Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

Kazi za Artesunate katika kutibu Malaria kali.

1.Artusnate ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi katika kutibu Malaria ambayo ni kali na dawa hii umetumiwa na watu wengi na wamefanikiwa kupona kwa kiwango kikubwa sana. 

 

Dawa hii utumika ndani ya Msaa ishilini na manne Ili kuendelea kuangalia maendeleo ya mgonjwa mgonjwa upewa anapofika tu, na baada ya masaa Kumi na mbili baadae anapewa dose ya mwisho ndani ya maasaa ishilini na manne, na mgonjwa akimaliza dozi hii anaongezeka na dozi ya Mseto Ili kuweza kumalizika wadudu waliobaki.

 

2.Dalili ambazo uonekana kwa mgonjwa na kuamua kumpatia dawa hii ni kama ifuatavyo, mgonjwa anakuwa amelegea sana kwa mwili mzima,  mgonjwa kwa wakati mwingine anakuwa amezimi kabisa na hajui kinachoendelea, pengine Tabia ya Mgonjwa ubadilika kwa sababu wakati mwingine Malaria uingia kichwani na kumfanya mgonjwa kuanza kuongea maneno  yoyote yanayomjia kichwani, wagonjwa wengine huwa na degedege hasa kwa watoto wadogo ambao ushambuliwa sana na Malaria na kuwafanya wapate degedege pengine hali hiii inaweza kujitokeza hata kwa watu wazima.

 

3. Dalili nyingine kwa mgonjwa mwenye maambukizi ya Malaria kali ni Pamoja na kukosa hewa au mgonjwa anapumua vibaya, mwili mzima wa Mgonjwa ubadilika na kuwa na rangi ya njano hii nikwa sababu ya kuharibika kwa seli kwa sababu ya maambukizi, wakati mwingine mgonjwa anakuwa anatapika kila kitu anachokuli, kama ni kwa mtoto anashindwa kunyonya na kula kitu chochote  kwa hiyo mtu Mwenye dalili hizo anapaswa kuty artusnate Maana ndiyo dawa ya Malaria inayoweza kutibu Malaria sugu kwa hiyo tunapaswa kutumia dawa hii kwa kuona dalili hizi kubwa za Malaria.

 

4.Dawa hii ya Artusnate unapokuwa inatumika uweza kuleta maudhi mbalimbali au matokeo mbalimbali kwa mgonjwa ambayo mgonjwa hasiogope ni kawaida kama vile kutapika, kuishiwa nguvu kwa mgonjwa, maumivu ya kichwa au wakati mwingine Homa kupanda kusiko kwa kawaida hii ni kawaida kwa Mgonjwa kwa hiyo mgonjwa akiwa anatumia dawa hii anapaswa kula na kunywa sana Maana dawa hii ufanya kazi vizuri okiwa mgonjwa anakuwa na kunywa vizuri.

 

Kwa hiyo katika matibabu tuzingatie sana chakula, Maana dawa ufanya kazi vizuri kuliko kama mgonjwa ameshiba.

 

Angalisho: baada ya kutumia dawa hii ya Artusnate mgonjwa inabidi aongezewa dawa nyingine ya kutibu kutibu Malaria ya kawaida kama vile Mseto,ACT na SP

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2190

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.

Soma Zaidi...
Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.

Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Fahamu tiba ya jino

Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo

Soma Zaidi...
Dawa ipi ya manjano kwa mtoto mwenye umri miaka miwili?

Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kutibu kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.

Soma Zaidi...