Mada zipo katika makundi mawili ambayo ni madda far-iy na mdada twab-iy.
MADD (Al-Maddul-Far-’iy)
Al-Maddul-Far-’iy
ุงููู
ูุฏูู ุงููููุฑูุนู - Al-Maddul-Far-’iy
Madd ambayo hutegemea sababu nyengine ima iwe hamzah au sukuwn ili iweze kurefushwa kuvutwa kwake kuishinda ู
ูุฏู ุงูุทููุจููุนู (maddutw-twabiy’iy) na hiyo sababu ya nje. Imeitwa ‘Al-Far-iy’ (tawi) kwa sababu madd hizi sio za asili bali zimechipuka kutoka katika ู
ูุฏู ุงูุทููุจููุนู (maddutw-twabiy’iy) . ู
ูุฏูู ุงููููุฑูุนูู Maddul-Far-‘iy Hugawanyika sehemu mbili kutokana na sababu inayopelekea kuwa madd:
• Madd kutokana na hamzah
ู
ูุฏูู ุงูููุงุฌูุจู ุงููู
ูุชููุตูู . 1 Maddul-Waajib Al-Muttaswil
ู
ูุฏูู ุงูุฌูุงุฆุฒู ุงูู
ููููุตูู . 2 Maddul-Jaaiz Al-Munfaswil
ู
ู ุฏูู ุงูุตููู ุฉู ุงููููุจูุฑูู . 3 Maddusw-Swillatil-Kubraa
• Madd kutokana na sukuwn
ู
ูุฏู ุงููุนุงุฑูุถ ูููุณูููููู . 1 Maddul-‘aaridhwi lis-sukuwn
ู
ูุฏู ุงู ููู . 2 Maddul-liyn
ู
ูุฏ ุงูููุงุฒูู
. 3 Maddul-laazim
Madd kutokana na hamzah:
ู
ูุฏูู ุงูููุงุฌูุจู ุงููู
ูุชููุตูู . 1 (Maddul-Waajib Al-Muttaswil) Na inaitwa ‘Waajib’ kwa kuwa Maqurraa wote wamekubaliana kuivuta zaidi kuliko ู
ูุฏู ุงูุทููุจููุนู (maddutw-twabiy’iy). Na inaitwa ‘Muttaswil’ kwa kuwepo hamzah na madd katika neno moja. Hukmu yake katika riwaayah ya Hafsw ‘an ‘Aaswim twariyq Ash-Shaatwibiyyah ni kuivuta ima kwa harakah nne au tano.
2 (Maddul-Jaaiz Al-Munfaswil) Ni kuwepo herufi ya madd mwisho wa neno, na kufuatiwa na hamzah katika mwanzo wa neno linaloifuatia. Huvutwa haraka nne mpaka tano.
Madd kutokana na sukuwn
ู
ูุฏูู ุงููุนุฃุฑูุถ ูููุณูููููู .. 1 Maddul-‘aaridhw lis-sukuwn
Ni kuwepo baada ya herufi ya madd na baada yake sukuwn ’aaridhw kwa sababu ya kusimama. Hukmu yake kwa kila qiraa-ah inajuzu kuivuta katika hali tatu:
• Qaswr (kuifupisha) kama harakah mbili
• Tawasw-swutw (wastani) harakah nne
• Twuwl (kurefusha) harakah sita.
2 Maddul-Liyn
Hii ni madd ambayo ni tofauti na madd nyinginezo kwa sababu herufi zake ni tofauti kwani hizo zinajulikana ni ‘herufi za madd’ ( ุง ู ู ) zinazonasibiana na i’raab katika herufi ya kabla yake. Ama hii inajulikana kuwa ni ‘Harfulliyn’. Herufi za ุงูููููู (liyn) ni herufi za ู au ู zinapokuwa saakin na kabla yake ni herufi iliyokuwa na fat-hah: ÏImeitwa ุงูููููู (liyn) kwa sababu ya kutamkwa kwake kwa usahali (ulaini) bila ya taklifu.
