Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
1. Dawa ya epinephrine ni mojawapo ya dawa za kutuliza aleji, dawa hizi imependekeza hasa kama mgonjwa hawezi kutumia hydrocortisone, Prednisone au pengine dawa hizo hazikubaliani na mgonjwa.
2.Dawa hii ya Prednisone usaidia sana katika kutuliza aleji zinazokuwa za ghafla au kwa watu wake wanaopata aleji za vyakula, vumbi, harufu ya maua, ngozi za wanyama na pia kwa wagonjwa wa asthma dawa hii usaidia sana kwa hiyo dawa hizi inaweza kutumika kwa watu wote wenye matatizo mbalimbali ya aleji.
3. Kwa kawaida dawa hii ya Prednisone huwa na milligrams kuanzia kwa kumi mpaka ishirini na pia uendelea mpaka sitini,na kwa wale wenye aleji nyingi dozi uanzia thelathini mpaka arobaini milligrams na pia kwa kadiri ya mgonjwa anavyoendelea kupata nafuu na dozi uendelea kupunguzwa kwa sababu dawa hizi ya aleji ina matokeo mbalimbali na dozi upunguzwa kulingana na upatikanaji wa nafuu wa mgonjwa.
4. Dawa hizi utumika kwa watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo na dawa hizi hawapaswi kuitumia au kwa wale ambao wameitumia mara nyingi na hawakupata nafuu wasitumie dawa hii na vile vile kwa wale wenye presha ya kupanda wanapaswa kuitumia kwa uangalifu na pia kwa wale wenye matatizo kwenye mapafu wanapaswa kuitumia kwa uangalifu wa wataalamu wa afya.
5. Dawa hizi huwa na maudhui mbalimbali kama vile maumivu ya kichwa baada ya kutumia, mwili kuishiwa nguvu,na pengine kikohozi kinaweza kutokea baada ya kupona,kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya hasa kwa wenye presha na dawa hizi Usababisha kuongeza mapigo ya moyo kwa hiyo ushauri wa daktari na wataalamu wa afya ni muhimu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.
Soma Zaidi...Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.
Soma Zaidi...Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
Soma Zaidi...