Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini.
1.Kwanza kabisa sisi waafrika kabla ya kuingia wazungu kwenye maeneo yetu tulitumia sana madawa ya miti shamba na madawa hayo yaliweza kutibu Magonjwa mbalimbali lakini kuna baadhi ya magonjwa hayakuweza kutibika kwa hiyo kadri wageni walivyoanza kuingia ndipo hospitali zikawepo na madawa ya hospitalini yakaanza kutumika lakini kuna imani potofu kama ifuatavyo.
2.Madawa ya hospitalini hayatibu Magonjwa yote kama madawa ya hospitalini, hii niojawapo ya imani waliyonayo Watu kwamba kuna magonjwa mengine hayapaswi kutibiwa hospitalini bali yanaweza kutibiwa nyumbani, kwa hiyo Watu ubaki nyumbani bila kupata matibabu yoyote na hatimaye walizidiwa ndoa wanakuja hospitalini.
3.Madawa ya hospitalini ni ya kupoza magonjwa ambayo yanakuja vibaya na Magonjwa hayo yakipoa poa dawa za kienyeji zinaweza kutumika , hii ni imani ambayo Watu wanatumia kwa kuwapeleka watu hospitalini na hatimaye wakipata nafuu uwatoa na kudai kuwa matibabu yaliyobaki yatatibiwa nyumbani hali ambayo usababisha Watu kuwa na hali mbaya ndo baadaye urudishwa hospitalini.
4.Dawa za hospitalini ukizitumia sana unaweza kupata kansa, hii ni imani potofu ambayo Watu wengine hawataki kabisa kuona dawa za hospitalini wakidai kuwa zinasababisha kansa kwa hiyo hii si kweli kwa sababu kansa hausababishwi na madawa ya hospitalini bali usababishwa na seli kuzalishwa bila mpangilio na sio dawa za hospitalini.
5.Kwa hiyo Watu wanapaswa kutumia dawa za hospitalini kwa sababu zina vipimo mbalimbali na utibu Magonjwa yote kwa wakati kwa hiyo Watu waache imani potofu juu ya madawa haya.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
Soma Zaidi...Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema
Soma Zaidi...Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k
Soma Zaidi...Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.
Soma Zaidi...