picha

Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Dawa ya Albendazole Katika kutibu Minyoo.

1. Hii ni dawa ambayo imechaguliwa kutibu Minyoo katika makundi ya madawa ya kutibu Minyoo dawa hizo ni kama vile mebendazole, levamisole ,Niclosamide Thiabendazole, praziquantel  na piperazine hizi ni dawa ambazo nazo zipo kwenye kundi Moja la Albendazole ambazo utibu minyoo mbalimbali, Albendazole ufanya kazi hii kwa kuzuia kutengenezwa kwa miclotube ya wadudu au bakteria ambao ushambulia mwili wa binadamu.

 

Kwa kufanya hivyo wadudu hawa hawawezi tena kuendelea kufanya kazi Yao ya Maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.

 

2.Albendazole utibu vizuri pale ambapo mgonjwa utumia dawa kabla hajala chochote kwa hiyo basi dawa hizi ni vizuri zitumiwe pale asubuhi ambapo mgonjwa anakuwa hajala kitu chocho, pia ni vizuri mgonjwa akiwa anatumia dawa hii atumie pia vyakula vyenye mafuta  ,dawa hizi huwa kwenye mfomo wa vidonge na kwa watoto wenye umri juu ya miaka miwili  dawa Yao inakuwa kwenye maji kwa hiyo wanapaswa kuitikisa kabla ya kuitumia kwa hiyo hii dawa huwa kwenye muuundo wa vidonge na kwa watoto juu ya umri wa miaka miwili huwa kwenye mfumo wa maji.

 

3. Dawa hizi za Albendazole hazitumiki kwa watoto wenye umri chini ya miaka miwili kwa sababu ambao wameitumia wanasey kuwa watoto wanapatwa sana na degedege na pia wanaweza wenye mimba hawapaswi kutumia dawa ya minyoo ya Albendazole kwa hiyo baada ya kujua madhara yanayotokea kwa watoto wenye Chini ya umri wa miaka miwili wakitumia dawa hizi tunapaswa kutoa elimu ya kutosha kwa jamii Ili kuweza kuepuka madhara makubwa ambayo yanaweza kujitokeza kwa watoto na akina Mama wenye mimba iwapo wanaotumia dawa hizi kwa hiyo inabidi waambiwe wazi dawa wanazopaswa kutumia.

 

4. Kwa wagonjwa wanaotumia dawa hizi wanaweza kupata matokea mbalimbali ambayo ufanya miili yao kutokuwa kawaida kama vile  maumivu madogo madogo ya tumbo, kichwa kuuuma, kichefuchefu, kutapika na kuharisha kwa baadhi ya wagonjwa , kizunguzungu Homa kupanda , uchovu wa mara kwa mara. Haya yakitokea kwa mgonjwa anayetumia dawa za Albendazole hasiogope Bali yataisha Ila hali ikizidi kabisa mgonjwa anapaswa kuwaona wataalamu wa afya kwa msaada zaidi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 6481

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide

Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazopunguza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.

Soma Zaidi...
Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

Soma Zaidi...
dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.

Soma Zaidi...