Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kuhusu dawa hi ya loperamide ni dawa muhimu ambayo imependekezwa kutibu kuharisha pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali.
2. Dawa hii mara nyingi huwa kwenye mfumo wa vidonge na pia ufika Moja kwa moja kwenye mmengenyo wa chakula na kuweza kutuliza maumivu ya tumbo na pia ufanya Kazi hasa kwenye utumbo mdogo na mkubwa.
3. Mara nyingi chanzo cha kuharisha huwa ni maambukizi kwenye utumbo na pia mtu kuharisha ni kama kutoa uchafu kwenye mwili kwa hiyo dawa hii upambana na maambukizi ambayo yametokea na kuhakikisha kuwa kuharisha kumekoma.
4. Dawa hii utumika kwaa watu mbalimbali ila haipaswi kutumiwa na wanye aleji na loperamide na pia haipaswi kutumiwa na watoto wadogo na akina mama wanaonyonyesha watoto wachanga wanapaswa kuitumia kwa taahadhari au kwa ushauri wa wataalamu wa afya.
5. Vile vile dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya kwa sababu ya watu ambao hawapaswi kutumia wanaweza kutumia wakapata matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vema kabisa kuitumia kwa uangalizi mkubwa.
6. Pia dawa hii Ina maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile kizunguzungu, maumivu ya kichwa, kukosa hamu ya kula na pia kuharisha kunaweza kuisha na choo kikawa kigumu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1403
Sponsored links
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Kitau cha Fiqh
Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa
Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili. Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida. Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa Soma Zaidi...
Dawa ya Rifampicin na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu. Soma Zaidi...
Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin
Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa. Soma Zaidi...
Dawa za fangasi ukeni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu macho
Hizi ndio dawa za macho yenye ukavu, kuwasha ama kutoa machozi Soma Zaidi...
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin. Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin
Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi. Soma Zaidi...