Sababu za kushuka surat al bayyinah
Asbab nuzul surat al bayyinh. Sura hii imeteremka Madina na ina aya nane.
Surat al bayyinah imeshuka Madina kwa maelezo ya Jamhuri ya wanazuoni akiwemo Ibn Abas. Hata hivyo wapo ambao wamesema imeshuka Makka kwa kauli ya Yahya Ibn Sallaam (Tafsir qurtub).
Sura hii iliposhuka Mtume s. a.w aliamrishwa amsomee Ubayya.
عَنْ أَنَس٠بْن٠مَالÙك٠قَالَ: قَالَ رَسÙول٠اللَّه٠ﷺ Ù„ÙØ£Ùبَيّ٠بْن٠كَعْبÙ: "Ø¥Ùنَّ اللَّهَ أَمَرَنÙÙŠ أَنْ أَقْرَأَ عَلَيْكَ: " لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙن٠الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا " قَالَ: وَسَمَّانÙÙŠ Ù„ÙŽÙƒÙŽØŸ قَالَ: "نَعَمْ". Ùَبَكَى.
ÙˆÙŽØ±ÙŽÙˆÙŽØ§Ù‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¨ÙØ®ÙŽØ§Ø±ÙÙŠÙ‘ÙØŒ ÙˆÙŽÙ…ÙØ³Ù’Ù„Ùمٌ، ÙˆÙŽØ§Ù„ØªÙ‘ÙØ±Ù’Ù…ÙØ°ÙÙŠÙ‘ÙØŒ وَالنَّسَائÙÙŠÙ‘ÙØŒ Ù…Ùنْ ØÙŽØ¯ÙÙŠØ«Ù Ø´ÙØ¹Ù’بَةَ، بÙÙ‡Ù .
Imepokewa hadithi kutoka kwa Anas Ibn Malik kuwa amesema Mtume s.a. w kumwambia Ubayya Ibn Ka‘ab "Hakika Allah ameniamuru nikusomee (sura hii) lam yakun ladhiina kafaruu" akasema Ubayya "na nimetajwa kwa jina? " akasema Mtume "naam" hapo akalia kwa furaha (Bukhari na Muslim).
Sababu za kushuka sura hii
Hakuna tukio maalumu lilopelekea kushuka sura hii. Hata hivyo sura ipo wazi inaonyesha dhahiri kike ambacho kilikuwa kikiaminiwa na ahalul kitab na washirikina.
Sura inaeleza kuwa hapo awali Ahalul kitab na washirikina walikuwa wakiamini kuwa atakuja mtume wa Mwisho. Mahubiri haya yalikuwa yakitolewa na Mayahudi na Wakristo kuwaambia waumini wao na waarabu.
Lakini Mtume wa mwisho alipokuja wakamkataa na kumpinga. Alikuwa wakipinga ukweli kwa sababu ya chuki zao.
Allah anasema katika sura hii: -
(وَمَا تَÙَرَّقَ ٱلَّذÙینَ Ø£ÙوتÙوا۟ Ù±Ù„Û¡ÙƒÙØªÙŽÙ€Ù°Ø¨ÙŽ Ø¥Ùلَّا Ù…ÙÙ†Û¢ بَعۡد٠مَا جَاۤءَتۡهÙم٠ٱلۡبَیّÙÙ†ÙŽØ©Ù)
[Surah Al-Bayyinah 4]
Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
Mwisho kwa uovu huu wa kufarikiana na haki baada ya kuwajia bayana (uwazi na ukweli wa mambo) Allah amewaahidi kukaa maisha ya Motoni milele.
Fadhila za sura hii
kuhusu fadhila za sura hii, kuna hadithi nyingi lakini zinatikiwa shaka usahihi wake. Miongoni mwazo kuna inayosema kuwa sura hii haisomwi na mtu mnafiki wala mtu ambaye ana shaka juu ya Mwenyezi Mungu na kuwa Malaika wanaosoma sura hii na mwenye kuisoma Allah atampa Malaina wamuhifadhi…. Hadithi hii sio sahihi. Angalia Matini ya hadithi hapo chini.
