Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Dawa za kutuliza kifafa .

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba Kuna dawa mbalimbali za kutuliza kifafa, Leo tutaona dawa hii ya phenobarbitone kaka kutuliza kifafa, tunavyofahamu kwamba dawa hii ya phenobarbitone ndiyo dawa ambayo inatumika sana kwa watu wazima na watoto pia.

 

2. Dawa hii ya phenobarbitone inawezekana kabisa kupitia kwenye mishipa ya damu na pia kwenye matako au paja , pia dawa hii dozi yake huwa ni mara Moja hasa utumika wakati wa usiku lakini utumika zaidi kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya na kadri ya hali ya mgonjwa.

 

3. Dozi ya dawa ya phenobarbitone utegemea na umri pamoja na Uzito,kwa upande wa watoto upewa milligrams kuanzia tatu mpaka tano , kwa upande wa watu wazima milligrams uanzia sitini mpaka mia themanini, kama dawa inapirishiwa kwenye mishipa ya damu dawa hii uchanganywa na maji maalumu ambayo Kwa kitaamu huiitwa water for injection.

 

4. Pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wenye aleji na dawa hii hawapaswi kabisa kuitumia na vile dawa hii uingiliana na dawa nyingine kama vile warfarin, carbamazepine ,dawa za uzazi wa mpango na vidonge vya folic acid, kwa hiyo kwa watumiaji wa dawa hizi ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia phenobarbitone.

 

5. Dawa hii pia Ina maudhi madogo madogo kwa watumiaji ambayo ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa chini, kupumua kwa shida,na pia upungufu wa damu, na katika kutumia dawa hii kwa watumiaji wanapaswa kuitumia kwa utaratibu wa wataalamu wa afya sio kutumia dawa hii kiholela.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 3450

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya potassium sparing

Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Miungurumo haiishi tumboni nikishika upande wa kushoto wa tumbo kuna maumivu kwa mbali je mm nitumie dawa gan kuondoa tatizo hilo

Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu macho

Hizi ndio dawa za macho yenye ukavu, kuwasha ama kutoa machozi

Soma Zaidi...
Dapsone na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya aminophylline kutibi maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Faida za vidonge vya antroextra

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.

Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu

Soma Zaidi...