Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.
Ushauri kwa wachumba na akina Mama kabla ya kubeba mimba.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kabla ya kubeba mimba tunapaswa kuwa na maandalizi ili kuepuka kupata watoto wenye ulemavu ambao watafanya tuishi kwa shida na kutumia gharama nyingi ikiwa watapata Magonjwa ambayo yataweza kupatikana kwa kutofuata mashariti au ushauri kabla ya kubeba mimba.
2.Mama au wachumba wanapaswa kula vyakula vyenye mlo kamili kama vile vyakula vya wanga, vyakula vya mafuta, vyakula vya protini, vyakula vyenye madini na vitamini mbalimbali kwa kufanya hivyo pia Mama anapaswa kuwa na damu ya kutosha na kupima Malaria kabla ya kubeba mimba na pia kutumia vidonge au vyakula vya madini ya chuma kwa kufanya hivyo nakuhakikishia kuwa mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.
3.Pia Mama anapaswa kuepukana na vitu kama vile matumizi ya madawa ya kulevya kwa sababu usababisha mimba kutoka, kuzaliwa mtoto kabla ya wakati, mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mdogo au mtoto mlemavu. Kwa hiyo akina Mama kama wanatumia madawa ya kulevya kabla ya kubeba mimba waache kabisa ili waweze kupata watoto wa kawaida wasio na matatizo yoyote.
4. Pia wanapaswa kuacha kabisa matumizi ya sigara na vileo vikali kwa sababu usababisha mimba kutoka, kuzaa mtoto mfu, Mtoto kuzaliwa kabla ya wakati, mtoto kuzaliwa akiwa na umri mdogo na mimba kutoka kwa hiyo akina mama na wachumba kabla hamjabeba mimba hakikisha unaacha kuvuta sigara na matumizi ya vileo vikali.
5.pia Mama na wachumba kabla hawajaanza kubeba mimba wanapaswa kufanya mazoezi ya kiasi sio mazoezi makali kwa sababu yanaweza kusababisha mimba kutoka na pia Mama anapaswa kujiepusha na vitu vyetu mionzi, kwa kufanya hayo tutaweza kupata watoto wenye akili tmamu na magonjwa kwa watoto yatapungua sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...