AINA ZA MADA YAANI KUVUTA KWENYE USOMAJI WA QURAN: MADD (Al-Maddul-Far-โ€™iy), Maddul-Jaaiz Al-Munfaswil, Maddul-Liyn,

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

AINA ZA MADA YAANI KUVUTA KWENYE USOMAJI WA QURAN: MADD (Al-Maddul-Far-โ€™iy), Maddul-Jaaiz Al-Munfaswil, Maddul-Liyn,

SURA YA 11
MADD (Al-Maddul-Far-โ€™iy)

Al-Maddul-Far-โ€™iy
ุงู„ู’ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ููŽุฑู’ุนูŠ - Al-Maddul-Far-โ€™iy
Madd ambayo hutegemea sababu nyengine ima iwe hamzah au sukuwn ili iweze kurefushwa kuvutwa kwake kuishinda ู…ูŽุฏู ุงู„ุทู‘ูŽุจููŠุนูŠ (maddutw-twabiyโ€™iy) na hiyo sababu ya nje. Imeitwa โ€˜Al-Far-iyโ€™ (tawi) kwa sababu madd hizi sio za asili bali zimechipuka kutoka katika ู…ูŽุฏู ุงู„ุทู‘ูŽุจููŠุนูŠ (maddutw-twabiyโ€™iy) . ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ููŽุฑู’ุนููŠ Maddul-Far-โ€˜iy Hugawanyika sehemu mbili kutokana na sababu inayopelekea kuwa madd:
โ€ข Madd kutokana na hamzah
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ูˆุงุฌูุจู ุงู„ู’ู…ูุชู‘ูŽุตูู„ . 1 Maddul-Waajib Al-Muttaswil
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ุฌู’ุงุฆุฒู ุงู„ู…ู†ูู’ูุตูู„ . 2 Maddul-Jaaiz Al-Munfaswil
ู…ูŽ ุฏู‘ู ุงู„ุตู‘ูู„ ุฉู ุงู„ู’ูƒูุจู’ุฑูŽู‰ . 3 Maddusw-Swillatil-Kubraa

โ€ข Madd kutokana na sukuwn
ู…ูŽุฏู‘ ุงู„ู’ุนุงุฑูุถ ู„ูู„ุณู‘ููƒููˆู† . 1 Maddul-โ€˜aaridhwi lis-sukuwn
ู…ูŽุฏู‘ ุงู„ ู„ูŠู† . 2 Maddul-liyn
ู…ูŽุฏ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู… . 3 Maddul-laazim

Madd kutokana na hamzah:
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ูˆุงุฌูุจู ุงู„ู’ู…ูุชู‘ูŽุตูู„ . 1 (Maddul-Waajib Al-Muttaswil) Na inaitwa โ€˜Waajibโ€™ kwa kuwa Maqurraa wote wamekubaliana kuivuta zaidi kuliko ู…ูŽุฏู ุงู„ุทู‘ูŽุจููŠุนูŠ (maddutw-twabiyโ€™iy). Na inaitwa โ€˜Muttaswilโ€™ kwa kuwepo hamzah na madd katika neno moja. Hukmu yake katika riwaayah ya Hafsw โ€˜an โ€˜Aaswim twariyq Ash-Shaatwibiyyah ni kuivuta ima kwa harakah nne au tano.
MADD


2 (Maddul-Jaaiz Al-Munfaswil) Ni kuwepo herufi ya madd mwisho wa neno, na kufuatiwa na hamzah katika mwanzo wa neno linaloifuatia. Huvutwa haraka nne mpaka tano.
MADD

Madd kutokana na sukuwn
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ุนุฃุฑูุถ ู„ูู„ุณู‘ููƒููˆู† .. 1 Maddul-โ€˜aaridhw lis-sukuwn
Ni kuwepo baada ya herufi ya madd na baada yake sukuwn โ€™aaridhw kwa sababu ya kusimama. Hukmu yake kwa kila qiraa-ah inajuzu kuivuta katika hali tatu:
โ€ข Qaswr (kuifupisha) kama harakah mbili
โ€ข Tawasw-swutw (wastani) harakah nne
โ€ข Twuwl (kurefusha) harakah sita.
MADD


2 Maddul-Liyn
Hii ni madd ambayo ni tofauti na madd nyinginezo kwa sababu herufi zake ni tofauti kwani hizo zinajulikana ni โ€˜herufi za maddโ€™ ( ุง ูˆ ูŠ ) zinazonasibiana na iโ€™raab katika herufi ya kabla yake. Ama hii inajulikana kuwa ni โ€˜Harfulliynโ€™. Herufi za ุงู„ู„ูู‘ูŠู† (liyn) ni herufi za ูˆ au ูŠ zinapokuwa saakin na kabla yake ni herufi iliyokuwa na fat-hah: รImeitwa ุงู„ู„ูู‘ูŠู† (liyn) kwa sababu ya kutamkwa kwake kwa usahali (ulaini) bila ya taklifu.
ุงู„ู„ูู‘ูŠู† (liyn)Ni kuwepo baada ya herufi ya ุงู„ู„ูู‘ูŠู† na baada yake sukuwn โ€™aaridhw kwa sababu ya kusimama. Hukmu yake ni kuvutwa harakah ima mbili au nne au sita kwa kila qiraaah

