Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.
1. Ni mojawapo ya dawa inayotumika kutibu fungasi za kwenye ngozi tu, pia iko kwenye mfumo wa mafuta mafuta hivi, au oil, cream kwa hiyo upakwa kwa mafuta.ni vizuri kabisa kutumiwa kwenye ngozi tu ikitumia kwa namna nyingine ni hatari kwa hiyo ni vizuri kuwaambia watumiaji kwamba makini katika kutumia dawa hii kwa sababu ikitumiwa vinginevyo tofauti na kwenye ngozi ni hatari sana.
2.pia dawa hii haiwezi kumengenywa kama dawa nyingine ambazo umengenywa kwenye mfumo wa chakula ndio maana ni hatari sana ikitumika kwenye system ya chakula, pia dawa hii usaidia kwenye kandida za sehemu mbalimbali kwa mfano dawa hii inaweza kutibu kandida ya kwenye sehemu za siri kwa kupaka dawa hiyo kwenye sehemu za siri.
3. Namna ya kutumia dawa hizi, unanawa mikono kwanza ili kuepuka kuingiza wadudu kwenye dawa , unakuwa tayari umeshasafisha sehemu ambayo unataka kupaka dawa hiyo ,unakaushaa sehemu hiyo vizuri kwa kitambaa kizuri,unapaka dawa yako kadri ya maelekezo ya wataalamu wa afya, kama ni sehemu za siri ni vizuri kabisa kutumia dawa hiyo wakati wa kupumzika au wakati wa usiku ili kuruhusu dawa ifanye kazi yake vizuri.
4. Pengine anayetumia dawa ni mgonjwa ambaye hajiwezi ni vizuri kabisa kumpaka au pengine ni mtoto ambaye hawezi kujihudumia mwenyewe ni vizuri kumpaka na kuzingatia kwamba hakuna kusambaza ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, pia kabla ya kutumia dawa nyingine baada ya kujipaka ni vizuri kabisa kuoga dawa ile ya kwanza na hakikisha unazingatia usafi katika matumizi ya dawa hii.
5. Katika matumizi ya dawa hii zingatia kwamba dawa hii utumika kwenye ngozi ya nje tu na ikitumiwa kwa njia yoyote ni hatari kwa afya kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweka dawa hii mbali na watoto ili kuepuka hatari ya kutumia dawa hii kama mafuta au pengine wanaweza Kulamba au kula na mambo kama hayo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa hizi kwa ushauri wa wataalamu wa afya kwa sababu bila ushauri wao matumizi mengine yanaweza kuwa sio sahihi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa za kisukari, kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kisukari vilevile kuna dawa zake ambazo utumika kurekebisha sukari kama imepanda au kushuka.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...