Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.
1. Aina hii ya dawa usaidia kutibu fangasi za kwenye koo, ufanya kazi hiyo kwa kuhakikisha kwamba enzyeme ya mdudu anayesababisha ugonjwa huo inaharibika na hatimaye uponyaji kwa mwathirika wa ugonjwa huu uweza kuendelea vizuri.
2. Dawa hii kwa kawaida ina milligrams kuanzia mia mbili mpaka mia nne na pia kwa kawaida utumika kwa njia ya mdomo yaani iko kwenye mfumo wa vidonge.
3. Dawa hii inaweza kumezwa wakati wa kula au baada ya kula na pia utumika maji ya kutosha wakati wa kutumia.
4. Dawa hii ikitumia mara kwa mara usababisha kuharibika kwa figo kwa hiyo isitumike bila sababu za msingi.
5.pia katika matumizi dawa hii inapaswa kutumiwa kwa ushauri wa wataalamu wa afya sio kutumiwa kiholela kwa sababu matokeo yake yanaweza kutokea na mtu akakosa msaada waharaka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.
Soma Zaidi...Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.
Soma Zaidi...Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
Soma Zaidi...