Njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake
Posti hii inahusu zaidi njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake, hii njia dawa umengenywa kwenye tumbo na kupitia kwenye utumbo mdogo na baadae kwenye damu,
Njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake.
1. Kuweka dawa chini ya ulimi na kusubili mpaka iyeyuke hii njia kwa kitaalamu huitwa sublingual route baadae dawa upitis kwenye utumbo mdogo baadae kwenye damu.
2. Kumengenya dawa pasipo kutumia maji, hii ni njia ambapo dawa utafunwa hasahasa dawa za minyoo
3. Dawa za kuweka kwenye mkundu, ni dawa ambazo uwekwa kwenye mkundu , hasahasa utumiwa na watoto wenye degedege na Maambukizi kwenye mkundu.
4. Dawa ambazo uwekwa katikati ya gamu na cheek,hizi na dawa ambazo utumiwa na watu wenye maambukizi kwenye mdomo hahaha fungasi ambapo dawa uwekwa mdomoni
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 web hosting 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno
Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...Chini ya Tumbo langu Kuna uchungu lakini si sana shinda ni ni?
Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu?
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu dawa ya potassium sparing
Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Ifahamu dawa ya furosemide.
Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix
Soma Zaidi...Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?
Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi
Soma Zaidi...Dawa ya kutibu maumivu ya jino
Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino
Soma Zaidi...