Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.

Fahamu makundi mbalimbali ya dawa ya penicillin.

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba tunaenda kujua dawa aina ya penicillin, hii dawa utumika katika matibabu mbalimbali ya maambukizi ya bakteria kama vile matibabu ya nimonia,kutibu maambukizi kwenye kibofu cha mkojo na maambukizi mbalimbali yanayosababishwa na bakteria, lakini dawa hii imegawanyika katika makundi makuu manne , kwa hiyo tunaenda kujua kundi Moja baada ya jingine.

 

2. Kundi la kwanza la penicillin ni kundi ambalo ufanya kazi kwa mda mrefu yaaani dawaa hizi zibapoingia mwilini ukaa kwa mda mrefu na pia ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hizi huwa hivyo kwa sababu ya aina ya bakteria ambao upambana nao, dawa hizo kwa kitaamu huiitwa long acting antibiotics mfano wa dawa hizo ni procaine benzyl - penicillin ( crystalline penicillin=crystapen).

 

3. Kundi la pili la penicillin ni dawa za penicillin ambazo upambana na bakteria ambao utoa asidi Ili kuweza kuzuia dawa zisieweze kufanya kazi kundi hili kwa kitaamu huiitwa acid resistance penicillin, ikiwa dawa nyingine zimetumika ambazo hazina sifa ushindwa kufanya kazi kwa sababu ya saidi ambayo utolewa na aina hii ya bakteria,dawa zenyewe za kuzuia asidi ya bakteria ni phenoxy-methyl penicillin.

 

4. Kundi la tatu la penicillin ni kundi la dawa  ambalo utengenezwa Ili kupambana na bakteria wale ambao uzalisha enzymes Ili kuweza kuzuia kazi ya dawa, kwa hiyo dawa hizi zikitumiwa uweza kupambana na bakteria hao igawa wametoa hizo enzymes,ila kama aina nyingine ya penicillin imetumika ambayo Haina sifa hizo kupona kwa mgonjwa ni vigumu, dawa hizo ni cloxacillin (orbenini). Kundi hili kwa kitaamu huiitwa penicillin resistance penicillase.

 

5. Kundi la nne la penicillin ni kundi ambalo ufanya Kazi kama lile kundi la penicillin resistance penicillase, ila dawa ni tofauti , kundi hili kwa kitaamu huiitwa broad spectrum penicillin, kwa hiyo kundi hili  uzuia bakteria ambao utoa kemikali kwa dawa zinazokuja kutibu maambukizi ya bakteria, dawa hizo ni ampicillin ( penbritin).

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1467

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 web hosting    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Namna ya kutumia tiba ya jino.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.

Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.

Soma Zaidi...
Dawa za mitishamba za kutibu meno

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide

Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya haloperidol katika matibabu ya akili

Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.

Soma Zaidi...
Dawa ya Vidonda vya tumbo

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutuliza mishutuko.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.

Soma Zaidi...