Asbab nuzul surat al bayyinh. Sura hii imeteremka Madina na ina aya nane.
Surat al bayyinah imeshuka Madina kwa maelezo ya Jamhuri ya wanazuoni akiwemo Ibn Abas. Hata hivyo wapo ambao wamesema imeshuka Makka kwa kauli ya Yahya Ibn Sallaam (Tafsir qurtub).
Sura hii iliposhuka Mtume s. a.w aliamrishwa amsomee Ubayya.
عَنْ أَنَس٠بْن٠مَالÙك٠قَالَ: قَالَ رَسÙول٠اللَّه٠ﷺ Ù„ÙØ£Ùبَيّ٠بْن٠كَعْبÙ: "Ø¥Ùنَّ اللَّهَ أَمَرَنÙÙŠ أَنْ أَقْرَأَ عَلَيْكَ: " لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙن٠الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا " قَالَ: وَسَمَّانÙÙŠ Ù„ÙŽÙƒÙŽØŸ قَالَ: "نَعَمْ". Ùَبَكَى.
وَرَوَاه٠الْبÙخَارÙيّÙØŒ ÙˆÙŽÙ…ÙسْلÙمٌ، وَالتّÙرْمÙØ°ÙيّÙØŒ وَالنَّسَائÙيّÙØŒ Ù…Ùنْ ØَدÙيث٠شÙعْبَةَ، بÙÙ‡Ù .
Imepokewa hadithi kutoka kwa Anas Ibn Malik kuwa amesema Mtume s.a. w kumwambia Ubayya Ibn Ka‘ab "Hakika Allah ameniamuru nikusomee (sura hii) lam yakun ladhiina kafaruu" akasema Ubayya "na nimetajwa kwa jina? " akasema Mtume "naam" hapo akalia kwa furaha (Bukhari na Muslim).
Sababu za kushuka sura hii
Hakuna tukio maalumu lilopelekea kushuka sura hii. Hata hivyo sura ipo wazi inaonyesha dhahiri kike ambacho kilikuwa kikiaminiwa na ahalul kitab na washirikina.
Sura inaeleza kuwa hapo awali Ahalul kitab na washirikina walikuwa wakiamini kuwa atakuja mtume wa Mwisho. Mahubiri haya yalikuwa yakitolewa na Mayahudi na Wakristo kuwaambia waumini wao na waarabu.
Lakini Mtume wa mwisho alipokuja wakamkataa na kumpinga. Alikuwa wakipinga ukweli kwa sababu ya chuki zao.
Allah anasema katika sura hii: -
(وَمَا تَÙَرَّقَ ٱلَّذÙینَ Ø£ÙوتÙوا۟ ٱلۡكÙتَـٰبَ Ø¥Ùلَّا Ù…ÙÙ†Û¢ بَعۡد٠مَا جَاۤءَتۡهÙم٠ٱلۡبَیّÙÙ†ÙŽØ©Ù)
[Surah Al-Bayyinah 4]
Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
Mwisho kwa uovu huu wa kufarikiana na haki baada ya kuwajia bayana (uwazi na ukweli wa mambo) Allah amewaahidi kukaa maisha ya Motoni milele.
Fadhila za sura hii
kuhusu fadhila za sura hii, kuna hadithi nyingi lakini zinatikiwa shaka usahihi wake. Miongoni mwazo kuna inayosema kuwa sura hii haisomwi na mtu mnafiki wala mtu ambaye ana shaka juu ya Mwenyezi Mungu na kuwa Malaika wanaosoma sura hii na mwenye kuisoma Allah atampa Malaina wamuhifadhi…. Hadithi hii sio sahihi. Angalia Matini ya hadithi hapo chini.
