FAHAMU KUHUSU DAWA ZA KUTIBU MINYOO


image


Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.


Fahamu dawa mbalimbali za kutibu minyoo .

1​​​​. Kama nilivyoeleza hapo juu kwamba kuna dawa mbalimbali za kutibu minyoo, kabla ya kuona dawa hizo tunapaswa kujua aina mbalimbali za minyoo ambazo usababisha ugonjwa kwa binadamu na pia tutaweza kuonesha dawa hizo.

 

2. Kama tunavyojua kwamba kuna makundi mbalimbali ya minyoo ambayo kwa kitaalamu huitwa Nematode, cestode na Trematode na pia kila kundi lina makundi yake na makundi hayo utibiwa kwa dawa tofauti kutokana na mnyoo uliosababisha ugonjwa huo.

 

3. Kuna kundi la nematode ambalo lina makundi madogo madogo kama vile giant roundworms, pinworms, hookworms, whipworm na thread worm hiyo minyoo utibiwa na dawa zake maalum kadri ya kundi lilivyo.

 

4. Kundi la pili ni kundi ambalo kwa kitaalamu huitwa cestode, na huwa na kundi lake ambalo ni beef tapeworm minyoo inayopatikana kwenye nyama, pork tape worm ni minyoo inayopatikana kwenye nyama ya nguruwe, fish tape worm ni minyoo inayopatikana kwenye samaki, hili kundi nalo lina dawa zake kama tutakavyokuja kuchambua moja na nyingine.

 

5. Kundi lingine kwa kitaalamu linajulikana kama Trematodes na lenyewe lina makundi yake madogo madogo kama vile blood fluke, intestine fluke, lungs fluke, liver fluke,Clonorchis sinensis, na pia hili kundi lina dawa zake maalum za kutibu kulingana na sehemu na aina ya mnyooo kwa hiyo baada ya kujua minyoo mbalimbali ni vizuri kufahamu na dawa zake kama ifuatavyo.

 

6. Dawa za kutibu minyoo 

  • Dawa hizi utumika kutibu aina mbalimbali za minyoo kadri ya makundi au kadri ya mnyoo mwenyewe aliyesababisha ugonjwa, dawa zenyewe ni kama ifuatavyo.
  • Mebendazole
  • Albendazole
  • Levamisole
  • Niclosamide
  • Thiabendazole

7.Pia dawa hizi huwa na maudhi mbalimbali ambayo ni kama vile maumivu ya tumbo, kutapika, kuharisha, kizunguzungu na maudhi madogo madogo kama hayo ila uisha taratibu na pia katika matumizi ya dawa hizi hali ya maudhi ikizidi ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya kwa maelekezo zaidi.

 

8. Kwa hiyo hizi dawa hazitumiwa kiholela kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa fulani na wengine wanapaswa kutumia kwa hiyo tutaenda kuchambua dawa moja baada ya nyingine hapo mbeleni.



Sponsored Posts


  👉    1 Mafunzo ya php       👉    2 Hadiythi za alif lela u lela       👉    3 Magonjwa na afya       👉    4 Jifunze fiqh       👉    5 Madrasa kiganjani       👉    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Fahamu dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine. Soma Zaidi...

image Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)
Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea kwa uvamizi zaidi. Ondoa minyoo hatari haraka na bila maumivu kwa kutumia albenza (albendazole) Soma Zaidi...

image Fahamau madhara ya flagyl (Metronidazole)
Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji. Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin. Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha
Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo Soma Zaidi...

image Faida za vidonge vya antroextra
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi. Soma Zaidi...

image Fahamu tiba ya jino
Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo utolewa na jino haliwezi kuuma , kufa ganzi au kutoboka kwa hiyo ifuatavyo ni tiba ya jino. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno
Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo. Soma Zaidi...

image Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Magonjwa ya kansa, damu na magonjwa mbalimbali hasa yake makubwa makubwa. Soma Zaidi...