Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
7.0. SUNNAH NA HADITH.
7.1. Hoja juu ya Kukubalika Hadith.
“Anachokupeni Mtume chukuweni na anachokukatazeni nacho kiacheni.” (59:7).
“Anayemtii Mtume ameshamtii Mwenyezi Mungu.” (4:80)
Rejea pia Qur’an (52:3-4).
Udhaifu wa dai hili;
- Kutoandikwa kwa Hadith kama ilivyoandikwa Qur’an sio hoja na sababu ya kutokubalika Hadith.
- Mtume mwenyewe aliwakataza Maswahaba kuandika Hadith wakati wa uhai wake.
Udhaifu wa Hoja hii;
- Kuna Wanachuoni wenye msimamo madhubuti waliobobea katika elimu ya Hadith na hawakujihusisha na migogoro yeyote iliyozuka.
- Vigezo vya kisayansi kama Isnad, Riwaya na Matin vilitumika katika kuchambua usahihi na udhaifu wa Hadith.
Udhaifu wa Hoja hii;
- Sunnah ya Mtume (s.a.w) ni maelezo juu ya maisha yake ambayo maswahaba walirithishana baada ya kutawafu (kufa) Mtume.
- Ukusanyaji na uandishi wa Hadith ulifanyika kwa utaalamu wa kisayansi katika kubaini ukweli wa Hadith.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Quran Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2194
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 Simulizi za Hadithi Audio
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5 Kitau cha Fiqh
👉6 Madrasa kiganjani
Dai kuwa Muhammad Alitunga Qur-an ili Ajinufaishe Kiuchumi
Soma Zaidi...
MAANA YA Quran
Maana na majina ya Quran Maana ya Wahyi. Soma Zaidi...
Sifa za wanafiki katika quran
Soma Zaidi...
Viraa saba na herufi saba katika usomaji wa quran
Ni zipi hizo herufi saba, na ni vipi viraa saba katika usomaji wa Quran Soma Zaidi...
Sababu za kushukasurat an Nasr
Sura hii ni katika sura za mwisho kushuka, huwendakuwa ndio ya mwisho kabisa. Masahaba waliamini kuwa sura hii imetabiri kifo cha Mtume S.A.W Soma Zaidi...
Fadhila za kusoma Quran na umuhimu wa kusoma Quran
Unazijua faida za kusoma Quran, na je ni faida gani utapata ukisoma Quran? Soma Zaidi...
Fadhila za surat al-fatiha na sababu za kushuka kwake
1. Soma Zaidi...
Quran haikuchukuliwa kutoka kwenye biblia
Soma Zaidi...
quran na tajwid
TAJWID Utangulizi wa elimu ya Tajwid YALIYOMO SURA YA 01 . Soma Zaidi...
quran na sayansi
YALIYOMONENO LA AWALI1. Soma Zaidi...