Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.
1. Aina hii ya dawa usaidia kutibu fangasi za kwenye koo, ufanya kazi hiyo kwa kuhakikisha kwamba enzyeme ya mdudu anayesababisha ugonjwa huo inaharibika na hatimaye uponyaji kwa mwathirika wa ugonjwa huu uweza kuendelea vizuri.
2. Dawa hii kwa kawaida ina milligrams kuanzia mia mbili mpaka mia nne na pia kwa kawaida utumika kwa njia ya mdomo yaani iko kwenye mfumo wa vidonge.
3. Dawa hii inaweza kumezwa wakati wa kula au baada ya kula na pia utumika maji ya kutosha wakati wa kutumia.
4. Dawa hii ikitumia mara kwa mara usababisha kuharibika kwa figo kwa hiyo isitumike bila sababu za msingi.
5.pia katika matumizi dawa hii inapaswa kutumiwa kwa ushauri wa wataalamu wa afya sio kutumiwa kiholela kwa sababu matokeo yake yanaweza kutokea na mtu akakosa msaada waharaka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
Soma Zaidi...Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...