picha

Sababu za kushuka kwa surat Dhuha

Sura hii imetermka Makkah na ina aya 11. Sura hii ni moja ya sura ambazo zimeshuka mwanzoni wakati ambapo Mtume ameanza kazi ya utume.

Surat Dhuha ni sura iliyoshuka Makkah siku za mwanzoni za kulingana Ummah.  Sura hii imekuja kuwa kama faraja kwa Mtume kuwa kutokana na yale yaliyokuwa yakitokea kama changamoto za kulingania dini. 

 

Sura hii ilishuka wakati ambao wahay ulisimama. Hivyo iliposhuka sura hii Mtume s.sa. w alifurahi sana. Kwani makafiri walikuwa wakimwambia Mtume kuwa amekasirikiwa na Mola wake. 

 

Sura hii na sifa inayofuatwa zinampa daraja Mtume na kumuimarisha katika kazi ya kukibgania dini ya Allah. 

 

Sura hii pia imetaja baadhi ya neema ambazo Allah amrmpatia Mtume wake.  Kisha okampa fundisho kuwa asimkemee wala kumkasirikia yatima ama mtu mwenye kuomba. Mwisho sura ikamtaka Mtume s.sa. w awe anahadithia neema alizopewa na Allah. 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Quran Main: Post File: Download PDF Views 2501

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 ai web app     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Aasbab Nuzul surat Ash sharh: sababu za kushuka alam nashrah (surat Ash sharh)

Makala hii itakwenda kukufundisha sababu za kushuka kwa alam nasharah yaani Surat Ash sharh.

Soma Zaidi...
Quran na sayansi

3; Mchujo wa maji dhaliliKatika aya nyingine tunakuja kupata funzo kuwa maji aliyoumbiwa mwanadamu licha yakuwa na sifa zilizotajwa katika kurasa zilizopita ila pia maji haya yanasifa kuwa ni madhalilina pia na yamechujwa kama tunavyoelezwa katika quran??

Soma Zaidi...
Nini maana ya Quran

Post hii inakwenda kukuambia maana ya Quran

Soma Zaidi...
Faida za kujuwa Quran tajwid

Hapa nitakufindisha faida za kusoma quran kwa Tajwid.

Soma Zaidi...