Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
1. Vidonge hivi huwa na madini ya calcium,zink, magnesium,amino asidi na selenium.
2. Uimarisha mifupa mishipa na meno.
Ufanya kazi hizi kwa sababu ya kuwepo kwa madini ya calcium.
3. Usaidia kwa ukuaji wa watoto, kuanzia tumboni mwa mama yake na pia kwa sababu ya matumizi ya mans yake mtoto anaweza kupata akiwa ananyonya
4.Uzuia uchakavu na uaribifu wa mifupa.
Kwa sababu ya kuwepo kwa madini mbalimbali hasa calcium, zink na magnesium kwa hiyo usaidia katika uchakavu wa mishipa.
5. Usaidia katika ufanisi wa misuri na kukata kwa Damu.
Kwa sababu ya kuwepo kwa madini mbalimbali nayo pia usaidia katika ufanisi wa misuri na kukata kwa damu.
6. Inapunguza kuzeeka mapema.
Kwa sababu ya mchango mkubwa wa calcium, mchango wa zink, magnesium , amino asidi usaidia sana katika kupunguza kiwango cha kuzeeka mapema.
7. Pia uzuia kiwango cha mimba kuharibika.
Kwa sababu ya kuwepo kwa magnesium,zink na mengine ndani ya zamiconal usaidia sana katika kuzuia kuharibika kwa mimba.
8. Kuwepo kwa kinga ya mwili.
Kwa sababu vidonge hivyo vina madini mbalimbali usaidia sana kwenye kinga ya mwili.
9. Usaidia vile vile kwenye matibabu ya kulegea kwa kizazi, kuna akina mama wengine wenye ushuhuda kwamba vidonge hivi usaidia katika kutibu matatizo ya kulegea kwa kizazi.
10. Pia vidonge hivi usaidia kwa wanaume wengi wenye tatizo la kuwepo kwa mbegu zisizo imara.
Kwa hiyo usaidia katika kuboresha mbegu za kiume.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.
Soma Zaidi...Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.
Soma Zaidi...