Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.
1. Kama tulivyoona hapo mbele kuhusu dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa fangasi za kwenye ngozi, kwa kawaida kwenye ngozi kunakuwepo na maambukizi ya aina mbalimbali za fungasi kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa hii kwa usahihi kabisa kadri ya wataalamu wa afya.
2. Kwa kawaida dawa hii utumika kwenye ngozi na kiwango cha kufanya kazi ni kikubwa kwa hiyo uzuia maambukizi kwenye ngozi, kwa hiyo kuanzia mda ulioanza kutumia na matokeo ya kupona yanaweza kuonekana kuanzia wiki ya pili mpaka wiki ya sita kwa upande wa ngozi, pia kwa upande wa ngozi ya kichwa na penyewe dawa hizi utumika na pia kupona utegemeza kuanzia wiki ya pili mpaka wiki ya sita hivi.
3. Pia dawa hii ya griseofulvin haitumiki kwenye ngozi ya kawaida na kwenye nywele tu bali usaidia pia kwenye kwenye maambukizi ya kucha na kwa hiyo kama kucha zimeharibiwa na wadudu usaidia kuua wadudu hao na kufanya kucha kutwa nzuri na za kuvutia, kwa wenye shida ya matatizo ya kwenye kucha tiba yake uenda kwa utaratibu na hatimaye kucha zinajirudia na kuwa kawaida.
4. Dawa hii ufanya kazi kwa kuzuia kazi ya enzyeme ambayo kwa kitaalamu huitwa cytochrome p450 ni enzyeme ya mdudu ambaye usababisha kuwepo kwa fangasi kwenye ngozi na kwenye kucha, kwa hiyo dawa ya griseofulvin uenda kuharibu kazi ya mdudu huyu na kusababisha kupona kwa mgonjwa.na pia dawa hii uzuia kutengenezwa kwa polymerization of nucleic acids ambayo usababishwa na mdudu anayesababisha fangasi kwenye ngozi na kwenye kucha.
5. Kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa na wale wenye aleji na griseofulvin na pia kutumia dawa hii ni vizuri kutumia kwa ushauri wa wataalamu wa afya hairuhusiwi kutumika kiholela hohlela.
6. Pia dawa ina maudhi ambayo yanaweza kutokea kwa watumiaji ambayo ni pamoja na maumivu ya kichwa ya mara kwa mara wakati wa kutumia, hali hiyo ni kawaida ila maumivu yalizidi onana na wataalamu wa afya.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.
Soma Zaidi...