Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol
1. Ibuprofen ni dawa ambayo ufanya kazi ya kutuliza maumivu, ni dawa ambayo ufanya kazi ya kuzuia prostagland ambayo usambaza ujumbe kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na kama Kuna maumivu sehemu na yenyewe yanaweza kusambaa lakini kwa kazi ya ibuprofen maumivu hayawezi kusambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
2. Na pia dawa hii usaidia kutuliza maumivu baada ya upasuaji, kwa sababu baada ya upasuaji maumivu huwa makali lakini kwa sababu ya kazi ya ibuprofen maumivu yanaweza kupungua kwa kufuata utaratibu wa dawa yenyewe
3. Dawa hii Iko kwenye mfumo wa vidonge kwa hiyo upitia mdomoni wakati wa kutumia na pia Ili kuepuka kuleta madhara kwenye utumbo ni vizuri kutumiwa baada ya kula au wakati wa kula Ili mradi pawepo chochote tumboni.
4. Dose yake kwa kawaida ni milligrams mia nne kwa kila masaa manane na ni lazima kufuata maagizo ya wataalamu wa afya kwa hiyo hiyo dawa isitumiwe kiholela Bali kwa utaratibu wa wataalamu wa afya.
5. Pia wasiopaswa kutumia dawa hii ni wake wenye aleji na dawa hii ndio hawapaswi kutumia . Pia Kuna maudhi madogo madogo yatokanayo na dawa hii kama vile kichefuchefu na kutapika, kuharisha na maumivu ya tumbo pamoja na maumivu ya kichwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.
Soma Zaidi...MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.
Soma Zaidi...