Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.

Fahamu makundi mbalimbali ya dawa ya penicillin.

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba tunaenda kujua dawa aina ya penicillin, hii dawa utumika katika matibabu mbalimbali ya maambukizi ya bakteria kama vile matibabu ya nimonia,kutibu maambukizi kwenye kibofu cha mkojo na maambukizi mbalimbali yanayosababishwa na bakteria, lakini dawa hii imegawanyika katika makundi makuu manne , kwa hiyo tunaenda kujua kundi Moja baada ya jingine.

 

2. Kundi la kwanza la penicillin ni kundi ambalo ufanya kazi kwa mda mrefu yaaani dawaa hizi zibapoingia mwilini ukaa kwa mda mrefu na pia ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hizi huwa hivyo kwa sababu ya aina ya bakteria ambao upambana nao, dawa hizo kwa kitaamu huiitwa long acting antibiotics mfano wa dawa hizo ni procaine benzyl - penicillin ( crystalline penicillin=crystapen).

 

3. Kundi la pili la penicillin ni dawa za penicillin ambazo upambana na bakteria ambao utoa asidi Ili kuweza kuzuia dawa zisieweze kufanya kazi kundi hili kwa kitaamu huiitwa acid resistance penicillin, ikiwa dawa nyingine zimetumika ambazo hazina sifa ushindwa kufanya kazi kwa sababu ya saidi ambayo utolewa na aina hii ya bakteria,dawa zenyewe za kuzuia asidi ya bakteria ni phenoxy-methyl penicillin.

 

4. Kundi la tatu la penicillin ni kundi la dawa  ambalo utengenezwa Ili kupambana na bakteria wale ambao uzalisha enzymes Ili kuweza kuzuia kazi ya dawa, kwa hiyo dawa hizi zikitumiwa uweza kupambana na bakteria hao igawa wametoa hizo enzymes,ila kama aina nyingine ya penicillin imetumika ambayo Haina sifa hizo kupona kwa mgonjwa ni vigumu, dawa hizo ni cloxacillin (orbenini). Kundi hili kwa kitaamu huiitwa penicillin resistance penicillase.

 

5. Kundi la nne la penicillin ni kundi ambalo ufanya Kazi kama lile kundi la penicillin resistance penicillase, ila dawa ni tofauti , kundi hili kwa kitaamu huiitwa broad spectrum penicillin, kwa hiyo kundi hili  uzuia bakteria ambao utoa kemikali kwa dawa zinazokuja kutibu maambukizi ya bakteria, dawa hizo ni ampicillin ( penbritin).

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/12/22/Thursday - 12:34:30 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 433

Post zifazofanana:-

Njia za kuondoa fangasi sehemu za siri
Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha
Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo Soma Zaidi...

Fahamu dawa za cyclophosphamide na mustargen.
Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide
Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo. Soma Zaidi...

Jinsi ya kuongeza nguvu za kiume
Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya Prednisone katika kupambana na aleji
Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya kutuliza mishutuko.
Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria. Soma Zaidi...

Fahamu dawa za kutibu mafua
Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ambazo uchangia kupungua kwa nguvu za kiume
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema Soma Zaidi...