Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.
1. Kama tulivyotangulia kusema kwamba unachukua mdalasini, majani ya mlonge,mjafari na kitunguu swaumu kila kitu gram mia moja.
2. Kwanza unachukua unachanganya unatwanga na kuchanganya kwa pamoja.
3. Chukua mchanganyiko huo nusu kijiko weka ndani ya nusu lita huo mchanganyiko.
4.Gawanya hizo nusu mara mbili kila sehemu chukua Robo kwa roho kwa kila sehemu iliyogawanywa mara mbili.
5 chukua hizo robo kunywa kutwa mara mbili mpaka dawa hizo ziishe na hakikisha hukatishi dawa yoyote.
6. Kula dawa hizo bila kuacha kwa sababu ukiacha itasababisha tatizo liendelee kuwepo.
7. Kwa kawaida ukiwa unaendelea na hiyo tiba zingatia tabia ya kula kwa wakati ili kuweza kuzuia hali ya kuendelea kuwepo kwa madonda ya tumbo.
8. Pamoja na kuwepo kwa tatizo epuka matumizi ya vyakula kama vile maharage, viporo, vinywaji vyenye gesi, matumizi ya chumvi nyingi, vyakula vya mafuta mengi na vya kukaanga.
9. Vile vile jaribu kutumia vyakula ambavyo haviongezi acids mwilini kama vile maziwa na unywaji mzuri wa maji pia epuka sana vyakula vya kuongeza asidi mwilini kama vile machungwa na limao.
10. Kwa hiyo ni vizuri kufuata mashariti yote ya mtu mwenye vidonda ili kuepuka kuwepo kwa madhara zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.
Soma Zaidi...