Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.
1. Aina hii ya dawa usaidia kutibu fangasi za kwenye koo, ufanya kazi hiyo kwa kuhakikisha kwamba enzyeme ya mdudu anayesababisha ugonjwa huo inaharibika na hatimaye uponyaji kwa mwathirika wa ugonjwa huu uweza kuendelea vizuri.
2. Dawa hii kwa kawaida ina milligrams kuanzia mia mbili mpaka mia nne na pia kwa kawaida utumika kwa njia ya mdomo yaani iko kwenye mfumo wa vidonge.
3. Dawa hii inaweza kumezwa wakati wa kula au baada ya kula na pia utumika maji ya kutosha wakati wa kutumia.
4. Dawa hii ikitumia mara kwa mara usababisha kuharibika kwa figo kwa hiyo isitumike bila sababu za msingi.
5.pia katika matumizi dawa hii inapaswa kutumiwa kwa ushauri wa wataalamu wa afya sio kutumiwa kiholela kwa sababu matokeo yake yanaweza kutokea na mtu akakosa msaada waharaka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
Soma Zaidi...Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa.
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.
Soma Zaidi...