image

Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin

Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.

Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin .

1. Ni mojawapo ya dawa inayotumika kutibu fungasi za kwenye ngozi tu, pia iko kwenye mfumo wa mafuta mafuta hivi, au oil, cream kwa hiyo upakwa kwa mafuta.ni vizuri kabisa kutumiwa kwenye ngozi tu ikitumia kwa namna nyingine ni hatari kwa hiyo ni vizuri kuwaambia watumiaji kwamba  makini katika kutumia dawa hii kwa sababu ikitumiwa vinginevyo tofauti na kwenye ngozi ni hatari sana.

 

2.pia dawa hii haiwezi kumengenywa kama dawa nyingine ambazo umengenywa kwenye mfumo wa chakula ndio maana ni hatari sana ikitumika kwenye system ya chakula, pia dawa hii usaidia kwenye kandida za sehemu mbalimbali kwa mfano dawa hii inaweza kutibu kandida ya kwenye sehemu za siri kwa kupaka dawa hiyo kwenye sehemu za siri.

 

3. Namna ya kutumia dawa hizi, unanawa mikono kwanza ili kuepuka kuingiza wadudu kwenye dawa , unakuwa tayari umeshasafisha sehemu ambayo unataka kupaka dawa hiyo ,unakaushaa sehemu hiyo vizuri kwa kitambaa kizuri,unapaka dawa yako kadri ya maelekezo ya wataalamu wa afya, kama ni sehemu za siri ni vizuri kabisa kutumia dawa hiyo wakati wa kupumzika au wakati wa usiku ili kuruhusu dawa ifanye kazi yake vizuri.

 

4. Pengine anayetumia dawa ni mgonjwa ambaye hajiwezi ni vizuri kabisa kumpaka au pengine ni mtoto ambaye hawezi kujihudumia mwenyewe ni vizuri kumpaka na kuzingatia kwamba hakuna kusambaza ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, pia kabla ya kutumia dawa nyingine baada ya kujipaka ni vizuri kabisa kuoga dawa ile ya kwanza na hakikisha unazingatia usafi katika matumizi ya dawa hii.

 

5. Katika matumizi ya dawa hii zingatia kwamba dawa hii utumika kwenye ngozi ya nje tu na ikitumiwa kwa njia yoyote ni hatari kwa afya kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweka dawa hii mbali na watoto ili kuepuka hatari ya kutumia dawa hii kama mafuta au pengine wanaweza Kulamba au kula na mambo kama hayo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa hizi kwa ushauri wa wataalamu wa afya kwa sababu bila ushauri wao matumizi mengine yanaweza kuwa sio sahihi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 939


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha
Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha. Soma Zaidi...

Dawa ya kutibu UTI
Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant
Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.
Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu Soma Zaidi...

Matibabu ya macho
Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho Soma Zaidi...

Ni dawa gani hatari kwa mjamzito?
Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako. Soma Zaidi...

Kazi ya Dawa ya salbutamol
Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma. Soma Zaidi...

Fahamu dawa za cyclophosphamide na mustargen.
Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa. Soma Zaidi...

Ifahamu dawa ya kutibu kifua kikuu
Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu. Soma Zaidi...

Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo. Soma Zaidi...

Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake. Soma Zaidi...

Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali. Soma Zaidi...