Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kuhusu dawa hi ya loperamide ni dawa muhimu ambayo imependekezwa kutibu kuharisha pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali.
2. Dawa hii mara nyingi huwa kwenye mfumo wa vidonge na pia ufika Moja kwa moja kwenye mmengenyo wa chakula na kuweza kutuliza maumivu ya tumbo na pia ufanya Kazi hasa kwenye utumbo mdogo na mkubwa.
3. Mara nyingi chanzo cha kuharisha huwa ni maambukizi kwenye utumbo na pia mtu kuharisha ni kama kutoa uchafu kwenye mwili kwa hiyo dawa hii upambana na maambukizi ambayo yametokea na kuhakikisha kuwa kuharisha kumekoma.
4. Dawa hii utumika kwaa watu mbalimbali ila haipaswi kutumiwa na wanye aleji na loperamide na pia haipaswi kutumiwa na watoto wadogo na akina mama wanaonyonyesha watoto wachanga wanapaswa kuitumia kwa taahadhari au kwa ushauri wa wataalamu wa afya.
5. Vile vile dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya kwa sababu ya watu ambao hawapaswi kutumia wanaweza kutumia wakapata matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vema kabisa kuitumia kwa uangalizi mkubwa.
6. Pia dawa hii Ina maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile kizunguzungu, maumivu ya kichwa, kukosa hamu ya kula na pia kuharisha kunaweza kuisha na choo kikawa kigumu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.
Soma Zaidi...