image

Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.

Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin .

1. Kama tulivyoona hapo mbele kuhusu dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa fangasi za kwenye ngozi, kwa kawaida kwenye ngozi kunakuwepo na maambukizi ya aina mbalimbali za fungasi kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa hii kwa usahihi kabisa kadri ya wataalamu wa afya.

 

2. Kwa kawaida dawa hii utumika kwenye ngozi na kiwango cha kufanya kazi ni kikubwa kwa hiyo uzuia maambukizi kwenye ngozi, kwa hiyo kuanzia mda ulioanza kutumia na matokeo ya kupona yanaweza kuonekana kuanzia wiki ya pili mpaka wiki ya sita kwa upande wa ngozi, pia kwa upande wa ngozi ya kichwa na penyewe dawa hizi utumika na pia kupona utegemeza kuanzia wiki ya pili mpaka wiki ya sita hivi.

 

3. Pia dawa hii ya griseofulvin haitumiki kwenye ngozi ya kawaida na kwenye nywele tu bali usaidia pia kwenye kwenye maambukizi ya kucha na kwa hiyo kama kucha zimeharibiwa na wadudu usaidia kuua wadudu hao na kufanya kucha kutwa nzuri na za kuvutia, kwa wenye shida ya matatizo ya kwenye kucha tiba yake uenda kwa utaratibu na hatimaye kucha zinajirudia na kuwa kawaida.

 

4. Dawa hii ufanya kazi kwa kuzuia kazi ya enzyeme ambayo kwa kitaalamu huitwa cytochrome p450 ni enzyeme ya mdudu ambaye usababisha kuwepo kwa fangasi kwenye ngozi na kwenye kucha, kwa hiyo dawa ya griseofulvin uenda kuharibu kazi ya mdudu huyu na kusababisha kupona kwa mgonjwa.na pia dawa hii uzuia kutengenezwa kwa polymerization of nucleic acids ambayo usababishwa na mdudu anayesababisha fangasi kwenye ngozi na kwenye kucha.

 

5. Kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa na wale wenye aleji na griseofulvin na pia kutumia dawa hii ni vizuri kutumia kwa ushauri wa wataalamu wa afya hairuhusiwi kutumika kiholela hohlela.

 

6. Pia dawa ina maudhi ambayo yanaweza kutokea kwa watumiaji ambayo ni pamoja na maumivu ya kichwa ya mara kwa mara wakati wa kutumia, hali hiyo ni kawaida ila maumivu yalizidi onana na wataalamu wa afya.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2163


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Umuhimu wa kutumia dawa za ARV
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo . Soma Zaidi...

Ushauri kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa za kutibu minyoo
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto. Soma Zaidi...

dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo
MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi. Soma Zaidi...

Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?
Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi Soma Zaidi...

Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha
Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha. Soma Zaidi...

Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin. Soma Zaidi...

Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)
Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k Soma Zaidi...

Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo. Soma Zaidi...

Dawa ya fangasi ukeni
Makala hii itakueleza dawa ya kutibu fangasi wa ukeni Soma Zaidi...

Ijue Dawa ya lignocaine
Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya parental Artusnate dawa ya kutibu malaria sugu
Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye. Soma Zaidi...