picha

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.

Habari Dokta



Namba ya swali 000

Nina maswali mawli Dokta



Namba ya swali 000

Yes



Namba ya swali 000

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.



Namba ya swali 000

Fangasi hasababishi upungufu wa nguvu za kiume ila wanaweza kufanya usifurahie vyema tendo....... Dawa za fangasi zipo nyingi, inategemea ukubwa wa tatizo na sehemu walipo. Fika kituo cha afya ama duka la dawa,



Namba ya swali 000

huchukua mda gn kupona baad ya kuanz kutumia daw na je ukfnya mapnzi na mwanamke wakat una tatizo hli kuna madhara na je zile dawa zina ya nguvu za kiume?



Namba ya swali 000

Ipo hivi.....



Namba ya swali 000

Kama una fangasi kwenye uume ama sehemu za siri upo uwezekano wa kumuambukiza mwanamke utakayefanya naye mapenzi. Hii inaweza kuwa hatari zaidi maana utakuwa unasambaza maradhi. Kuhusu muda fangasi wanacukuwa muda mchache kupona kama utafuata masharti vyema. Inategemea na ukubwa wa tatizo lakini haiwezi kuchukuwa muda mrefu. Dawa za fangasi hazina nguvu za kiume, na wala haziathiri nguvu za kiume. Hivyo kuwa na amani kabisa pindi unapotumia.



Namba ya swali 012

Nimekuelewa



Namba ya swali 000

karibu tena



Namba ya swali 000

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 2936

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 ai web app     👉4 web hosting     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Fahamu kazi ya dawa ya ampicillin inayopambana na maambukizi ya bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin

Soma Zaidi...
Dawa za fangasi ukeni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Matibabu ya macho

Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu minyoo

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa itwayo Diazepam

Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia dawa za ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .

Soma Zaidi...