Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.
1. Dawa hii ya haloperidol kwa mtu aliyechanganyikiwa usaidia kutuliza mfumo kwenye sehemu ya mfumo wa fahamu hata kama mtu amechangamka kiasi gani, dawa hii pia usaidia kutuliza wale wagonjwa wa akili ambao wanachachamaa sana na kuruka huku na huku kupiga watu na kufanya mambo kama hayo.
2. Dawa hii utibu magonjwa mawaili ya akili ambayo Kwa kitaamu huiitwa mania na schizophrenia na pia usaidia kutuliza hali ambazo umjia mgonjwa wa akili kama vile kuwaza kwamba yuko mbali na dunis, anaweza kufanya mambo makubwa na hali kama hizo kwa kutumia dawa hizi za haloperidol mgonjwa urudia hali yake ya Kawaida.
3. Pia dawa hizi huwa zina dozi tofauti tofauti kwa watoto na watu wazima kulingana na umri pamoja na Uzito, dozi kwa kawaida uanzy milligrams mbili mpaka tano na kawaida uongezeka mpaka mia Moja kadri ya tatizo la mgonjwa kulingana na wataalamu wa afya.
4. Kwa kuanzia kwa watoto kwa kawaida uanzia milligrams ishilini na tano mpaka hamsini, kwa Vijana uanzia milligrams thelathini na kuendelea kwa watu wazima uanzia milligrams miatano kwa mara mbili, kwa hiyo dozi utegemeaana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
5. Pia dawa hii huwa na maudhi madogo madogo kama vile midomo kukauka, kuishiwa na nguvu,ulimi kushindwa kutamka maneno na mambo kama hayo, kwa hiyo ni vizuri kumpatia mgonjwa chakula anapokuwa anatumia dawa.
6. Kwa hiyo dawa hii inapaswa kutumiwa na watu mbalimbali ila wale wenye kifafa wanapaswa kuitumia kwa taahadhari au kwa uangalizi zaidi na pia wenye aliji na dawa hii wanapaswa kutumia dawa nyingine tofauti na hii.
7. Dawaa hii inapaswa kutumiwa kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa.
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.
Soma Zaidi...