Has utakwenda kujifunza utofauti was Hadithi Al Quds na Quran
2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua...
QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.
2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.
Pamoja na kuteuliwa na Allah(s.
Kutokana na kuishi kwao Misr kwa muda mrefu, Mayahudi waliathiriwa na ibada za kishirikina za Wamisr.
FADHILA ZA BAADHI YA SURA Umuhimu na ubora wa baadhi ya sura na aya.
Sababu za kuteremshwa baadhi ya sura Katika darsa hii...
YALIYOMONENO LA AWALI1.
YALIYOMONENO LA AWALI1.
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
SURA YA NNE HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA ...
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
3; Mchujo wa maji dhaliliKatika aya nyingine tunakuja kupata funzo kuwa maji aliyoumbiwa mwanadamu licha yakuwa na sifa zilizotajwa katika...
YALIYOMONENO LA AWALI1.
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Maana na majina ya Quran Maana ya Wahyi.
Wanazuoni wengi zaidi wanakubaliana ya kuwa sura hii surat At-Takaathur ilishuka Makka, na hizi ndio sababu za kushuka kwa sura...
Surat Al-Asri imeteremshwa Makka, na hapa utazujuwa sababu za kushuka kwa sura hii
Zijuwe sababu kuu za kushuka surat Al-Humazah katika quran
SURAT AL-FIILSura hii imeteremshwa Makkah na ina Aya Sita pamoja na Basmallah.
SURAT AL-QURAYSH Sura hii ina majina mawili.
SURATUL-MAM’UUN Imeteremshwa Maka, anasimulia Ibn Jurayj kuwa Abuu Sufyan ibn Harb alikuwa na kawaida ya kuchinja ngamia wawili kila wiki,...
SURATUL-KAUTHAR Imeteremshwa maka, na sura hii imeshuka kwa sababu al-aAs ibn Waail.
SURATUL-KAFIRUN Imeteremshwa maka na inaelezwa katika sababu za kushuka kwake ni kuwa Kundi la makafiri lilimfuata mtume (s.
SURATUN-NASR Sura hii imeteremka wakati Mtume (s.
SURAT AL-MUAWIDHATAYN (SURAT AL-FALAQ NA SURATUN-NAS) Inaelezwa kuwa sura mbili hizi zilishuka pamoja, na maulamaa wanaelezea kuwa Mtume (s.
Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r.
(iii)Jinsi Mtume Muhammad (s.
(ii)Qur-an Yenyewe Inajieleza kuwa ni Ufunuo Kutoka kwa Allah (s.
(i)Mtume Muhammad (s.
Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.
(x) Dai kuwa Muhammad (s.
(vii)Dai kuwa Muhammad (s.
(vi)Madai Kuwa Mtume (s.
(ii)Dai kuwa Qur-an ni zao la njozi za Mtume (s.
(i)Dai kuwa Qur-an ni Mashairi aliyotunga Muhammad (s.
Sura za Makka na Madina Kutokana na historia ya kushuka kwake sura za...
ADABU ZA KUSIKILIZA QURANI 1.
MGAWANYIKO KATIKA QURAN Juzuu, Sura, Aya, Manzil, Qara ...
TAJWID Utangulizi wa elimu ya Tajwid ...
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA : Mym sakina ni...
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Qur-an inavyogawa MirathiMgawanyo wa mirathi umebainishwa katika Qur-an kama ifuatavyo:Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Mwanamume apate sawa na...
KUANGAMIZWA KWA JESHI LA TEMBOTukio la pili ni lile tukio la tembo, na ilikuwa hivi:- Kiongozi mmoja wa kiyemeni aliyetambulika...
FADHILA ZA BAADHI YA SURA Umuhimu na ubora wa baadhi ya sura na aya.
ASBAB NUZUL SABABU ZA KUSHUKA AYA NA SURA KWENYE QURAN ...
ADABU ZA KUSIKILIZA QURANI 1.
Adabu wakati wa kusoma quran 1.
TAHADHARI KWA WASOMAJI WA QURAN Wasomaji wa qurani wawe na tahadhari katika usomaji wao.
Tafsiri ya quran kw akiswahili, imeandikw ana Shekh Ali Muhsin al-Barwani
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
YALIYOMONENO LA AWALI1.
DARSA ZA TAJWID YALIYOMOSURA YA 01 .
Kuna sababu nyingi za kuonyesha umuhimu wa Quran kushuka kwa mfumo wa kidogo kidogo
Maulamaa katika elimu ya Quran wametofautiana juu ya aya ya mwisho kushuka. Hata hivyo hapa nitakutajia ambayo imependekezwa zaidi
Post hii inakwenda kukuambia maana ya Quran
Post hii inakwenda kukuorodheshea aina saba za viraka vya usomaji wa Quran.
Mada zipo katika makundi mawili ambayo ni madda far-iy na mdada twab-iy.
Madda zimegawanyika katika maeneo makuu mawili ambayo ni madda twabiy na madda fariy
waqfu ni misimamo ambapo msomaji wa Quran anaruhusiwa kusimama, kuhema au kumeza mate. Na ibtidai ni kuanza baada ya...
Laam al- maarifa inaweza kusomwa kwa idgham au idh-har pindibitakapokutana na herufi za shamsiya au qamariya.
Tarqiq ni kuisoma herufi kwa kuipa wepesi na tqfkhim ni kuisoma herufi kwa kuipa uzito.
Qalqala imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Qalqalatul qubra yaani qalqala kubwa na qalqalat as shughura yaani qalqala ndogo.
Qalqala imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Qalqalatul qubra yaani qalqala kubwa na qalqalat as shughura yaani qalqala ndogo.