ุงูููููู (liyn)Ni kuwepo baada ya herufi ya ุงูููููู na baada yake sukuwn ’aaridhw kwa sababu ya kusimama. Hukmu yake ni kuvutwa harakah ima mbili au nne au sita kwa kila qiraaah
3 Maddul-Laazim
Ni kuwepo baada ya herufi ya madd herufi saakin yenye sukuwn ya asili ambayo inayothibiti wakati wa kusimama na kuunganisha. Maqurraa wamewafikiana katika kuivuta madd hii harakah sita. ู
ูุฏ ุงูููุงุฒูู
(maddullaazim) na huvutwa haraka 6 inagawanyika sehemu mbili:
I. ุงููููููู
ููู Al-Kalimiyy (ya neno)
II. ุงูุญููุฑููููู Al-Harfiyy (ya herufi)
I. ุงููููููู
ููู Al-Kalimiyy (ya neno):
i. ุฃู ู
ูุฏู ุงูููุงุฒูู
ุงููููููู
ููู ุงููู
ูุซููููู Al-Madd Al-Laazim Al-Kalimiyyi Al-Muthaqqal
Huitwa ุงููููููู
ููู (ya neno) kwa vile inatokana na neno. Huitwa ุงููู
ูุซููููู (iliyo nzito) itakapokuja baada ya herufi ya madd herufi yenye shaddah. Itambulike kuwa herufi yenye shaddah asili yake ni herufi mbili zinazofanana; ya kwanza huwa ni saakin na ya pili ni yenye i’raab, hivyo ikatokea idghaam.
ii. ุงููู
ูุฏูู ุงููุงููุฒูู
ู ุงููููููู
ูููู ุงููู
ูุฎููููู Al-Madd Al-Laazim Al-Kalimiyyi Al-Mukhaffaf
Huitwa ุงููููููู
ูููู (ya neno) kwa vile inatokana na neno. Huitwa ุงููู
ูุฎููููู (khafifu) itakapokuja baada ya herufi ya madd herufi saakin isiyo na shaddah kwa maana, hapatoeki idghaam. Katika riwaayah ya Hafsw ‘an ‘Aaswim hakuna isipokuwa mara mbili pekee katika neno moja tu nalo ni tø9!#u katika Swurat
Yuwnus aya 51 na 91
II. ุงูุญููุฑููููู Al-Harfiyy: (ya neno)
ุงููู
ูุฏ ุงูููุงุฒูู
ู ุงูุญููุฑููููู Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy ni madd inayopatikana katika herufi zilizokuja kwenye mwanzo wa Suwrah 29 za Qur-aan zinazoitwa:
ุงูุญููุฑููู ุงููู
ูููุทููุนุฉ Al-Huruwf Al-Muqatw-twa’ah (Herufi zilizokatika) kwa maana zinatamkwa kama herufi za hijaaiyyah. Jumla ya herufi hizo ni 14 ambazo zimeundwa katika ibara kadhaa mojawapo ni: ุทุฑู ุณู
ุนู ุงููุตูุญู
Baadhi ya hizi Al-Huruwf Al-Muqatw-twa’ah zimekariri zaidi ya mara moja na kuzifanya jumla kuwa ni ishirini na tisa:
Herufi hizi zimegawika sehemu nne:
• Isiyo na madd nayo ni ุงูู) ุง ) Alif -haivutwi kabisa.
• Madd harakah mbili katika herufi za 1 ุญู ุทูุฑ
• Madd haraka mbili au nne au sita katika herufi ya ุนูู) ุน ) kwa kuwa inatekelezwa kwa ู
ูุฏูู ุงูููููู (maddul-liyn)
• Madd harakah sita katika herufi za ุณููุต ููู
(ุณูู – ููู – ูุงู – ุตุงุฏ – ูุงู
– ูุงู – ู
ูู
)
Imegawanyika katika sehemu mbili:
ุงููู
ูุฏูู ุงููุงููุฒูู
ู ุงูุญููุฑููููู ุงูู
ุซูููููู -Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy Al-Muthaqqal na ุงููู
ุฏ ุงูููุงุฒูู
ุงูุญููุฑููููู ุงููู
ูุฎููููู - Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy Al-Mukhaffaf
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Has utakwenda kujifunza utofauti was Hadithi Al Quds na Quran
Soma Zaidi...HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA : Mym sakina ni miym ambayo haina iโrab ( ู ู).
Soma Zaidi...TAHADHARI KWA WASOMAJI WA QURAN Wasomaji wa qurani wawe na tahadhari katika usomaji wao.
Soma Zaidi...Surat al Baqarah ni katika sura ambazo tunapaswa tuwe tunasoma mara kwa mara. Post hii itakufundisha kuhusu fadhila za sura hii.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Tajwid kilugha na kisheria. Pia nitakujuza jukumu ya kusoma tajwid.
Soma Zaidi...