picha

Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.

Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo,

1.kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, hii dawa ya hydralazine usaidia katika magonjwa ya presha hasa kama mishipa ya damu inapitisha damu kwa shida kwa hiyo kazi yake ni kurainisha mishipa ya damu Ili iweze kuruhusu dama iweze kupita kwa urahisi kwenye mishipa ya damu kwa hiyo kwa matumizi ya dawa hii watu wengi wameweza kupona na kirudia kwenye hali yao ya Kawaida au wengine ambao wanatumia dawa hii kama sehemu ya matibabu yao ya kila siku dawa hii imeweza kuleta uafadhari.

 

2. Pia dawa hii na yenyewe Ina maudhi madogo madogo ambayo utokea hasa kwa watumiaji na maudhi hayo utegemea mtu na mtu hasa uwasumbua sana wale wanaoanza matibabu, maudhi madogo madogo hayo ni Kama vile maumivu ya kichwa,na pia kwa sababu dawa hii uweza kurainisha mishipa ya damu na kuruhusu dama kwenda sehemu mbalimbali za mwili Kuna Kipindi mgonjwa anaweza kuonekana amechoka sana na pengine presha kupanda kabisa kwa sababu ya matumizi ya dawa hii ya hydralazine.

 

3. Vile vile dawa hii Inaweza kuleta kichefuchefu kwa mgonjwa na hatimaye kutapika , maumivu ya tumbo, kuharisha na pengine mwili kuwa na viupele kwa wagonjwa walio wachache wameriport kitendo cha kuvimba mwili hasa kwa wanaoanza kutumia dawa na wakizoea hali uendelea kama kawaida, pamoja na kuona maudhi hayo madogo madogo kama yakitokea kwa mda mfupi na kuisha hapo basi lakini kama yakiendelea na kuleta matatizo kwa mgonjwa ni vizuri kabisa kutoa taarifa kwa wataalamu wa afya Ili kuweza kubadilishiwaa dawa au kwa ushauri zaidi.

 

4. Pamoja na kufahamu kazi hii ya dawa ya hydralazine sio Vizuri kuitumia dawa hii kiholela Bali ni kwa utaratibu wa wataalamu wa afya,na pia dawa hii inatumika na watu mbalimbali isipokuwa wale we ye presha ya kupanda wanapaswa kutumia dawa hii kwa kuomba ushauri wa wataalamu wa afya.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023/02/04/Saturday - 08:43:54 pm Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1632

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 ai web app    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Dawa ya maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)

Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...
Dawa na matibabu ya presha ya kushuka

Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Fahamau madhara ya flagyl (Metronidazole)

Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno

Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.

Soma Zaidi...
Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi

Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya pyrantel pamoate

Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.

Soma Zaidi...