Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kuhusu dawa hi ya loperamide ni dawa muhimu ambayo imependekezwa kutibu kuharisha pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali.
2. Dawa hii mara nyingi huwa kwenye mfumo wa vidonge na pia ufika Moja kwa moja kwenye mmengenyo wa chakula na kuweza kutuliza maumivu ya tumbo na pia ufanya Kazi hasa kwenye utumbo mdogo na mkubwa.
3. Mara nyingi chanzo cha kuharisha huwa ni maambukizi kwenye utumbo na pia mtu kuharisha ni kama kutoa uchafu kwenye mwili kwa hiyo dawa hii upambana na maambukizi ambayo yametokea na kuhakikisha kuwa kuharisha kumekoma.
4. Dawa hii utumika kwaa watu mbalimbali ila haipaswi kutumiwa na wanye aleji na loperamide na pia haipaswi kutumiwa na watoto wadogo na akina mama wanaonyonyesha watoto wachanga wanapaswa kuitumia kwa taahadhari au kwa ushauri wa wataalamu wa afya.
5. Vile vile dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya kwa sababu ya watu ambao hawapaswi kutumia wanaweza kutumia wakapata matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vema kabisa kuitumia kwa uangalizi mkubwa.
6. Pia dawa hii Ina maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile kizunguzungu, maumivu ya kichwa, kukosa hamu ya kula na pia kuharisha kunaweza kuisha na choo kikawa kigumu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
Soma Zaidi...