picha

Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Dawa za kutuliza kifafa .

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba Kuna dawa mbalimbali za kutuliza kifafa, Leo tutaona dawa hii ya phenobarbitone kaka kutuliza kifafa, tunavyofahamu kwamba dawa hii ya phenobarbitone ndiyo dawa ambayo inatumika sana kwa watu wazima na watoto pia.

 

2. Dawa hii ya phenobarbitone inawezekana kabisa kupitia kwenye mishipa ya damu na pia kwenye matako au paja , pia dawa hii dozi yake huwa ni mara Moja hasa utumika wakati wa usiku lakini utumika zaidi kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya na kadri ya hali ya mgonjwa.

 

3. Dozi ya dawa ya phenobarbitone utegemea na umri pamoja na Uzito,kwa upande wa watoto upewa milligrams kuanzia tatu mpaka tano , kwa upande wa watu wazima milligrams uanzia sitini mpaka mia themanini, kama dawa inapirishiwa kwenye mishipa ya damu dawa hii uchanganywa na maji maalumu ambayo Kwa kitaamu huiitwa water for injection.

 

4. Pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wenye aleji na dawa hii hawapaswi kabisa kuitumia na vile dawa hii uingiliana na dawa nyingine kama vile warfarin, carbamazepine ,dawa za uzazi wa mpango na vidonge vya folic acid, kwa hiyo kwa watumiaji wa dawa hizi ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia phenobarbitone.

 

5. Dawa hii pia Ina maudhi madogo madogo kwa watumiaji ambayo ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa chini, kupumua kwa shida,na pia upungufu wa damu, na katika kutumia dawa hii kwa watumiaji wanapaswa kuitumia kwa utaratibu wa wataalamu wa afya sio kutumia dawa hii kiholela.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/12/29/Thursday - 04:38:40 pm Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 3884

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 web hosting    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Miungurumo haiishi tumboni nikishika upande wa kushoto wa tumbo kuna maumivu kwa mbali je mm nitumie dawa gan kuondoa tatizo hilo

Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu ugonjwa wa macho

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.

Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu

Soma Zaidi...
Fahamau madhara ya flagyl (Metronidazole)

Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu maumivu ya jino

Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa

Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.

Soma Zaidi...
Faida za dawa za NMN

Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu fangasi wa kwenye mdomo na kinywa

Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.

Soma Zaidi...
Dapsone na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.

Soma Zaidi...