Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.

Fahamu kundi la Bata blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba hili kundi ambalo usaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo kwa kuwepo dawa tofauti tofauti kwenye kundi hili ambazo nazo uweza kufanya kazi tofauti tofauti kadri ya tatizo la mgonjwa, kwa hiyo kundi hili lina dawa ya atenolo, carvedilo,propanol na labetalolol kwa hiyo dawa hizi kutwa kwenye kundi la beta blockers.

 

2. Kwa ujumla kundi hili pamoja na kuwepo kwa dawa tofauti usaidia kutibu mapigo ya moyo ambayo siyo ya kawaida, kwa hiyo kuna kipindi mapigo ya moyo yanaweza kubadilika na kuwa na spidi kubwa au wakati mwingine spidi kuwa ndogo, yaani kwa ujumla mapigo ya moyo kutokuwa ya  kawaida kwa matumizi ya dawa hii usaidia mapigo ya moyo kuwa ya kawaida.

 

3. Vile vile  dawa hizi ambazo zipo kwenye kundi hili la beta blockers ufanya kazi ya kupanua mishipa ya damu na kusababisha damu iweze kusafiri vizuri, kwa hiyo nazo usaidia kwenye matibabu ya presha ya kupanda, yaani kwa kitaalamu hypertension, na pia usaidia kwa watu wenye matatizo ya heart attack, kwa hiyo dawa hizi ufanya kazi kubwa katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

 

4. Kwa sababu kundi hili la beta blockers ufanya Kazi mbalimbali na huwa na dawa tofauti tofauti na kila  dawa ina matumizi yake ni vizuri kutumia dawa hizi kwa maagizo ya wataalamu wa afya kwa sababu kila dawa kwenye kundi hili huwa na kazi maalumu, kwa hiyo dawa hizi hazitumiki kiholela bali ni kwa utaratibu maalum kadri ya tatizo la mgonjwa.

 

5. Kwa hiyo kutokana na kuwepo kwa dawa mbalimbali kwenye kundi hili kuna wengine watapaswa kutumia na wengine hapana kwa mfano kwa wale wenye presha ya kushuka hawapaswi kutumia baadhi ya dawa kwenye kundi hili kwa hiyo wataalamu wa afya ni lazima wahusike kwenye matumizi ya dawa hizi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1105

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 web hosting    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza aleji au mzio

Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB

Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Soma Zaidi...
Miungurumo haiishi tumboni nikishika upande wa kushoto wa tumbo kuna maumivu kwa mbali je mm nitumie dawa gan kuondoa tatizo hilo

Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa

Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.

Soma Zaidi...