Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.

Habari Dokta



Namba ya swali 000

Nina maswali mawli Dokta



Namba ya swali 000

Yes



Namba ya swali 000

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.



Namba ya swali 000

Fangasi hasababishi upungufu wa nguvu za kiume ila wanaweza kufanya usifurahie vyema tendo....... Dawa za fangasi zipo nyingi, inategemea ukubwa wa tatizo na sehemu walipo. Fika kituo cha afya ama duka la dawa,



Namba ya swali 000

huchukua mda gn kupona baad ya kuanz kutumia daw na je ukfnya mapnzi na mwanamke wakat una tatizo hli kuna madhara na je zile dawa zina ya nguvu za kiume?



Namba ya swali 000

Ipo hivi.....



Namba ya swali 000

Kama una fangasi kwenye uume ama sehemu za siri upo uwezekano wa kumuambukiza mwanamke utakayefanya naye mapenzi. Hii inaweza kuwa hatari zaidi maana utakuwa unasambaza maradhi. Kuhusu muda fangasi wanacukuwa muda mchache kupona kama utafuata masharti vyema. Inategemea na ukubwa wa tatizo lakini haiwezi kuchukuwa muda mrefu. Dawa za fangasi hazina nguvu za kiume, na wala haziathiri nguvu za kiume. Hivyo kuwa na amani kabisa pindi unapotumia.



Namba ya swali 012

Nimekuelewa



Namba ya swali 000

karibu tena



Namba ya swali 000

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1354

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya marcolides dawa ya kuuwa bakteria, kwenye mfumo wa hewa

Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w

Soma Zaidi...
dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha

Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya potassium sparing

Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia dawa za ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .

Soma Zaidi...
Dawa ya Panadol au paracetamol katika kutuliza maumivu

Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Soma Zaidi...