Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.
Ushauri kwa wachumba na akina Mama kabla ya kubeba mimba.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kabla ya kubeba mimba tunapaswa kuwa na maandalizi ili kuepuka kupata watoto wenye ulemavu ambao watafanya tuishi kwa shida na kutumia gharama nyingi ikiwa watapata Magonjwa ambayo yataweza kupatikana kwa kutofuata mashariti au ushauri kabla ya kubeba mimba.
2.Mama au wachumba wanapaswa kula vyakula vyenye mlo kamili kama vile vyakula vya wanga, vyakula vya mafuta, vyakula vya protini, vyakula vyenye madini na vitamini mbalimbali kwa kufanya hivyo pia Mama anapaswa kuwa na damu ya kutosha na kupima Malaria kabla ya kubeba mimba na pia kutumia vidonge au vyakula vya madini ya chuma kwa kufanya hivyo nakuhakikishia kuwa mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.
3.Pia Mama anapaswa kuepukana na vitu kama vile matumizi ya madawa ya kulevya kwa sababu usababisha mimba kutoka, kuzaliwa mtoto kabla ya wakati, mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mdogo au mtoto mlemavu. Kwa hiyo akina Mama kama wanatumia madawa ya kulevya kabla ya kubeba mimba waache kabisa ili waweze kupata watoto wa kawaida wasio na matatizo yoyote.
4. Pia wanapaswa kuacha kabisa matumizi ya sigara na vileo vikali kwa sababu usababisha mimba kutoka, kuzaa mtoto mfu, Mtoto kuzaliwa kabla ya wakati, mtoto kuzaliwa akiwa na umri mdogo na mimba kutoka kwa hiyo akina mama na wachumba kabla hamjabeba mimba hakikisha unaacha kuvuta sigara na matumizi ya vileo vikali.
5.pia Mama na wachumba kabla hawajaanza kubeba mimba wanapaswa kufanya mazoezi ya kiasi sio mazoezi makali kwa sababu yanaweza kusababisha mimba kutoka na pia Mama anapaswa kujiepusha na vitu vyetu mionzi, kwa kufanya hayo tutaweza kupata watoto wenye akili tmamu na magonjwa kwa watoto yatapungua sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.
Soma Zaidi...Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.
Soma Zaidi...