Fahamu kuhusu dawa ya kaoline

Fahamu kuhusu dawa ya kaoline

Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dawa ya kuzuia kuharisha.

1. Dawa hii ya kaoline inazuia kuharisha kwa sababu ya kuwepo kwa vitu mbalimbali kwenye dawa hiyo ambavyo ni pectin, chalk, charcoal, methyl cellulose na magnesium aluminum silicate kutokana na mchanganyiko huo usaidia sana mtu anayeharisha.

 

2. Dawa hii kwa wingi upitia kwenye mmengenyo wa chakula na kusaidia kufyonza wadudu pamoja na sumu inayosababisha mtu kuharisha na baada ya kufanikiwa kuwatoa hao wadudu na sumu hali ya mgonjwa huwa kawaida.

 

3. Na pia dawa hii utumika kwa watu mbalimbali ila wake wenye aleji na dawa hii hawapaswi kuitumia na pia dawa hii huwa na maudhi madogo madogo kama vile maumivu ya kichwa na kizunguzungu.

 

4. Na pia inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya sio kuitumia kiholela Bali utumika kulingana na utaratibu na maelekezo yanavyopaswa.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 970

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya potassium sparing
Fahamu kuhusu dawa ya potassium sparing

Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Ni dawa gani hatari kwa mjamzito?
Ni dawa gani hatari kwa mjamzito?

Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
 Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)
Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia
Dawa za kutibu kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
Dawa na matibabu ya presha ya kushuka
Dawa na matibabu ya presha ya kushuka

Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya streptomycin
Fahamu kuhusu dawa ya streptomycin

Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant
Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.

Soma Zaidi...
Dawa ya Vidonda vya tumbo
Dawa ya Vidonda vya tumbo

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide
Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide

Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini.

Soma Zaidi...