picha

Fahamu kuhusu dawa za kutibu minyoo

Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.

Fahamu dawa mbalimbali za kutibu minyoo .

1​​​​. Kama nilivyoeleza hapo juu kwamba kuna dawa mbalimbali za kutibu minyoo, kabla ya kuona dawa hizo tunapaswa kujua aina mbalimbali za minyoo ambazo usababisha ugonjwa kwa binadamu na pia tutaweza kuonesha dawa hizo.

 

2. Kama tunavyojua kwamba kuna makundi mbalimbali ya minyoo ambayo kwa kitaalamu huitwa Nematode, cestode na Trematode na pia kila kundi lina makundi yake na makundi hayo utibiwa kwa dawa tofauti kutokana na mnyoo uliosababisha ugonjwa huo.

 

3. Kuna kundi la nematode ambalo lina makundi madogo madogo kama vile giant roundworms, pinworms, hookworms, whipworm na thread worm hiyo minyoo utibiwa na dawa zake maalum kadri ya kundi lilivyo.

 

4. Kundi la pili ni kundi ambalo kwa kitaalamu huitwa cestode, na huwa na kundi lake ambalo ni beef tapeworm minyoo inayopatikana kwenye nyama, pork tape worm ni minyoo inayopatikana kwenye nyama ya nguruwe, fish tape worm ni minyoo inayopatikana kwenye samaki, hili kundi nalo lina dawa zake kama tutakavyokuja kuchambua moja na nyingine.

 

5. Kundi lingine kwa kitaalamu linajulikana kama Trematodes na lenyewe lina makundi yake madogo madogo kama vile blood fluke, intestine fluke, lungs fluke, liver fluke,Clonorchis sinensis, na pia hili kundi lina dawa zake maalum za kutibu kulingana na sehemu na aina ya mnyooo kwa hiyo baada ya kujua minyoo mbalimbali ni vizuri kufahamu na dawa zake kama ifuatavyo.

 

6. Dawa za kutibu minyoo 

7.Pia dawa hizi huwa na maudhi mbalimbali ambayo ni kama vile maumivu ya tumbo, kutapika, kuharisha, kizunguzungu na maudhi madogo madogo kama hayo ila uisha taratibu na pia katika matumizi ya dawa hizi hali ya maudhi ikizidi ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya kwa maelekezo zaidi.

 

8. Kwa hiyo hizi dawa hazitumiwa kiholela kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa fulani na wengine wanapaswa kutumia kwa hiyo tutaenda kuchambua dawa moja baada ya nyingine hapo mbeleni.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 2675

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 ai web app     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin

Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Dawa za mitishamba za kutibu meno

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.

Soma Zaidi...
Dawa mbadala za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu minyoo

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote

Soma Zaidi...
Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Soma Zaidi...