Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
7.0. SUNNAH NA HADITH.
7.1. Hoja juu ya Kukubalika Hadith.
“Anachokupeni Mtume chukuweni na anachokukatazeni nacho kiacheni.” (59:7).
“Anayemtii Mtume ameshamtii Mwenyezi Mungu.” (4:80)
Rejea pia Qur’an (52:3-4).
Udhaifu wa dai hili;
- Kutoandikwa kwa Hadith kama ilivyoandikwa Qur’an sio hoja na sababu ya kutokubalika Hadith.
- Mtume mwenyewe aliwakataza Maswahaba kuandika Hadith wakati wa uhai wake.
Udhaifu wa Hoja hii;
- Kuna Wanachuoni wenye msimamo madhubuti waliobobea katika elimu ya Hadith na hawakujihusisha na migogoro yeyote iliyozuka.
- Vigezo vya kisayansi kama Isnad, Riwaya na Matin vilitumika katika kuchambua usahihi na udhaifu wa Hadith.
Udhaifu wa Hoja hii;
- Sunnah ya Mtume (s.a.w) ni maelezo juu ya maisha yake ambayo maswahaba walirithishana baada ya kutawafu (kufa) Mtume.
- Ukusanyaji na uandishi wa Hadith ulifanyika kwa utaalamu wa kisayansi katika kubaini ukweli wa Hadith.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Hukumu za kim sakina na tanwin ni idgham shafawiy, idh-har shafawiy, na Ikhfau shafawiy
Soma Zaidi...TAHADHARI KWA WASOMAJI WA QURAN Wasomaji wa qurani wawe na tahadhari katika usomaji wao.
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha sababu za kushuka kwa surat at Tin (watin wazaitun).
Soma Zaidi...SURATUN-NASR Sura hii imeteremka wakati Mtume (s.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza usomaji wa Quran pindi utakapokuta nuni yenyebsakina au tanwin
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...