Menu



Fahamu dawa ya haloperidol katika matibabu ya akili

Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.

Dawa ya haloperidol katika matibabu ya akili

1. Dawa hii ya haloperidol kwa mtu aliyechanganyikiwa usaidia kutuliza mfumo kwenye sehemu ya mfumo wa fahamu hata kama mtu amechangamka kiasi gani, dawa hii pia usaidia kutuliza wale wagonjwa wa akili ambao wanachachamaa sana na kuruka huku na huku kupiga watu na kufanya mambo kama hayo.

 

2. Dawa hii utibu magonjwa mawaili ya akili ambayo Kwa kitaamu huiitwa mania na schizophrenia na pia usaidia kutuliza hali ambazo umjia mgonjwa wa akili kama vile kuwaza kwamba yuko mbali na dunis, anaweza kufanya mambo makubwa na hali kama hizo kwa kutumia dawa hizi za haloperidol mgonjwa urudia hali yake ya Kawaida.

 

3. Pia dawa hizi huwa zina dozi tofauti tofauti kwa watoto na watu wazima kulingana na umri pamoja na Uzito, dozi kwa kawaida uanzy milligrams mbili mpaka tano na kawaida uongezeka mpaka mia Moja kadri ya tatizo la mgonjwa kulingana na wataalamu wa afya.

 

4. Kwa kuanzia kwa watoto kwa kawaida uanzia milligrams ishilini na tano mpaka hamsini, kwa Vijana uanzia milligrams thelathini na kuendelea kwa watu wazima uanzia milligrams miatano kwa mara mbili, kwa hiyo dozi utegemeaana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

 

5. Pia dawa hii huwa na maudhi madogo madogo kama vile  midomo kukauka, kuishiwa na nguvu,ulimi kushindwa kutamka maneno na mambo kama hayo, kwa hiyo ni vizuri kumpatia mgonjwa chakula anapokuwa anatumia dawa.

 

6. Kwa hiyo dawa hii inapaswa kutumiwa na watu mbalimbali ila wale wenye kifafa wanapaswa kuitumia kwa taahadhari au kwa uangalizi zaidi na pia wenye aliji na dawa hii wanapaswa kutumia dawa nyingine tofauti na hii.

 

7. Dawaa hii inapaswa kutumiwa kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1999

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza aleji au mzio

Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno

Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.

Soma Zaidi...
Namna ya kutumia tiba ya jino.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kutibu kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya ibuprofen katika kutuliza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol

Soma Zaidi...
Tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...