Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
7.0. SUNNAH NA HADITH.
7.1. Hoja juu ya Kukubalika Hadith.
“Anachokupeni Mtume chukuweni na anachokukatazeni nacho kiacheni.” (59:7).
“Anayemtii Mtume ameshamtii Mwenyezi Mungu.” (4:80)
Rejea pia Qur’an (52:3-4).
Udhaifu wa dai hili;
- Kutoandikwa kwa Hadith kama ilivyoandikwa Qur’an sio hoja na sababu ya kutokubalika Hadith.
- Mtume mwenyewe aliwakataza Maswahaba kuandika Hadith wakati wa uhai wake.
Udhaifu wa Hoja hii;
- Kuna Wanachuoni wenye msimamo madhubuti waliobobea katika elimu ya Hadith na hawakujihusisha na migogoro yeyote iliyozuka.
- Vigezo vya kisayansi kama Isnad, Riwaya na Matin vilitumika katika kuchambua usahihi na udhaifu wa Hadith.
Udhaifu wa Hoja hii;
- Sunnah ya Mtume (s.a.w) ni maelezo juu ya maisha yake ambayo maswahaba walirithishana baada ya kutawafu (kufa) Mtume.
- Ukusanyaji na uandishi wa Hadith ulifanyika kwa utaalamu wa kisayansi katika kubaini ukweli wa Hadith.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2022/01/25/Tuesday - 10:05:39 am Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1515
Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Kitau cha Fiqh
Fadhila za kusoma surat al Imran
Post hii itakufundisha fadhila na faida za kusoma surat al Imran Soma Zaidi...
quran na sayansi
YALIYOMONENO LA AWALI1. Soma Zaidi...
Maudhui ya Qur-an na Mvuto wa Ujumbe Wake
Soma Zaidi...
Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r.a)
Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r. Soma Zaidi...
Faida za kujuwa Quran tajwid
Hapa nitakufindisha faida za kusoma quran kwa Tajwid. Soma Zaidi...
MAANA YA Quran
Maana na majina ya Quran Maana ya Wahyi. Soma Zaidi...
Naman ya kuiendea quran na kuifanyia kazi baada ya kuisoma
Soma Zaidi...
Nini maana ya Iqlab katika hukumu za tajwid
Hapa utajifunza maana ya iqlab katika usomaji wa Quran kwa tajwid Soma Zaidi...
Ni nini maana ya id-gham katika hukumu za tajwid
Hapa utajifunza kuhusu maana ya id-ghamu na aina zake. Soma Zaidi...
Maana ya qalqala na aina zake katika usomaji wa Quran tajwid
Qalqala imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Qalqalatul qubra yaani qalqala kubwa na qalqalat as shughura yaani qalqala ndogo. Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat Ikhlas
Surat Ikhlas ni katika sura za kitawhid ambazo zilishuka miaka siku za mwanzoni mwa utume. Sura hii imekuja kujibu maswali mengi kuhusu Allah ikiwemo, Allah ni nani? Soma Zaidi...
mgawanyiko katika quran
MGAWANYIKO KATIKA QURAN Juzuu, Sura, Aya, Manzil, Qara Wataalamu wa elimu za Qurani katika fani za uandishi na usomaji wameigawanya Qurani katika mafungu ili kuwezesha urahisi kwa wasomaji wa qurani. Soma Zaidi...