Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini.
1.Kwanza kabisa sisi waafrika kabla ya kuingia wazungu kwenye maeneo yetu tulitumia sana madawa ya miti shamba na madawa hayo yaliweza kutibu Magonjwa mbalimbali lakini kuna baadhi ya magonjwa hayakuweza kutibika kwa hiyo kadri wageni walivyoanza kuingia ndipo hospitali zikawepo na madawa ya hospitalini yakaanza kutumika lakini kuna imani potofu kama ifuatavyo.
2.Madawa ya hospitalini hayatibu Magonjwa yote kama madawa ya hospitalini, hii niojawapo ya imani waliyonayo Watu kwamba kuna magonjwa mengine hayapaswi kutibiwa hospitalini bali yanaweza kutibiwa nyumbani, kwa hiyo Watu ubaki nyumbani bila kupata matibabu yoyote na hatimaye walizidiwa ndoa wanakuja hospitalini.
3.Madawa ya hospitalini ni ya kupoza magonjwa ambayo yanakuja vibaya na Magonjwa hayo yakipoa poa dawa za kienyeji zinaweza kutumika , hii ni imani ambayo Watu wanatumia kwa kuwapeleka watu hospitalini na hatimaye wakipata nafuu uwatoa na kudai kuwa matibabu yaliyobaki yatatibiwa nyumbani hali ambayo usababisha Watu kuwa na hali mbaya ndo baadaye urudishwa hospitalini.
4.Dawa za hospitalini ukizitumia sana unaweza kupata kansa, hii ni imani potofu ambayo Watu wengine hawataki kabisa kuona dawa za hospitalini wakidai kuwa zinasababisha kansa kwa hiyo hii si kweli kwa sababu kansa hausababishwi na madawa ya hospitalini bali usababishwa na seli kuzalishwa bila mpangilio na sio dawa za hospitalini.
5.Kwa hiyo Watu wanapaswa kutumia dawa za hospitalini kwa sababu zina vipimo mbalimbali na utibu Magonjwa yote kwa wakati kwa hiyo Watu waache imani potofu juu ya madawa haya.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 web hosting 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimi
Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao
Soma Zaidi...Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...Dawa za mitishamba za kutibu meno
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu dawa ya ketoconazole.
Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.
Soma Zaidi...Dawa na matibabu ya presha ya kushuka
Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka
Soma Zaidi...Dawa ya vidonda vya tumbo
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...