Je kuna aina ngapi zabusomaji wa Quran
Aina za usomaji wa qurani:
Wataalamu wa elimu ya tajweed wamegawa aina za usomaji katika makundi makuu yafuatayo;-
1.At-Tahqiyq huu ni usomaji wa taratibu kwa kuzingatia hukumu za tajwid na kuzingatia maana. Msomaji atasimama panapotakiwa na atapumzika panapotakiwa. Kila herufi itapewa haki yake kulingana na inavyotamkwa.
2.Al-Hadr huu ni usomaji wa haraka kwa kuzingatia hukumu za tajwid. Hapa msomaji atazingatia hukumu zote na anatakiwa awe makini katika kufanya ghunnah. Hapa msomaji anaweza kuvuta kwa kiwango cha chini mada. Yaani kama mada ina haraka 2 mpaka sita anaweza kuishia kwenye mbili.
3.At-Tadwiyr hapa msomaji atasoma qurani kati ya usomaji wa aina mbili tulizozitaja hapo juu. Na huu ndio uso wa kawaida na wengi wa watu watu wanautumia.
Umeionaje Makala hii.. ?
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kushuka surat Al-Humazah katika quran
Soma Zaidi...Kujifunza tajwid ni katika mambo muhimu wakati wa kusoma Quran
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...