Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
1. Hii ni mojawapo ya dawa za kupambana dhidi ya maambukizi ya bakteria dawa hii kama tulivyoona hapo mwanzoni Ina dawa muhimu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin na kundi hili pamoja na kutibu magonjwa mengine ni maarufu katika matibabu ya maambukizi kwenye mfumo wa hewa, maambukizi kwenye ngozi ambayo uambatana na viupele pamoja na miwasho, maambukizi ya kaswende na kisonono au kwa lugha ya kitaamu huiitwa sexual transmission diseases and sexual transmission infection.
2. Dawa hizi ufanya kazi mwili kwa kuharibu kabisa kazi ya bakteria kwa kuingilia DNA ya bakteria na kuzuia bakteria kuendelea kuzaliana hatimaye kufa, dawa hizi kwa kawaida utumiwa kwenye mdomo kama vidonge na pia uweza kuingia kwenye mmengenyo wa chakula na kuelekea kwenye mzunguko wa damu ambapo usambaza sehemu mbalimbali kama vile kwenye sehemu zozote za mwili zenye maambukizi na kuharibu kabisa kazi ya bakteria kwa kuingilia DNA ya bakteria.
3. Pamoja na magonjwa ambayo utibiwa na dawa hizi Kuna magonjwa mengine kama hays kuharisha na kutapika, maambukizi kwenye kibofu cha mkojo, kwenye joint na kweye magoti, kwenye tumbo na pia maambukizi kwenye via nya uzazi kama Kuna bakteria ameshambulia huko.
4. Ambao hawapaswi kutumia dawa hii ni wale wenye aleji na dawa hii pamoja na watoto chini ya miaka kumi na minane pamoja na wanawake wenye mimba.pia utumika kwa uangalizi kwa wenye magonjwa ya Figo na inii.
5. Maudhi madogo madogo ya dawa hii ni pamoja na kizunguzungu, maumivu ya kichwa, maumivu ya tumbo, kichefuchefu na kutapika, kuharibu na pengine kupandisha sukari.
6. Kwa hiyo dawa hii haiitumiki kiholela mpaka kuwepo kwa maagizo ya wataalamu wa afya kwa sababu dawa hii Ina maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kuleta shida ikiwa mgonjwa yupo nyumbani ila kama yupo hospital ni rahisi kumpatia huduma ya kwanza.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
Soma Zaidi...Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
Soma Zaidi...Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote
Soma Zaidi...