Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba tunaenda kujua dawa aina ya penicillin, hii dawa utumika katika matibabu mbalimbali ya maambukizi ya bakteria kama vile matibabu ya nimonia,kutibu maambukizi kwenye kibofu cha mkojo na maambukizi mbalimbali yanayosababishwa na bakteria, lakini dawa hii imegawanyika katika makundi makuu manne , kwa hiyo tunaenda kujua kundi Moja baada ya jingine.
2. Kundi la kwanza la penicillin ni kundi ambalo ufanya kazi kwa mda mrefu yaaani dawaa hizi zibapoingia mwilini ukaa kwa mda mrefu na pia ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hizi huwa hivyo kwa sababu ya aina ya bakteria ambao upambana nao, dawa hizo kwa kitaamu huiitwa long acting antibiotics mfano wa dawa hizo ni procaine benzyl - penicillin ( crystalline penicillin=crystapen).
3. Kundi la pili la penicillin ni dawa za penicillin ambazo upambana na bakteria ambao utoa asidi Ili kuweza kuzuia dawa zisieweze kufanya kazi kundi hili kwa kitaamu huiitwa acid resistance penicillin, ikiwa dawa nyingine zimetumika ambazo hazina sifa ushindwa kufanya kazi kwa sababu ya saidi ambayo utolewa na aina hii ya bakteria,dawa zenyewe za kuzuia asidi ya bakteria ni phenoxy-methyl penicillin.
4. Kundi la tatu la penicillin ni kundi la dawa ambalo utengenezwa Ili kupambana na bakteria wale ambao uzalisha enzymes Ili kuweza kuzuia kazi ya dawa, kwa hiyo dawa hizi zikitumiwa uweza kupambana na bakteria hao igawa wametoa hizo enzymes,ila kama aina nyingine ya penicillin imetumika ambayo Haina sifa hizo kupona kwa mgonjwa ni vigumu, dawa hizo ni cloxacillin (orbenini). Kundi hili kwa kitaamu huiitwa penicillin resistance penicillase.
5. Kundi la nne la penicillin ni kundi ambalo ufanya Kazi kama lile kundi la penicillin resistance penicillase, ila dawa ni tofauti , kundi hili kwa kitaamu huiitwa broad spectrum penicillin, kwa hiyo kundi hili uzuia bakteria ambao utoa kemikali kwa dawa zinazokuja kutibu maambukizi ya bakteria, dawa hizo ni ampicillin ( penbritin).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Aspirini Ni dawa ya kutuliza maumivu.Majina yanayoaminika zaidi katika kutuliza maumivu sasa yanapatikana kwa njia mbadala inayookoa gharama kwa kutumia Aspirini. Aspirini inayopendwa na familia kwa miongo kadhaa, mara nyingi hutumiwa kupunguza maumivu y
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.
Soma Zaidi...Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.
Soma Zaidi...