picha

Faida za vidonge vya zamiconal

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.

Faida za vidonge vya zamiconal.

1. Vidonge hivi huwa na madini ya calcium,zink, magnesium,amino asidi na selenium.

 

2. Uimarisha mifupa mishipa na meno.

Ufanya kazi hizi kwa sababu ya kuwepo kwa madini ya calcium.

 

3. Usaidia kwa ukuaji wa watoto, kuanzia tumboni mwa mama yake  na pia kwa sababu ya matumizi ya mans yake mtoto anaweza kupata akiwa ananyonya 

 

 4.Uzuia uchakavu na uaribifu wa mifupa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa madini mbalimbali hasa calcium, zink na magnesium kwa hiyo usaidia katika uchakavu wa mishipa.

 

5. Usaidia katika ufanisi wa misuri na kukata kwa Damu.

Kwa sababu ya kuwepo kwa madini mbalimbali nayo pia usaidia katika ufanisi wa misuri na kukata kwa damu.

 

6. Inapunguza kuzeeka mapema.

Kwa sababu ya mchango mkubwa wa calcium, mchango wa zink, magnesium , amino asidi usaidia sana katika kupunguza kiwango cha kuzeeka mapema.

 

7. Pia uzuia kiwango cha mimba kuharibika.

Kwa sababu ya kuwepo kwa magnesium,zink na mengine ndani ya zamiconal usaidia sana katika kuzuia kuharibika kwa mimba.

 

8. Kuwepo kwa kinga ya mwili.

Kwa sababu vidonge hivyo vina madini mbalimbali usaidia sana kwenye kinga ya mwili.

 

9. Usaidia vile vile kwenye matibabu ya kulegea kwa kizazi, kuna akina mama wengine wenye ushuhuda kwamba vidonge hivi usaidia katika kutibu matatizo ya kulegea kwa kizazi.

 

10. Pia vidonge hivi usaidia kwa wanaume wengi wenye tatizo la kuwepo kwa mbegu zisizo imara.

Kwa hiyo usaidia katika kuboresha mbegu za kiume.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/18/Monday - 01:42:42 pm Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1989

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 ai web app    👉4 web hosting    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Matibabu ya Fangasi ukeni na dawa za fangasi wanaoshambulia uke.

Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kutibu kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)

Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Tiba ya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tiba ya minyoo

Soma Zaidi...
Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya ibuprofen katika kutuliza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...