Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol
1. Ibuprofen ni dawa ambayo ufanya kazi ya kutuliza maumivu, ni dawa ambayo ufanya kazi ya kuzuia prostagland ambayo usambaza ujumbe kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na kama Kuna maumivu sehemu na yenyewe yanaweza kusambaa lakini kwa kazi ya ibuprofen maumivu hayawezi kusambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
2. Na pia dawa hii usaidia kutuliza maumivu baada ya upasuaji, kwa sababu baada ya upasuaji maumivu huwa makali lakini kwa sababu ya kazi ya ibuprofen maumivu yanaweza kupungua kwa kufuata utaratibu wa dawa yenyewe
3. Dawa hii Iko kwenye mfumo wa vidonge kwa hiyo upitia mdomoni wakati wa kutumia na pia Ili kuepuka kuleta madhara kwenye utumbo ni vizuri kutumiwa baada ya kula au wakati wa kula Ili mradi pawepo chochote tumboni.
4. Dose yake kwa kawaida ni milligrams mia nne kwa kila masaa manane na ni lazima kufuata maagizo ya wataalamu wa afya kwa hiyo hiyo dawa isitumiwe kiholela Bali kwa utaratibu wa wataalamu wa afya.
5. Pia wasiopaswa kutumia dawa hii ni wake wenye aleji na dawa hii ndio hawapaswi kutumia . Pia Kuna maudhi madogo madogo yatokanayo na dawa hii kama vile kichefuchefu na kutapika, kuharisha na maumivu ya tumbo pamoja na maumivu ya kichwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.
Soma Zaidi...Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...