picha

Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Dawa za kutuliza kifafa .

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba Kuna dawa mbalimbali za kutuliza kifafa, Leo tutaona dawa hii ya phenobarbitone kaka kutuliza kifafa, tunavyofahamu kwamba dawa hii ya phenobarbitone ndiyo dawa ambayo inatumika sana kwa watu wazima na watoto pia.

 

2. Dawa hii ya phenobarbitone inawezekana kabisa kupitia kwenye mishipa ya damu na pia kwenye matako au paja , pia dawa hii dozi yake huwa ni mara Moja hasa utumika wakati wa usiku lakini utumika zaidi kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya na kadri ya hali ya mgonjwa.

 

3. Dozi ya dawa ya phenobarbitone utegemea na umri pamoja na Uzito,kwa upande wa watoto upewa milligrams kuanzia tatu mpaka tano , kwa upande wa watu wazima milligrams uanzia sitini mpaka mia themanini, kama dawa inapirishiwa kwenye mishipa ya damu dawa hii uchanganywa na maji maalumu ambayo Kwa kitaamu huiitwa water for injection.

 

4. Pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wenye aleji na dawa hii hawapaswi kabisa kuitumia na vile dawa hii uingiliana na dawa nyingine kama vile warfarin, carbamazepine ,dawa za uzazi wa mpango na vidonge vya folic acid, kwa hiyo kwa watumiaji wa dawa hizi ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia phenobarbitone.

 

5. Dawa hii pia Ina maudhi madogo madogo kwa watumiaji ambayo ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa chini, kupumua kwa shida,na pia upungufu wa damu, na katika kutumia dawa hii kwa watumiaji wanapaswa kuitumia kwa utaratibu wa wataalamu wa afya sio kutumia dawa hii kiholela.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 3631

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya kutuliza mishutuko.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.

Soma Zaidi...
Fahamu antibiotics ya asili.

Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.

Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID

PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB

Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimi

Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao

Soma Zaidi...
Dawa ya maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya Prednisone katika kupambana na aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.

Soma Zaidi...