Aina za idgham ni idgham al mutamathilain, na idgham al mutajanisain
Hukumu za kim sakina na tanwin ni idgham shafawiy, idh-har shafawiy, na Ikhfau shafawiy
Ikh-fau ni moja ya hukumu za nun sakina na tanwin kwenye hukumu za Quran tajwid
Post hii itakufundisha fadhila na faida za kusoma surat al Imran
Surat al Baqarah ni katika sura ambazo tunapaswa tuwe tunasoma mara kwa mara. Post hii itakufundisha kuhusu fadhila za sura...
Post hii inakwenda kufundisha fadhila na faida za kusoma Alhamdu.
Unazijua faida za kusoma Quran, na je ni faida gani utapata ukisoma Quran?
Hapa utajifunza maana ya iqlab katika usomaji wa Quran kwa tajwid
Kama tulivyoona kuwa id-ghamu ipo katika aina kuu mbili ambazo ni id-ghamu bighunnah na id-ghamu bighair ghumnah. Sasa hapa tutajifunza...
Hapa utajifunza kuhusu maana ya id-ghamu na aina zake.
Hapa utajifunza kuhusu hukumu ya Idh-har katika usomaji wa Quran.
Hapa utajifunza usomaji wa Quran pindi utakapokuta nuni yenyebsakina au tanwin
Hapa utajifunza kanuni za tajwid katika kusoma bismillah au basmalah.
Hapa nitakufindisha faida za kusoma quran kwa Tajwid.
Ni zipi hizo herufi saba, na ni vipi viraa saba katika usomaji wa Quran
Je unajuwa ni kwa nini unatakiwa usikose kusoma surat al Kahaf siku ya ijumaa. Makala hii itakujibu swali hili
Je kuna aina ngapi zabusomaji wa Quran
Hapa utajifunza maana ya Tajwid kilugha na kisheria. Pia nitakujuza jukumu ya kusoma tajwid.
Sura hii imetermka Makkah na ina aya 11. Sura hii ni moja ya sura ambazo zimeshuka mwanzoni wakati ambapo Mtume...
Makala hii itakwenda kukufundisha sababu za kushuka kwa alam nasharah yaani Surat Ash sharh.
Post hii itakwenda kukufundisha sababu za kushuka kwa surat at Tin (watin wazaitun).
Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Quran (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Asbsb nuzul surat al alaqa, sababu za kushuka surat alaqa. Sura hii imeshuka Makka na ina aya 19. Ni sura...
Asbab nuzul surat al qadi. Hii ni sura ya 97 katika mpangilio wa mashaf. Surat al qadir imeteremshwa Madina na...
Asbab nuzul surat al bayyinh. Sura hii imeteremka Madina na ina aya nane.
surat Zalzalah ni sura ya 99 katika mpangilio wa Quran, na ina aya 8. Sura hii imeteremshwa Madina ila pia...
Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w , sehemu ya 19. Hapa utajifunza maisha ya Mtume kabla ya utume.
Sura hii iliposhuka ilikuwa kama imekuja kuwasuta Wanafiki waliokuwa wakizungumzahabari za uongo kuhusu jeshi alilolituma Mtume wa Allah.
Surat Al qariah, ni moja katika sura zilizochuka miaka ya mwanzoni mwa utume.
Kuwa na tamaa huhitaji vitu vya watu si jambo jema. Ila kama tamaa hii itakuhamasisha na wewe kutafuta kitu hicho,...
Sura hii ni katika sura za kitawhidi sana. Maulamaa wanasema inatosha sura hii kuwa ni mawaidha. Imamu sharifu anasema...
Sura hii inaonya vikali tabia ya kusengenya na kusambaza habari za uongo. Wameonywa vikali wenye tabia ya kujisifu kwa mali,...
Al fiyl ni neno la Kiarabu lenye maana ya tembo. Sura hii inazungumziakisa cha jeshi lenye tembo. Jeshi hili lilikuwa...
Qurayh ni jina la kabila la Mtume Muhammad S.A.W. Sura hii itakwenda kukujulisha neema ambazo Maquraysh wamepewa na hawataoewa wao...
Sura hii ni katika sura ambazo zinahitaji kusomwa kwa mazingatio sana. Wanaoswali bila ya kuzingatia swala zao, wameonywa vikali...
Sura hii ni miongoni mwa Sura fupi sanya huwenda ndiosura yenye aya chache kuliko sura zote katika Quran.
Sura hii imekuja kukata rai ya Makafiri wa Makka kuhusu ibada ya ushirika. Hivi leo tungesema kuhusu dini mseto.
Sura hii ni katika sura za mwisho kushuka, huwendakuwa ndio ya mwisho kabisa. Masahaba waliamini kuwa sura hii imetabiri kifo...
Sura hii inazungumzia kuhusu hali ya Abulahab namke wake wakiwa kama Watu waovu. Ni moja katika sura ambazo zilishuka mwanzoni...
Surat Ikhlas ni katika sura za kitawhid ambazo zilishuka miaka siku za mwanzoni mwa utume. Sura hii imekuja kujibu maswali...
Sura mbili hizi pia hujulikana kwa jina la al muawidhatain ambazo ni surat an Nas na surat al falaq.
Kwa kuwa hakuna sababu mwalumu ikiyonukuliwa kuwa ndio chanzo cha kushushwa suravhii. Basi post hii itakujuza mambo ambayo huwenda hukuyajuwa...
Kujifunza tajwid ni katika mambo muhimu wakati wa kusoma Quran
Kusoma Qur'an kuna faida kubwa kwa Muislamu, kwanza kunampatia thawabu, kunatoa nuru maisha yake, mwili wake na kumlinda na mashetani...
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu srat al fatiha, faida zake na maudhui zake