Njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake

Njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake

Posti hii inahusu zaidi njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake, hii njia dawa umengenywa kwenye tumbo na kupitia kwenye utumbo mdogo na baadae kwenye damu,

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake.

1. Kuweka dawa chini ya ulimi na kusubili mpaka iyeyuke hii njia kwa kitaalamu huitwa sublingual route baadae dawa upitis kwenye utumbo mdogo baadae kwenye damu.

 

2. Kumengenya dawa pasipo kutumia maji, hii ni njia ambapo dawa utafunwa hasahasa dawa za minyoo

 

3. Dawa za kuweka kwenye mkundu, ni dawa ambazo uwekwa kwenye mkundu , hasahasa utumiwa na watoto wenye degedege na Maambukizi kwenye mkundu.

 

4. Dawa ambazo uwekwa katikati ya gamu na cheek,hizi na dawa ambazo utumiwa na watu wenye maambukizi kwenye mdomo hahaha fungasi ambapo dawa uwekwa mdomoni

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1344

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za kifua kikuu
Fahamu kuhusu dawa za kifua kikuu

Post hii inahusu dawa za kifua kikuu ni dawa ambazo utumika kutibu kifua kikuu, kwanza kabisa kabla ya kuanza kufahamu dawa hizo ni vizuri kabisa kufahamu kifua kikuu nini hili kuweza pia kufahamu dawa zake.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi ukeni
Dawa ya fangasi ukeni

Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin
Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.

Soma Zaidi...
Dawa ya Vidonda vya tumbo
Dawa ya Vidonda vya tumbo

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria
Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimi
Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimi

Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao

Soma Zaidi...