Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
1. Vidonge hivi huwa na madini ya calcium,zink, magnesium,amino asidi na selenium.
2. Uimarisha mifupa mishipa na meno.
Ufanya kazi hizi kwa sababu ya kuwepo kwa madini ya calcium.
3. Usaidia kwa ukuaji wa watoto, kuanzia tumboni mwa mama yake na pia kwa sababu ya matumizi ya mans yake mtoto anaweza kupata akiwa ananyonya
4.Uzuia uchakavu na uaribifu wa mifupa.
Kwa sababu ya kuwepo kwa madini mbalimbali hasa calcium, zink na magnesium kwa hiyo usaidia katika uchakavu wa mishipa.
5. Usaidia katika ufanisi wa misuri na kukata kwa Damu.
Kwa sababu ya kuwepo kwa madini mbalimbali nayo pia usaidia katika ufanisi wa misuri na kukata kwa damu.
6. Inapunguza kuzeeka mapema.
Kwa sababu ya mchango mkubwa wa calcium, mchango wa zink, magnesium , amino asidi usaidia sana katika kupunguza kiwango cha kuzeeka mapema.
7. Pia uzuia kiwango cha mimba kuharibika.
Kwa sababu ya kuwepo kwa magnesium,zink na mengine ndani ya zamiconal usaidia sana katika kuzuia kuharibika kwa mimba.
8. Kuwepo kwa kinga ya mwili.
Kwa sababu vidonge hivyo vina madini mbalimbali usaidia sana kwenye kinga ya mwili.
9. Usaidia vile vile kwenye matibabu ya kulegea kwa kizazi, kuna akina mama wengine wenye ushuhuda kwamba vidonge hivi usaidia katika kutibu matatizo ya kulegea kwa kizazi.
10. Pia vidonge hivi usaidia kwa wanaume wengi wenye tatizo la kuwepo kwa mbegu zisizo imara.
Kwa hiyo usaidia katika kuboresha mbegu za kiume.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.
Soma Zaidi...Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
Soma Zaidi...