picha

Faida za vidonge vya antroextra

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.

Faida za vidonge vya antroextra.

1. Faida ya kwanza ni kuboresha sehemu zilizoumia kwenye mwili, kama Kuna aina yoyote ya maumivu vidonge hivi uweza kuboresha sehemu hizo.

 

2. Uondoa maumivu ya ugonjwa wa mifupa (osteomyelitis) na uchakavu wa mifupa, kwa kawaida kama Kuna shida yoyote kwenye mifupa na hasa kuchakaa kwa mifupa dawa hii usaidia Sana.

 

3. Uimarisha mpishano wa mifupa.

Kuna wakati mwingine mifupa inakuwa imepishana na kutoka kwenye sehemu yake ya kawaida kwa hiyo vidonge hivi uboresha mipishani ya mifupa na kuwa kawaida kabisa.

 

4. Uongeza virutubisho muhimu kwenye mifupa.

Kwa kawaida kwenye mifupa huwa Kuna virutubisho muhimu ambavyo usaidia mifupa kuweza kufanya kazi yake kwa ubora zaidi kwa hiyo dawa hizi uongeza virutubisho muhimu kwenye mifupa.

 

5. Usaidia kurainisha tissue ambazo zimezunguka mifupa,

Kwa kawaida Kuna tissue mbalimbali ambazo uzunguka mifupa tissue hizo Kuna kipindi zinakakamaa na kusababisha maumivu makali wakati wa kutembea kwa hiyo dawa hii urainisha tissue kwenye mifupa.

 

6. Usaidia kuzalisha Ute kwenye maungo.

Kwa kawaida dawa hii ni msaada mkubwa katika kuzalisha Ute kwenye maungo, kwa sababu Kuna wakati mwingine mifupa ukosa Ute ila kwa kuwepo kwa dawa hii usaidia Ute kuendelea kuzalishwa zaidi.

 

7. Usaidia wazee kuwa na kinga ya magonjwa ya mifupa.

Kwa kawaida wazee wako hatarini kupata matatizo mbalimbali ya ugonjwa wa mifupa kwa hiyo usaidia Sana wazee Ili kuweza kuwa na kinga kwenye magonjwa ya mifupa.

 

8. Usaidia kupona haraka kwa cartilage zilizoharibika.

Kwa kawaida Kuna matatizo mbalimbali ya kartilage kwa hiyo kama zimepata shida yoyote usaidia kupona haraka kwa hizo cartilage.

 

9. Uondoa maumivu ya viungo na mgongo.

Kwa kawaida Kuna matatizo mbalimbali ambayo utokea kwa kuwepo kwa maumivu kwenye viungo na mgongo kwa matumizi ya mara Kwa mara ya dawa hii usaidia kuondoa maumivu ya mgongo na magoti.

 

1o. Pia dawa hii ni nzuri sana kwa wanawake waliokoma hedhi.

Kwa kawaida wanawake wakikoma hedhi uwa na mambo mbalimbali kama vile maumivu ya magoti, mgongo na viungo kwa ujumla.

 

11. Pia ni nzuri kwa waliosagika pingili za mgongo.

Kwa sababu hili ni tatizo kubwa ambapo linawakumba watu wengi siku hizi kwa hiyo kwa wenye matatizo haya ni vizuri kabisa kutumia dawa hii Ili kuweza kuepukana na maumivu kwenye pingili

 

12. Pamoja na matumizi ya dawa hii ni vizuri kabisa kutumia dawa hii kwa ushauri wa wataalamu wa afya sio kuzitumia kiholela kwa sababu Kuna uwezekano wa kupata shida ikiwa umetumia dawa hii bila moangilio na kiholela.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/10/Sunday - 05:46:42 pm Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2294

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Fahamu Dawa itwayo Diazepam

Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya Isoniazid na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha

Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo Aspirin.

Aspirini Ni dawa ya kutuliza maumivu.Majina yanayoaminika zaidi katika kutuliza maumivu sasa yanapatikana kwa njia mbadala inayookoa gharama kwa kutumia Aspirini. Aspirini inayopendwa na familia kwa miongo kadhaa, mara nyingi hutumiwa kupunguza maumivu y

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.

Soma Zaidi...
Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya wanga

Soma Zaidi...