Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini

Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.

Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini.

1.Kwanza kabisa sisi waafrika kabla ya kuingia wazungu kwenye maeneo yetu tulitumia sana madawa ya miti shamba na madawa hayo yaliweza kutibu Magonjwa mbalimbali lakini kuna baadhi ya magonjwa hayakuweza kutibika kwa hiyo kadri wageni walivyoanza kuingia ndipo hospitali zikawepo na madawa ya hospitalini yakaanza kutumika lakini kuna imani potofu kama ifuatavyo.

 

2.Madawa ya hospitalini hayatibu Magonjwa yote kama madawa ya hospitalini, hii niojawapo ya imani waliyonayo Watu kwamba kuna magonjwa mengine hayapaswi kutibiwa hospitalini bali yanaweza kutibiwa nyumbani, kwa hiyo Watu ubaki nyumbani bila kupata matibabu yoyote na hatimaye walizidiwa ndoa wanakuja hospitalini.

 

3.Madawa ya hospitalini ni ya kupoza magonjwa ambayo yanakuja vibaya na Magonjwa hayo yakipoa poa dawa za kienyeji zinaweza kutumika , hii ni imani ambayo Watu wanatumia kwa kuwapeleka watu hospitalini na hatimaye wakipata nafuu uwatoa na kudai kuwa matibabu yaliyobaki yatatibiwa nyumbani hali ambayo usababisha Watu kuwa na hali mbaya ndo baadaye urudishwa hospitalini.

 

4.Dawa za hospitalini ukizitumia sana unaweza kupata kansa, hii ni imani potofu ambayo Watu wengine hawataki kabisa kuona dawa za hospitalini wakidai kuwa zinasababisha kansa kwa hiyo hii si kweli kwa sababu kansa hausababishwi na madawa ya hospitalini bali usababishwa na seli kuzalishwa bila mpangilio na sio dawa za hospitalini.

 

5.Kwa hiyo Watu wanapaswa kutumia dawa za hospitalini kwa sababu zina vipimo mbalimbali na utibu Magonjwa yote kwa wakati kwa hiyo Watu waache imani potofu juu ya madawa haya.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1268

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu
Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi uumeni
Dawa ya fangasi uumeni

kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka

Soma Zaidi...
dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor
dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor

Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital
Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za 5-fluorouracil,Tegafur na uracili
Fahamu dawa za 5-fluorouracil,Tegafur na uracili

Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa.

Soma Zaidi...
 Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa ya Moyo DIGOXIN
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa ya Moyo DIGOXIN

Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutuliza mishutuko.
Fahamu dawa ya kutuliza mishutuko.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma
Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu macho
Dawa ya kutibu macho

Hizi ndio dawa za macho yenye ukavu, kuwasha ama kutoa machozi

Soma Zaidi...