picha

Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.

Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin .

1. Kama tulivyoona hapo mbele kuhusu dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa fangasi za kwenye ngozi, kwa kawaida kwenye ngozi kunakuwepo na maambukizi ya aina mbalimbali za fungasi kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa hii kwa usahihi kabisa kadri ya wataalamu wa afya.

 

2. Kwa kawaida dawa hii utumika kwenye ngozi na kiwango cha kufanya kazi ni kikubwa kwa hiyo uzuia maambukizi kwenye ngozi, kwa hiyo kuanzia mda ulioanza kutumia na matokeo ya kupona yanaweza kuonekana kuanzia wiki ya pili mpaka wiki ya sita kwa upande wa ngozi, pia kwa upande wa ngozi ya kichwa na penyewe dawa hizi utumika na pia kupona utegemeza kuanzia wiki ya pili mpaka wiki ya sita hivi.

 

3. Pia dawa hii ya griseofulvin haitumiki kwenye ngozi ya kawaida na kwenye nywele tu bali usaidia pia kwenye kwenye maambukizi ya kucha na kwa hiyo kama kucha zimeharibiwa na wadudu usaidia kuua wadudu hao na kufanya kucha kutwa nzuri na za kuvutia, kwa wenye shida ya matatizo ya kwenye kucha tiba yake uenda kwa utaratibu na hatimaye kucha zinajirudia na kuwa kawaida.

 

4. Dawa hii ufanya kazi kwa kuzuia kazi ya enzyeme ambayo kwa kitaalamu huitwa cytochrome p450 ni enzyeme ya mdudu ambaye usababisha kuwepo kwa fangasi kwenye ngozi na kwenye kucha, kwa hiyo dawa ya griseofulvin uenda kuharibu kazi ya mdudu huyu na kusababisha kupona kwa mgonjwa.na pia dawa hii uzuia kutengenezwa kwa polymerization of nucleic acids ambayo usababishwa na mdudu anayesababisha fangasi kwenye ngozi na kwenye kucha.

 

5. Kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa na wale wenye aleji na griseofulvin na pia kutumia dawa hii ni vizuri kutumia kwa ushauri wa wataalamu wa afya hairuhusiwi kutumika kiholela hohlela.

 

6. Pia dawa ina maudhi ambayo yanaweza kutokea kwa watumiaji ambayo ni pamoja na maumivu ya kichwa ya mara kwa mara wakati wa kutumia, hali hiyo ni kawaida ila maumivu yalizidi onana na wataalamu wa afya.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/12/15/Thursday - 01:05:47 pm Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 3815

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 ai web app    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 web hosting    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia dawa za ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kundi la diuretics

Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya Vidonda vya tumbo

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya aminophylline kutibi maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mebendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.

Soma Zaidi...