Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Kazi za Artesunate katika kutibu Malaria kali.

1.Artusnate ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi katika kutibu Malaria ambayo ni kali na dawa hii umetumiwa na watu wengi na wamefanikiwa kupona kwa kiwango kikubwa sana. 

 

Dawa hii utumika ndani ya Msaa ishilini na manne Ili kuendelea kuangalia maendeleo ya mgonjwa mgonjwa upewa anapofika tu, na baada ya masaa Kumi na mbili baadae anapewa dose ya mwisho ndani ya maasaa ishilini na manne, na mgonjwa akimaliza dozi hii anaongezeka na dozi ya Mseto Ili kuweza kumalizika wadudu waliobaki.

 

2.Dalili ambazo uonekana kwa mgonjwa na kuamua kumpatia dawa hii ni kama ifuatavyo, mgonjwa anakuwa amelegea sana kwa mwili mzima,  mgonjwa kwa wakati mwingine anakuwa amezimi kabisa na hajui kinachoendelea, pengine Tabia ya Mgonjwa ubadilika kwa sababu wakati mwingine Malaria uingia kichwani na kumfanya mgonjwa kuanza kuongea maneno  yoyote yanayomjia kichwani, wagonjwa wengine huwa na degedege hasa kwa watoto wadogo ambao ushambuliwa sana na Malaria na kuwafanya wapate degedege pengine hali hiii inaweza kujitokeza hata kwa watu wazima.

 

3. Dalili nyingine kwa mgonjwa mwenye maambukizi ya Malaria kali ni Pamoja na kukosa hewa au mgonjwa anapumua vibaya, mwili mzima wa Mgonjwa ubadilika na kuwa na rangi ya njano hii nikwa sababu ya kuharibika kwa seli kwa sababu ya maambukizi, wakati mwingine mgonjwa anakuwa anatapika kila kitu anachokuli, kama ni kwa mtoto anashindwa kunyonya na kula kitu chochote  kwa hiyo mtu Mwenye dalili hizo anapaswa kuty artusnate Maana ndiyo dawa ya Malaria inayoweza kutibu Malaria sugu kwa hiyo tunapaswa kutumia dawa hii kwa kuona dalili hizi kubwa za Malaria.

 

4.Dawa hii ya Artusnate unapokuwa inatumika uweza kuleta maudhi mbalimbali au matokeo mbalimbali kwa mgonjwa ambayo mgonjwa hasiogope ni kawaida kama vile kutapika, kuishiwa nguvu kwa mgonjwa, maumivu ya kichwa au wakati mwingine Homa kupanda kusiko kwa kawaida hii ni kawaida kwa Mgonjwa kwa hiyo mgonjwa akiwa anatumia dawa hii anapaswa kula na kunywa sana Maana dawa hii ufanya kazi vizuri okiwa mgonjwa anakuwa na kunywa vizuri.

 

Kwa hiyo katika matibabu tuzingatie sana chakula, Maana dawa ufanya kazi vizuri kuliko kama mgonjwa ameshiba.

 

Angalisho: baada ya kutumia dawa hii ya Artusnate mgonjwa inabidi aongezewa dawa nyingine ya kutibu kutibu Malaria ya kawaida kama vile Mseto,ACT na SP

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1857

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha
Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha

Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
  Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Faida za vidonge vya antroextra
Faida za vidonge vya antroextra

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo
Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma
Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida

Soma Zaidi...
Dawa mbadala za vidonda vya tumbo
Dawa mbadala za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
 Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)
Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa
Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa

Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.

Soma Zaidi...