Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria


image


Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.


Kazi za Artesunate katika kutibu Malaria kali.

1.Artusnate ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi katika kutibu Malaria ambayo ni kali na dawa hii umetumiwa na watu wengi na wamefanikiwa kupona kwa kiwango kikubwa sana. 

 

Dawa hii utumika ndani ya Msaa ishilini na manne Ili kuendelea kuangalia maendeleo ya mgonjwa mgonjwa upewa anapofika tu, na baada ya masaa Kumi na mbili baadae anapewa dose ya mwisho ndani ya maasaa ishilini na manne, na mgonjwa akimaliza dozi hii anaongezeka na dozi ya Mseto Ili kuweza kumalizika wadudu waliobaki.

 

2.Dalili ambazo uonekana kwa mgonjwa na kuamua kumpatia dawa hii ni kama ifuatavyo, mgonjwa anakuwa amelegea sana kwa mwili mzima,  mgonjwa kwa wakati mwingine anakuwa amezimi kabisa na hajui kinachoendelea, pengine Tabia ya Mgonjwa ubadilika kwa sababu wakati mwingine Malaria uingia kichwani na kumfanya mgonjwa kuanza kuongea maneno  yoyote yanayomjia kichwani, wagonjwa wengine huwa na degedege hasa kwa watoto wadogo ambao ushambuliwa sana na Malaria na kuwafanya wapate degedege pengine hali hiii inaweza kujitokeza hata kwa watu wazima.

 

3. Dalili nyingine kwa mgonjwa mwenye maambukizi ya Malaria kali ni Pamoja na kukosa hewa au mgonjwa anapumua vibaya, mwili mzima wa Mgonjwa ubadilika na kuwa na rangi ya njano hii nikwa sababu ya kuharibika kwa seli kwa sababu ya maambukizi, wakati mwingine mgonjwa anakuwa anatapika kila kitu anachokuli, kama ni kwa mtoto anashindwa kunyonya na kula kitu chochote  kwa hiyo mtu Mwenye dalili hizo anapaswa kuty artusnate Maana ndiyo dawa ya Malaria inayoweza kutibu Malaria sugu kwa hiyo tunapaswa kutumia dawa hii kwa kuona dalili hizi kubwa za Malaria.

 

4.Dawa hii ya Artusnate unapokuwa inatumika uweza kuleta maudhi mbalimbali au matokeo mbalimbali kwa mgonjwa ambayo mgonjwa hasiogope ni kawaida kama vile kutapika, kuishiwa nguvu kwa mgonjwa, maumivu ya kichwa au wakati mwingine Homa kupanda kusiko kwa kawaida hii ni kawaida kwa Mgonjwa kwa hiyo mgonjwa akiwa anatumia dawa hii anapaswa kula na kunywa sana Maana dawa hii ufanya kazi vizuri okiwa mgonjwa anakuwa na kunywa vizuri.

 

Kwa hiyo katika matibabu tuzingatie sana chakula, Maana dawa ufanya kazi vizuri kuliko kama mgonjwa ameshiba.

 

Angalisho: baada ya kutumia dawa hii ya Artusnate mgonjwa inabidi aongezewa dawa nyingine ya kutibu kutibu Malaria ya kawaida kama vile Mseto,ACT na SP



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Fahamu dawa za kutuliza aleji au mzio
Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo. Soma Zaidi...

image Dawa ya Panadol au paracetamol katika kutuliza maumivu
Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa. Soma Zaidi...

image Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini
Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya streptomycin
Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya potassium sparing
Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin
Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi. Soma Zaidi...

image Madhara ya vidonge vya P2
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2, Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya kaoline
Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones
Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin. Soma Zaidi...

image Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa Soma Zaidi...