Dawa ya Vidonda vya tumbo

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu

Dawa ya Vidonda vya tumbo

DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO
Dawa za vidonda vya tumbo zinategemea aina za vidonda alivyo navyo, mahala vilipo na sababu za vidonda hivyo. Kitu cha kwanza kuangalia ni sababu gani zilizopelekea vidonda hivyo?. kisha baada ya kuijuwa sababu ndipo maibabu yatafuata. Kama tulivyokwisha jifunza kuwa sababu kuu za vidonda vya tumbo ni bakteria aina ya Hypylori. Hivyo kama sababu ni hii mgonjwa atapewa dawa ya kuwauwa hawa bakteria. Pia kama sabau ni asidi tumboni atapewa dawa za kupunguza uzalishwaji wa hizi asidi. Dawa za vidonda vya tumbo ni kama zifuatazo:-



1.Dawa kwa ajili ya kuuwa bakteria. Hapa mgonjwa atapewa dawa kama:-
A.Amoxicillin (amoxil)
B.Clarithromycin (Biaxin)
C.Metronidazole (flagyl)
D.Tinidazole (tindamax)
E.Tetracyline
F.Levolaxacin



2.Dawa za kuzuia uzalishwaji wa asidi mwilini (proton pump inhibitors (PPIs))
A.Omeprazole (Prilosec)
B.Lansoprazole (Prevacid)
C.Rabeprazole (Aciphex)
D.Esomeprazole (Nexium)
E.Panztoprazole (Protonix)



3.Dawa za kupunguza uzalishwaji wa asidi tumboni (Acid blockers (histamine (H-2))
A.Famoditine (Pepcid AC)
B.Cimetidine (Tagamet HB)
C.Nizatidine (Axid AR)



4.Dawa zinzzolinda ukuta wa utumbo na tumbo
A.Cytoprotective agents
B.Sucralfate (Carafate)
C.Misoprostol (Cytotec)



TIBA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO.
Wataalamu wa afya pia wanakubali uwepo wa tiba mbadala katika kutibi vidonda vya tumbo. Zipo nyingi sana, miongoni mwazo ni:-
A.Bamia
B.Kitunguu thaumu
C.Asali



Kwa nini vidonda haviponi hata baada ya kutumia dawa?
Hii hutokea endapo:-
A.Kama mgonjwa hakutumia dawa kwa kufuata masharti vyema
B.Haswa kuna baadhi ya bakteria wa vidonda vya tumbo wana usugu wa kufa na dawa
C.Kama unatumia tumbaku
D.Kama unatumia dawa za NSAIDs



Pia mara chache vidonda vya tumbo vinaweza kusababishwa na:-
A.Uzalishwaji wa asidi kupitiliza
B.Mashambulizi mengie yasiyo ya H.pylori
C.Saratani ya tumbo
D.Kuwa na maradhi mengine





                   



Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2613

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor

Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za 5-fluorouracil,Tegafur na uracili

Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa.

Soma Zaidi...
Dawa ya Isoniazid na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin

Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID

PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
Faida za dawa za NMN

Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu macho

Hizi ndio dawa za macho yenye ukavu, kuwasha ama kutoa machozi

Soma Zaidi...