عَنْ أَبÙÙŠ الدَّرْدَاءÙØŒ قَالَ: قَالَ رَسÙول٠اللَّه٠صَلَّى الله: (لو يعلم الناس ما ÙÙŠ [لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙÙ†Ù [الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا Ù…Ùنْ أَهْل٠الْكÙتَابÙ،، لَعَطَّلÙوا الْأَهْلَ وَالْمَالَ، ÙَتَعَلَّمÙوهَا) Ùَقَالَ رَجÙÙ„ÙŒ Ù…Ùنْ Ø®Ùزَاعَةَ: وَمَا ÙÙيهَا Ù…ÙÙ†ÙŽ الْأَجْر٠يَا رَسÙولَ اللَّهÙØŸ قَالَ: (لَا يَقْرَؤÙهَا Ù…ÙنَاÙÙÙ‚ÙŒ أَبَدًا، وَلَا عَبْدٌ ÙÙÙŠ قَلْبÙه٠شَكٌّ ÙÙÙŠ اللَّهÙ. وَاللَّه٠إÙنَّ الْمَلَائÙÙƒÙŽØ©ÙŽ المقربين يقرءونها منذ خلق الله السموات وَالْأَرْضَ مَا ÙŠÙŽÙْتÙرÙونَ Ù…Ùنْ Ù‚ÙرَاءَتÙهَا. وَمَا Ù…Ùنْ عَبْد٠يَقْرَؤÙهَا Ø¥Ùلَّا بَعَثَ اللَّه٠إÙلَيْه٠مَلَائÙكَةً ÙŠÙŽØÙ’ÙَظÙونَه٠ÙÙÙŠ دÙينÙه٠وَدÙنْيَاهÙØŒ وَيَدْعÙونَ لَه٠بÙالْمَغْÙÙرَة٠وَالرَّØْمَة٠(. قَالَ الْØَضْرَمÙيّÙ: ÙَجÙئْت٠إÙÙ„ÙŽÙ‰ أَبÙÙŠ عَبْد٠الرَّØْمَن٠بْن٠نÙمَيْرÙØŒ Ùَأَلْقَيْت٠هَذَا الْØَدÙيثَ عَلَيْهÙØŒ Ùقال: هذا قَدْ ÙƒÙŽÙَانَا مَئÙونَتَهÙØŒ Ùَلَا تَعÙدْ Ø¥ÙلَيْهÙ. قَالَ ابْن٠الْعَرَبÙيّÙ:" رَوَى Ø¥ÙسْØَاق٠بْن٠بÙشْر٠الْكَاهÙÙ„Ùيّ٠عن مالك ابن أَنَسÙØŒ عَنْ ÙŠÙŽØْيَى بْن٠سَعÙيدÙØŒ عَن٠ابْن٠الْمÙسَيَّبÙ: عَنْ أَبÙÙŠ الدَّرْدَاءÙØŒ عَن٠النَّبÙيّ٠ﷺ: (لَوْ يَعْلَم٠النَّاس٠مَا ÙÙÙŠ [لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙنْ [الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا لَعَطَّلÙوا الْأَهْلَ وَالْمَالَ وَلَتَعَلَّمÙوهَا) . ØَدÙيثٌ بَاطÙÙ„ÙŒ
Angalia Tafsir Qurtub
Khabari njema kwa waumini
Mwisho sura inatia habari za furaha kuwa waliamini na kufanya vitendo vizuri yaani amali njema malipo yao ni pepo na wakae humo milele.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1896
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Kitabu cha Afya
surat al mauun
SURATUL-MAM’UUN Imeteremshwa Maka, anasimulia Ibn Jurayj kuwa Abuu Sufyan ibn Harb alikuwa na kawaida ya kuchinja ngamia wawili kila wiki, hivyo siku moja yatima mmoja alikuja kwake na kumlilia shida, na hakumsaidia kwa chochote na hatimaye akampiga yat.. Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat Ikhlas
Surat Ikhlas ni katika sura za kitawhid ambazo zilishuka miaka siku za mwanzoni mwa utume. Sura hii imekuja kujibu maswali mengi kuhusu Allah ikiwemo, Allah ni nani? Soma Zaidi...
Tofauti kat ya sura za Maka na Madina
Sura za Makka na Madina Kutokana na historia ya kushuka kwake sura za Qur-an zimegawanywa katika makundi mawili - sura za Makka na sura za Madina. Soma Zaidi...
Ni ipi aya ya mwisho kushuka katika Quran?
Maulamaa katika elimu ya Quran wametofautiana juu ya aya ya mwisho kushuka. Hata hivyo hapa nitakutajia ambayo imependekezwa zaidi Soma Zaidi...
quran na sayansi
Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat at Takaathur
Kuwa na tamaa huhitaji vitu vya watu si jambo jema. Ila kama tamaa hii itakuhamasisha na wewe kutafuta kitu hicho, kwa uwezo ambao Allah amekupa bila ha kuvuka mipaka yake, hili sio tatizo. Sura hii itakufundisha mengi Soma Zaidi...
Quran si maneno ya shetani
Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al humazah
Sura hii inaonya vikali tabia ya kusengenya na kusambaza habari za uongo. Wameonywa vikali wenye tabia ya kujisifu kwa mali, kukusanya mali bila ya kuitolea zaka. Soma Zaidi...
Hukumu za Tajwid katika usomaji wa bismillah (basmalah)
Hapa utajifunza kanuni za tajwid katika kusoma bismillah au basmalah. Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al bayyinah
Asbab nuzul surat al bayyinh. Sura hii imeteremka Madina na ina aya nane. Soma Zaidi...
Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.w)
Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s. Soma Zaidi...