Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
1. Dawa ya epinephrine ni mojawapo ya dawa za kutuliza aleji, dawa hizi imependekeza hasa kama mgonjwa hawezi kutumia hydrocortisone, Prednisone au pengine dawa hizo hazikubaliani na mgonjwa.
2.Dawa hii ya Prednisone usaidia sana katika kutuliza aleji zinazokuwa za ghafla au kwa watu wake wanaopata aleji za vyakula, vumbi, harufu ya maua, ngozi za wanyama na pia kwa wagonjwa wa asthma dawa hii usaidia sana kwa hiyo dawa hizi inaweza kutumika kwa watu wote wenye matatizo mbalimbali ya aleji.
3. Kwa kawaida dawa hii ya Prednisone huwa na milligrams kuanzia kwa kumi mpaka ishirini na pia uendelea mpaka sitini,na kwa wale wenye aleji nyingi dozi uanzia thelathini mpaka arobaini milligrams na pia kwa kadiri ya mgonjwa anavyoendelea kupata nafuu na dozi uendelea kupunguzwa kwa sababu dawa hizi ya aleji ina matokeo mbalimbali na dozi upunguzwa kulingana na upatikanaji wa nafuu wa mgonjwa.
4. Dawa hizi utumika kwa watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo na dawa hizi hawapaswi kuitumia au kwa wale ambao wameitumia mara nyingi na hawakupata nafuu wasitumie dawa hii na vile vile kwa wale wenye presha ya kupanda wanapaswa kuitumia kwa uangalifu na pia kwa wale wenye matatizo kwenye mapafu wanapaswa kuitumia kwa uangalifu wa wataalamu wa afya.
5. Dawa hizi huwa na maudhui mbalimbali kama vile maumivu ya kichwa baada ya kutumia, mwili kuishiwa nguvu,na pengine kikohozi kinaweza kutokea baada ya kupona,kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya hasa kwa wenye presha na dawa hizi Usababisha kuongeza mapigo ya moyo kwa hiyo ushauri wa daktari na wataalamu wa afya ni muhimu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.
Soma Zaidi...Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.
Soma Zaidi...