Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.

Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones .

1. Hii ni mojawapo ya dawa za kupambana dhidi ya maambukizi ya bakteria dawa hii kama tulivyoona hapo mwanzoni Ina dawa muhimu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin na kundi hili pamoja na kutibu magonjwa mengine ni maarufu katika matibabu ya maambukizi kwenye mfumo wa hewa, maambukizi kwenye ngozi ambayo uambatana na viupele pamoja na miwasho, maambukizi ya kaswende na kisonono au kwa lugha ya kitaamu huiitwa sexual transmission diseases and sexual transmission infection.

 

2. Dawa hizi ufanya kazi mwili kwa kuharibu kabisa kazi ya bakteria kwa kuingilia DNA ya bakteria na kuzuia bakteria kuendelea kuzaliana hatimaye kufa, dawa hizi kwa kawaida utumiwa kwenye mdomo kama vidonge na pia uweza kuingia kwenye mmengenyo wa chakula na kuelekea kwenye mzunguko wa damu ambapo usambaza sehemu mbalimbali kama vile kwenye sehemu zozote za mwili zenye maambukizi na kuharibu kabisa kazi ya bakteria kwa kuingilia DNA ya bakteria.

 

3. Pamoja na magonjwa ambayo utibiwa na dawa hizi Kuna magonjwa mengine kama hays kuharisha na kutapika, maambukizi kwenye kibofu cha mkojo, kwenye joint na kweye magoti, kwenye tumbo na pia maambukizi kwenye via nya uzazi kama Kuna bakteria ameshambulia huko.

 

4. Ambao hawapaswi kutumia dawa hii ni wale wenye aleji na dawa hii pamoja na watoto chini ya miaka kumi na minane pamoja na wanawake wenye mimba.pia utumika kwa uangalizi kwa wenye magonjwa ya Figo na inii.

 

5. Maudhi madogo madogo ya dawa hii ni pamoja na kizunguzungu, maumivu ya kichwa, maumivu ya tumbo, kichefuchefu na kutapika, kuharibu na pengine kupandisha sukari.

 

6. Kwa hiyo dawa hii haiitumiki kiholela mpaka kuwepo kwa maagizo ya wataalamu wa afya kwa sababu dawa hii Ina maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kuleta shida ikiwa mgonjwa yupo nyumbani ila kama yupo hospital ni rahisi kumpatia huduma ya kwanza.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1337

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB

Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Dawa ya maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,

Soma Zaidi...
Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazopunguza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.

Soma Zaidi...
Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.

Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.

Soma Zaidi...