Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba Kuna dawa mbalimbali za kutuliza kifafa, Leo tutaona dawa hii ya phenobarbitone kaka kutuliza kifafa, tunavyofahamu kwamba dawa hii ya phenobarbitone ndiyo dawa ambayo inatumika sana kwa watu wazima na watoto pia.
2. Dawa hii ya phenobarbitone inawezekana kabisa kupitia kwenye mishipa ya damu na pia kwenye matako au paja , pia dawa hii dozi yake huwa ni mara Moja hasa utumika wakati wa usiku lakini utumika zaidi kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya na kadri ya hali ya mgonjwa.
3. Dozi ya dawa ya phenobarbitone utegemea na umri pamoja na Uzito,kwa upande wa watoto upewa milligrams kuanzia tatu mpaka tano , kwa upande wa watu wazima milligrams uanzia sitini mpaka mia themanini, kama dawa inapirishiwa kwenye mishipa ya damu dawa hii uchanganywa na maji maalumu ambayo Kwa kitaamu huiitwa water for injection.
4. Pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wenye aleji na dawa hii hawapaswi kabisa kuitumia na vile dawa hii uingiliana na dawa nyingine kama vile warfarin, carbamazepine ,dawa za uzazi wa mpango na vidonge vya folic acid, kwa hiyo kwa watumiaji wa dawa hizi ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia phenobarbitone.
5. Dawa hii pia Ina maudhi madogo madogo kwa watumiaji ambayo ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa chini, kupumua kwa shida,na pia upungufu wa damu, na katika kutumia dawa hii kwa watumiaji wanapaswa kuitumia kwa utaratibu wa wataalamu wa afya sio kutumia dawa hii kiholela.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.
Soma Zaidi...Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...