Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.

Habari Dokta



Namba ya swali 000

Nina maswali mawli Dokta



Namba ya swali 000

Yes



Namba ya swali 000

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.



Namba ya swali 000

Fangasi hasababishi upungufu wa nguvu za kiume ila wanaweza kufanya usifurahie vyema tendo....... Dawa za fangasi zipo nyingi, inategemea ukubwa wa tatizo na sehemu walipo. Fika kituo cha afya ama duka la dawa,



Namba ya swali 000

huchukua mda gn kupona baad ya kuanz kutumia daw na je ukfnya mapnzi na mwanamke wakat una tatizo hli kuna madhara na je zile dawa zina ya nguvu za kiume?



Namba ya swali 000

Ipo hivi.....



Namba ya swali 000

Kama una fangasi kwenye uume ama sehemu za siri upo uwezekano wa kumuambukiza mwanamke utakayefanya naye mapenzi. Hii inaweza kuwa hatari zaidi maana utakuwa unasambaza maradhi. Kuhusu muda fangasi wanacukuwa muda mchache kupona kama utafuata masharti vyema. Inategemea na ukubwa wa tatizo lakini haiwezi kuchukuwa muda mrefu. Dawa za fangasi hazina nguvu za kiume, na wala haziathiri nguvu za kiume. Hivyo kuwa na amani kabisa pindi unapotumia.



Namba ya swali 012

Nimekuelewa



Namba ya swali 000

karibu tena



Namba ya swali 000
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1630

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu minyoo

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi

Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.

Soma Zaidi...
Dawa za Anesthesia katika kutuliza maumivu.

Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu ugonjwa wa macho

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho

Soma Zaidi...
Fahamu antibiotics ya asili.

Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.

Soma Zaidi...