Fahamu dawa ya ibuprofen katika kutuliza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol

Dawa ya ibuprofen katika kutuliza maumivu .

1. Ibuprofen ni dawa ambayo ufanya kazi ya kutuliza maumivu, ni dawa ambayo ufanya kazi ya kuzuia prostagland ambayo usambaza ujumbe kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na kama Kuna maumivu sehemu na yenyewe yanaweza kusambaa lakini kwa kazi ya ibuprofen maumivu hayawezi kusambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.

 

2. Na pia dawa hii usaidia kutuliza maumivu baada ya upasuaji, kwa sababu baada ya upasuaji maumivu huwa makali lakini kwa sababu ya kazi ya ibuprofen maumivu yanaweza kupungua kwa kufuata utaratibu wa dawa yenyewe 

 

3. Dawa hii Iko kwenye mfumo wa vidonge kwa hiyo upitia mdomoni wakati wa kutumia na pia Ili kuepuka kuleta madhara kwenye utumbo ni vizuri kutumiwa baada ya kula au wakati wa kula Ili mradi pawepo chochote tumboni.

 

4. Dose yake kwa kawaida ni milligrams mia nne kwa kila masaa manane na ni lazima kufuata maagizo ya wataalamu wa afya kwa hiyo hiyo dawa isitumiwe kiholela Bali kwa utaratibu wa wataalamu wa afya.

 

5. Pia wasiopaswa kutumia dawa hii ni wake wenye aleji na dawa hii ndio hawapaswi kutumia . Pia Kuna maudhi madogo madogo yatokanayo na dawa hii kama vile kichefuchefu na kutapika, kuharisha na maumivu ya tumbo pamoja na maumivu ya kichwa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1316

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa za kisukari

Post hii inahusu zaidi dawa za kisukari, kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kisukari vilevile kuna dawa zake ambazo utumika kurekebisha sukari kama imepanda au kushuka.

Soma Zaidi...
Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.

Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza aleji au mzio

Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa ya Moyo DIGOXIN

Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw

Soma Zaidi...
dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu fangasi wa kwenye mdomo na kinywa

Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.

Soma Zaidi...
Mgawanyo wa tiba ya kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya pyrantel pamoate

Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.

Soma Zaidi...