.

 

7. Usaidia wazee kuwa na kinga ya magonjwa ya mifupa.

Kwa kawaida wazee wako hatarini kupata matatizo mbalimbali ya ugonjwa wa mifupa kwa hiyo usaidia Sana wazee Ili kuweza kuwa na kinga kwenye magonjwa ya mifupa.

 

8. Usaidia kupona haraka kwa cartilage zilizoharibika.

Kwa kawaida Kuna matatizo mbalimbali ya kartilage kwa hiyo kama zimepata shida yoyote usaidia kupona haraka kwa hizo cartilage.

 

9. Uondoa maumivu ya viungo na mgongo.

Kwa kawaida Kuna matatizo mbalimbali ambayo utokea kwa kuwepo kwa maumivu kwenye viungo na mgongo kwa matumizi ya mara Kwa mara ya dawa hii usaidia kuondoa maumivu ya mgongo na magoti.

 

1o. Pia dawa hii ni nzuri sana kwa wanawake waliokoma hedhi.

Kwa kawaida wanawake wakikoma hedhi uwa na mambo mbalimbali kama vile maumivu ya magoti, mgongo na viungo kwa ujumla.

 

11. Pia ni nzuri kwa waliosagika pingili za mgongo.

Kwa sababu hili ni tatizo kubwa ambapo linawakumba watu wengi siku hizi kwa hiyo kwa wenye matatizo haya ni vizuri kabisa kutumia dawa hii Ili kuweza kuepukana na maumivu kwenye pingili

 

12. Pamoja na matumizi ya dawa hii ni vizuri kabisa kutumia dawa hii kwa ushauri wa wataalamu wa afya sio kuzitumia kiholela kwa sababu Kuna uwezekano wa kupata shida ikiwa umetumia dawa hii bila moangilio na kiholela.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2071

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za cyclophosphamide na mustargen.

Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID

PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya furosemide.

Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa ya Moyo DIGOXIN

Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw

Soma Zaidi...
Dawa ya Rifampicin na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.

Soma Zaidi...