Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha
Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
Fahamu kuhusu dawa ya loperamide .
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kuhusu dawa hi ya loperamide ni dawa muhimu ambayo imependekezwa kutibu kuharisha pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali.
2. Dawa hii mara nyingi huwa kwenye mfumo wa vidonge na pia ufika Moja kwa moja kwenye mmengenyo wa chakula na kuweza kutuliza maumivu ya tumbo na pia ufanya Kazi hasa kwenye utumbo mdogo na mkubwa.
3. Mara nyingi chanzo cha kuharisha huwa ni maambukizi kwenye utumbo na pia mtu kuharisha ni kama kutoa uchafu kwenye mwili kwa hiyo dawa hii upambana na maambukizi ambayo yametokea na kuhakikisha kuwa kuharisha kumekoma.
4. Dawa hii utumika kwaa watu mbalimbali ila haipaswi kutumiwa na wanye aleji na loperamide na pia haipaswi kutumiwa na watoto wadogo na akina mama wanaonyonyesha watoto wachanga wanapaswa kuitumia kwa taahadhari au kwa ushauri wa wataalamu wa afya.
5. Vile vile dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya kwa sababu ya watu ambao hawapaswi kutumia wanaweza kutumia wakapata matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vema kabisa kuitumia kwa uangalizi mkubwa.
6. Pia dawa hii Ina maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile kizunguzungu, maumivu ya kichwa, kukosa hamu ya kula na pia kuharisha kunaweza kuisha na choo kikawa kigumu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa
Soma Zaidi...Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo
Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Faida za vidonge vya zamiconal
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
Soma Zaidi...Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini
Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.
Soma Zaidi...Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Dawa ya Isoniazid na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...