Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.

Fahamu kuhusu dawa ya epinephrine katika kutuliza aleji.

1. Dawa ya epinephrine ni mojawapo ya dawa za kutuliza aleji, dawa hizi imependekeza hasa kama mgonjwa hawezi kutumia hydrocortisone, Prednisone au pengine dawa hizo hazikubaliani na mgonjwa.

 

2.Dawa hii ya Prednisone usaidia sana katika kutuliza aleji zinazokuwa za ghafla au kwa watu wake wanaopata aleji za vyakula, vumbi, harufu ya maua, ngozi za wanyama na pia kwa wagonjwa wa asthma dawa hii usaidia sana kwa hiyo dawa hizi inaweza kutumika kwa watu wote wenye matatizo mbalimbali ya aleji.

 

3. Kwa kawaida dawa hii ya Prednisone huwa na milligrams kuanzia kwa kumi mpaka ishirini na pia uendelea mpaka sitini,na kwa wale wenye aleji nyingi dozi uanzia thelathini mpaka arobaini milligrams na pia kwa kadiri ya mgonjwa anavyoendelea kupata nafuu na dozi uendelea kupunguzwa kwa sababu dawa hizi ya aleji ina matokeo mbalimbali na dozi upunguzwa kulingana na upatikanaji wa nafuu wa mgonjwa.

 

4. Dawa hizi utumika kwa watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo na dawa hizi hawapaswi kuitumia au kwa wale ambao wameitumia mara nyingi na hawakupata nafuu wasitumie dawa hii na vile vile kwa wale wenye presha ya kupanda wanapaswa kuitumia kwa uangalifu na pia kwa wale wenye matatizo kwenye mapafu wanapaswa kuitumia kwa uangalifu wa wataalamu wa afya.

 

5. Dawa hizi huwa na maudhui mbalimbali kama vile maumivu ya kichwa baada ya kutumia, mwili kuishiwa nguvu,na pengine kikohozi kinaweza kutokea baada ya kupona,kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya hasa kwa wenye presha na dawa hizi Usababisha kuongeza mapigo ya moyo kwa hiyo ushauri wa daktari na wataalamu wa afya ni muhimu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1308

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya parental Artusnate dawa ya kutibu malaria sugu

Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID

PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya vidonda vya tumbo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.

Soma Zaidi...
Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.

Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mebendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.

Soma Zaidi...
Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo

Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...