عَنْ أَبÙÙŠ Ø§Ù„Ø¯Ù‘ÙŽØ±Ù’Ø¯ÙŽØ§Ø¡ÙØŒ قَالَ: قَالَ رَسÙول٠اللَّه٠صَلَّى الله: (لو يعلم الناس ما ÙÙŠ [لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙÙ†Ù [الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا Ù…Ùنْ Ø£ÙŽÙ‡Ù’Ù„Ù Ø§Ù„Ù’ÙƒÙØªÙŽØ§Ø¨Ù،، لَعَطَّلÙوا الْأَهْلَ وَالْمَالَ، ÙَتَعَلَّمÙوهَا) Ùَقَالَ رَجÙÙ„ÙŒ Ù…Ùنْ Ø®ÙØ²ÙŽØ§Ø¹ÙŽØ©ÙŽ: وَمَا ÙÙيهَا Ù…ÙÙ†ÙŽ الْأَجْر٠يَا رَسÙولَ Ø§Ù„Ù„Ù‘ÙŽÙ‡ÙØŸ قَالَ: (لَا يَقْرَؤÙهَا Ù…ÙنَاÙÙÙ‚ÙŒ أَبَدًا، وَلَا عَبْدٌ ÙÙÙŠ قَلْبÙه٠شَكٌّ ÙÙÙŠ اللَّهÙ. وَاللَّه٠إÙنَّ الْمَلَائÙكَةَ المقربين يقرءونها منذ خلق الله السموات وَالْأَرْضَ مَا ÙŠÙŽÙÙ’ØªÙØ±Ùونَ Ù…Ùنْ Ù‚ÙØ±ÙŽØ§Ø¡ÙŽØªÙهَا. وَمَا Ù…Ùنْ عَبْد٠يَقْرَؤÙهَا Ø¥Ùلَّا بَعَثَ اللَّه٠إÙلَيْه٠مَلَائÙكَةً ÙŠÙŽØÙ’ÙَظÙونَه٠ÙÙÙŠ دÙينÙه٠وَدÙÙ†Ù’ÙŠÙŽØ§Ù‡ÙØŒ وَيَدْعÙونَ Ù„ÙŽÙ‡Ù Ø¨ÙØ§Ù„ْمَغْÙÙØ±ÙŽØ©Ù وَالرَّØÙ’مَة٠(. قَالَ الْØÙŽØ¶Ù’رَمÙيّÙ: ÙÙŽØ¬ÙØ¦Ù’ت٠إÙÙ„ÙŽÙ‰ أَبÙÙŠ عَبْد٠الرَّØÙ’مَن٠بْن٠نÙÙ…ÙŽÙŠÙ’Ø±ÙØŒ Ùَأَلْقَيْت٠هَذَا الْØÙŽØ¯Ùيثَ Ø¹ÙŽÙ„ÙŽÙŠÙ’Ù‡ÙØŒ Ùقال: هذا قَدْ ÙƒÙŽÙَانَا مَئÙÙˆÙ†ÙŽØªÙŽÙ‡ÙØŒ Ùَلَا ØªÙŽØ¹ÙØ¯Ù’ Ø¥ÙلَيْهÙ. قَالَ ابْن٠الْعَرَبÙيّÙ:" رَوَى Ø¥ÙØ³Ù’ØÙŽØ§Ù‚Ù Ø¨Ù’Ù†Ù Ø¨ÙØ´Ù’ر٠الْكَاهÙÙ„Ùيّ٠عن مالك ابن Ø£ÙŽÙ†ÙŽØ³ÙØŒ عَنْ ÙŠÙŽØÙ’ÙŠÙŽÙ‰ بْن٠سَعÙÙŠØ¯ÙØŒ Ø¹ÙŽÙ†Ù Ø§Ø¨Ù’Ù†Ù Ø§Ù„Ù’Ù…ÙØ³ÙŽÙŠÙ‘َبÙ: عَنْ أَبÙÙŠ Ø§Ù„Ø¯Ù‘ÙŽØ±Ù’Ø¯ÙŽØ§Ø¡ÙØŒ عَن٠النَّبÙيّ٠ﷺ: (لَوْ يَعْلَم٠النَّاس٠مَا ÙÙÙŠ [لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙنْ [الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا لَعَطَّلÙوا الْأَهْلَ وَالْمَالَ وَلَتَعَلَّمÙوهَا) . ØÙŽØ¯Ùيثٌ بَاطÙÙ„ÙŒ
Angalia Tafsir Qurtub
Khabari njema kwa waumini
Mwisho sura inatia habari za furaha kuwa waliamini na kufanya vitendo vizuri yaani amali njema malipo yao ni pepo na wakae humo milele.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Je, mtu anaweza kusoma quran akiwa amelala?
Kusoma Qur'an kuna faida kubwa kwa Muislamu, kwanza kunampatia thawabu, kunatoa nuru maisha yake, mwili wake na kumlinda na mashetani na watu wabaya. Quran ni dawa na pozo kwa magonjwa. Thawabu za Qur-an hulipwa kwa kila herufi. Quran pia huja kutet
Soma Zaidi...Ni zipi hukumu za nuni yenye sakina au tanwin?
Hapa utajifunza usomaji wa Quran pindi utakapokuta nuni yenyebsakina au tanwin
Soma Zaidi...HUKUMU ZA MIIM YENYE SAKINA
SURA YA NNE HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA HUKUMU ZA MIYM SAKINA: Mym sakina ni miym ambayo haina i’rab ( مْ).
Soma Zaidi...Sababu za kushuka surat al qadir
Asbab nuzul surat al qadi. Hii ni sura ya 97 katika mpangilio wa mashaf. Surat al qadir imeteremshwa Madina na ina aya 5.
Soma Zaidi...Ni nini maana ya Tajwid, na ni ipi nafasi yake kwenye uislamu
Hapa utajifunza maana ya Tajwid kilugha na kisheria. Pia nitakujuza jukumu ya kusoma tajwid.
Soma Zaidi...