Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini


image


Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.


Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini.

1.Kwanza kabisa sisi waafrika kabla ya kuingia wazungu kwenye maeneo yetu tulitumia sana madawa ya miti shamba na madawa hayo yaliweza kutibu Magonjwa mbalimbali lakini kuna baadhi ya magonjwa hayakuweza kutibika kwa hiyo kadri wageni walivyoanza kuingia ndipo hospitali zikawepo na madawa ya hospitalini yakaanza kutumika lakini kuna imani potofu kama ifuatavyo.

 

2.Madawa ya hospitalini hayatibu Magonjwa yote kama madawa ya hospitalini, hii niojawapo ya imani waliyonayo Watu kwamba kuna magonjwa mengine hayapaswi kutibiwa hospitalini bali yanaweza kutibiwa nyumbani, kwa hiyo Watu ubaki nyumbani bila kupata matibabu yoyote na hatimaye walizidiwa ndoa wanakuja hospitalini.

 

3.Madawa ya hospitalini ni ya kupoza magonjwa ambayo yanakuja vibaya na Magonjwa hayo yakipoa poa dawa za kienyeji zinaweza kutumika , hii ni imani ambayo Watu wanatumia kwa kuwapeleka watu hospitalini na hatimaye wakipata nafuu uwatoa na kudai kuwa matibabu yaliyobaki yatatibiwa nyumbani hali ambayo usababisha Watu kuwa na hali mbaya ndo baadaye urudishwa hospitalini.

 

4.Dawa za hospitalini ukizitumia sana unaweza kupata kansa, hii ni imani potofu ambayo Watu wengine hawataki kabisa kuona dawa za hospitalini wakidai kuwa zinasababisha kansa kwa hiyo hii si kweli kwa sababu kansa hausababishwi na madawa ya hospitalini bali usababishwa na seli kuzalishwa bila mpangilio na sio dawa za hospitalini.

 

5.Kwa hiyo Watu wanapaswa kutumia dawa za hospitalini kwa sababu zina vipimo mbalimbali na utibu Magonjwa yote kwa wakati kwa hiyo Watu waache imani potofu juu ya madawa haya.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Dalili za mnungu'nguniko wa moyo
Manung'uniko ya moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako. Soma Zaidi...

image Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani. Soma Zaidi...

image Faida za kula papai
Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili. Soma Zaidi...

image Dalili za fangasi wa kucha.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha. Soma Zaidi...

image Hatua za Kuzuia Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na mirija ya uzazi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa kuungua Mdomo (mouth burning syndrome)
Ugonjwa wa mdomo unaoungua ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuwaka moto mara kwa mara mdomoni bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea ya mdomo wako wote. Ugonjwa wa mdomo unaoungua hutokea ghafla na unaweza kuwa mbaya. Soma Zaidi...

image Faida za kula mayai
Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Dalili za kifua kikuu (tuberculosis)
Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis. Soma Zaidi...

image Dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo
Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo. Soma Zaidi...

image Umoja wa mataifa unazungumziaje afya
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo ya kiafya yanayozungumzwa na umoja wa mataifa Soma Zaidi...