Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.
Dawa ya Albendazole Katika kutibu Minyoo.
1. Hii ni dawa ambayo imechaguliwa kutibu Minyoo katika makundi ya madawa ya kutibu Minyoo dawa hizo ni kama vile mebendazole, levamisole ,Niclosamide Thiabendazole, praziquantel na piperazine hizi ni dawa ambazo nazo zipo kwenye kundi Moja la Albendazole ambazo utibu minyoo mbalimbali, Albendazole ufanya kazi hii kwa kuzuia kutengenezwa kwa miclotube ya wadudu au bakteria ambao ushambulia mwili wa binadamu.
Kwa kufanya hivyo wadudu hawa hawawezi tena kuendelea kufanya kazi Yao ya Maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.
2.Albendazole utibu vizuri pale ambapo mgonjwa utumia dawa kabla hajala chochote kwa hiyo basi dawa hizi ni vizuri zitumiwe pale asubuhi ambapo mgonjwa anakuwa hajala kitu chocho, pia ni vizuri mgonjwa akiwa anatumia dawa hii atumie pia vyakula vyenye mafuta ,dawa hizi huwa kwenye mfomo wa vidonge na kwa watoto wenye umri juu ya miaka miwili dawa Yao inakuwa kwenye maji kwa hiyo wanapaswa kuitikisa kabla ya kuitumia kwa hiyo hii dawa huwa kwenye muuundo wa vidonge na kwa watoto juu ya umri wa miaka miwili huwa kwenye mfumo wa maji.
3. Dawa hizi za Albendazole hazitumiki kwa watoto wenye umri chini ya miaka miwili kwa sababu ambao wameitumia wanasey kuwa watoto wanapatwa sana na degedege na pia wanaweza wenye mimba hawapaswi kutumia dawa ya minyoo ya Albendazole kwa hiyo baada ya kujua madhara yanayotokea kwa watoto wenye Chini ya umri wa miaka miwili wakitumia dawa hizi tunapaswa kutoa elimu ya kutosha kwa jamii Ili kuweza kuepuka madhara makubwa ambayo yanaweza kujitokeza kwa watoto na akina Mama wenye mimba iwapo wanaotumia dawa hizi kwa hiyo inabidi waambiwe wazi dawa wanazopaswa kutumia.
4. Kwa wagonjwa wanaotumia dawa hizi wanaweza kupata matokea mbalimbali ambayo ufanya miili yao kutokuwa kawaida kama vile maumivu madogo madogo ya tumbo, kichwa kuuuma, kichefuchefu, kutapika na kuharisha kwa baadhi ya wagonjwa , kizunguzungu Homa kupanda , uchovu wa mara kwa mara. Haya yakitokea kwa mgonjwa anayetumia dawa za Albendazole hasiogope Bali yataisha Ila hali ikizidi kabisa mgonjwa anapaswa kuwaona wataalamu wa afya kwa msaada zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani.
Soma Zaidi...Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.
Soma Zaidi...Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...