Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba tunaenda kujua dawa aina ya penicillin, hii dawa utumika katika matibabu mbalimbali ya maambukizi ya bakteria kama vile matibabu ya nimonia,kutibu maambukizi kwenye kibofu cha mkojo na maambukizi mbalimbali yanayosababishwa na bakteria, lakini dawa hii imegawanyika katika makundi makuu manne , kwa hiyo tunaenda kujua kundi Moja baada ya jingine.
2. Kundi la kwanza la penicillin ni kundi ambalo ufanya kazi kwa mda mrefu yaaani dawaa hizi zibapoingia mwilini ukaa kwa mda mrefu na pia ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hizi huwa hivyo kwa sababu ya aina ya bakteria ambao upambana nao, dawa hizo kwa kitaamu huiitwa long acting antibiotics mfano wa dawa hizo ni procaine benzyl - penicillin ( crystalline penicillin=crystapen).
3. Kundi la pili la penicillin ni dawa za penicillin ambazo upambana na bakteria ambao utoa asidi Ili kuweza kuzuia dawa zisieweze kufanya kazi kundi hili kwa kitaamu huiitwa acid resistance penicillin, ikiwa dawa nyingine zimetumika ambazo hazina sifa ushindwa kufanya kazi kwa sababu ya saidi ambayo utolewa na aina hii ya bakteria,dawa zenyewe za kuzuia asidi ya bakteria ni phenoxy-methyl penicillin.
4. Kundi la tatu la penicillin ni kundi la dawa ambalo utengenezwa Ili kupambana na bakteria wale ambao uzalisha enzymes Ili kuweza kuzuia kazi ya dawa, kwa hiyo dawa hizi zikitumiwa uweza kupambana na bakteria hao igawa wametoa hizo enzymes,ila kama aina nyingine ya penicillin imetumika ambayo Haina sifa hizo kupona kwa mgonjwa ni vigumu, dawa hizo ni cloxacillin (orbenini). Kundi hili kwa kitaamu huiitwa penicillin resistance penicillase.
5. Kundi la nne la penicillin ni kundi ambalo ufanya Kazi kama lile kundi la penicillin resistance penicillase, ila dawa ni tofauti , kundi hili kwa kitaamu huiitwa broad spectrum penicillin, kwa hiyo kundi hili uzuia bakteria ambao utoa kemikali kwa dawa zinazokuja kutibu maambukizi ya bakteria, dawa hizo ni ampicillin ( penbritin).
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo.
Soma Zaidi...Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.
Soma Zaidi...