Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo

Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo

Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo.

1. Kama tulivyotangulia kusema kwamba unachukua mdalasini, majani ya mlonge,mjafari na kitunguu swaumu kila kitu gram mia moja.

 

 

2. Kwanza unachukua unachanganya unatwanga na kuchanganya kwa pamoja.

 

 

 

3. Chukua mchanganyiko huo nusu kijiko weka ndani ya nusu lita huo mchanganyiko.

 

 

 

4.Gawanya hizo nusu mara mbili kila sehemu chukua Robo  kwa roho kwa kila sehemu iliyogawanywa mara mbili.

 

 

 

5  chukua hizo robo kunywa kutwa mara mbili mpaka dawa hizo ziishe na hakikisha hukatishi dawa yoyote.

 

 

 

6. Kula dawa hizo bila kuacha kwa sababu ukiacha itasababisha tatizo liendelee kuwepo.

 

 

 

7. Kwa kawaida ukiwa unaendelea na hiyo tiba zingatia tabia ya kula kwa wakati ili kuweza kuzuia hali ya kuendelea kuwepo kwa madonda ya tumbo.

 

 

 

8. Pamoja na kuwepo kwa tatizo epuka matumizi ya vyakula kama vile maharage, viporo, vinywaji vyenye gesi, matumizi ya chumvi nyingi, vyakula vya mafuta mengi na vya kukaanga.

 

 

 

 

9. Vile vile jaribu kutumia vyakula ambavyo haviongezi acids mwilini kama vile maziwa na unywaji mzuri wa maji pia epuka sana vyakula vya kuongeza asidi mwilini kama vile machungwa na limao.

 

 

 

10. Kwa hiyo ni vizuri kufuata mashariti yote ya mtu mwenye vidonda ili kuepuka kuwepo kwa madhara zaidi.

 

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2293

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

IJUE DAWA YA AMOXLINE (antibiotic) NA MATUMIZI YAKE
IJUE DAWA YA AMOXLINE (antibiotic) NA MATUMIZI YAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazopunguza maumivu
Fahamu dawa zinazopunguza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.

Soma Zaidi...
  Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)
Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)

Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi ukeni
Dawa ya fangasi ukeni

Makala hii itakueleza dawa ya kutibu fangasi wa ukeni

Soma Zaidi...
Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?
Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?

Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu minyoo
Dawa ya kutibu minyoo

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote

Soma Zaidi...
Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU

Soma Zaidi...
Faida za dawa za NMN
Faida za dawa za NMN

Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.

Soma Zaidi...
Matibabu ya macho
Matibabu ya macho

Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho

Soma Zaidi...
Dawa ya Vidonda vya tumbo
Dawa ya Vidonda vya tumbo

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...