MADD
3 Maddul-Laazim
Ni kuwepo baada ya herufi ya madd herufi saakin yenye sukuwn ya asili ambayo inayothibiti wakati wa kusimama na kuunganisha. Maqurraa wamewafikiana katika kuivuta madd hii harakah sita. ู…ูŽุฏ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู… (maddullaazim) na huvutwa haraka 6 inagawanyika sehemu mbili:
I. ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ Al-Kalimiyy (ya neno)
II. ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ Al-Harfiyy (ya herufi)

I. ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ Al-Kalimiyy (ya neno):
i. ุฃู„ ู…ูŽุฏู‘ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู… ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ ุงู„ู’ู…ูุซูŽู‚ู‘ูŽู„ Al-Madd Al-Laazim Al-Kalimiyyi Al-Muthaqqal
Huitwa ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ (ya neno) kwa vile inatokana na neno. Huitwa ุงู„ู’ู…ูุซูŽู‚ู‘ูŽู„ (iliyo nzito) itakapokuja baada ya herufi ya madd herufi yenye shaddah. Itambulike kuwa herufi yenye shaddah asili yake ni herufi mbili zinazofanana; ya kwanza huwa ni saakin na ya pili ni yenye iโ€™raab, hivyo ikatokea idghaam.
MADD


ii. ุงู„ู’ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู„ุงู‘ูŽุฒูู…ู ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ู ุงู„ู’ู…ูุฎูŽูู‘ูŽู Al-Madd Al-Laazim Al-Kalimiyyi Al-Mukhaffaf
Huitwa ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ู (ya neno) kwa vile inatokana na neno. Huitwa ุงู„ู’ู…ูุฎูŽูู‘ูŽู (khafifu) itakapokuja baada ya herufi ya madd herufi saakin isiyo na shaddah kwa maana, hapatoeki idghaam. Katika riwaayah ya Hafsw โ€˜an โ€˜Aaswim hakuna isipokuwa mara mbili pekee katika neno moja tu nalo ni tรธ9!#u katika Swurat
Yuwnus aya 51 na 91

II. ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ Al-Harfiyy: (ya neno)
ุงู„ู’ู…ูŽุฏ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู…ู’ ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy ni madd inayopatikana katika herufi zilizokuja kwenye mwanzo wa Suwrah 29 za Qur-aan zinazoitwa:
ุงู„ุญูู’ุฑููˆู ุงู„ู’ู…ูู‚ูŽุทู‘ูŽุนุฉ Al-Huruwf Al-Muqatw-twaโ€™ah (Herufi zilizokatika) kwa maana zinatamkwa kama herufi za hijaaiyyah. Jumla ya herufi hizo ni 14 ambazo zimeundwa katika ibara kadhaa mojawapo ni: ุทุฑู‚ ุณู…ุนูƒ ุงู„ู†ุตูŠุญู‡
Baadhi ya hizi Al-Huruwf Al-Muqatw-twaโ€™ah zimekariri zaidi ya mara moja na kuzifanya jumla kuwa ni ishirini na tisa:
Herufi hizi zimegawika sehemu nne:
โ€ข Isiyo na madd nayo ni ุงู„ู) ุง ) Alif -haivutwi kabisa.
โ€ข Madd harakah mbili katika herufi za 1 ุญูŠ ุทู‡ุฑ
โ€ข Madd haraka mbili au nne au sita katika herufi ya ุนูŠู†) ุน ) kwa kuwa inatekelezwa kwa ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู„ูู‘ูŠู† (maddul-liyn)
โ€ข Madd harakah sita katika herufi za ุณู†ู‚ุต ู„ูƒู… (ุณูŠู† โ€“ ู†ูˆู† โ€“ ู‚ุงู โ€“ ุตุงุฏ โ€“ ู„ุงู… โ€“ ูƒุงู โ€“ ู…ูŠู…)
MADD

Imegawanyika katika sehemu mbili:
ุงู„ู’ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู„ุงู‘ูŽุฒูู…ู ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ ุงู„ู…ุซููŽู‚ู‘ูŽู„ -Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy Al-Muthaqqal na ุงู„ู’ู…ุฏ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู… ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ ุงู„ู’ู…ูุฎูŽูู‘ูŽู - Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy Al-Mukhaffaf


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Quran Main: Dini File: Download PDF Views 2462

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰3 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰5 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

IDGHAAM KATIKA LAAM

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

Soma Zaidi...
WAQFU WAL-IBTIDAAI

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka kwa Surat Al-Asr

Surat Al-Asri imeteremshwa Makka, na hapa utazujuwa sababu za kushuka kwa sura hii

Soma Zaidi...
Kulaaniwa Bani Israil

Pamoja na kuteuliwa na Allah(s.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al alaqa

Asbsb nuzul surat al alaqa, sababu za kushuka surat alaqa. Sura hii imeshuka Makka na ina aya 19. Ni sura ya 96 katika mpangilio wa Quran.

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya Idh-har katika usomaji wa Quran

Hapa utajifunza kuhusu hukumu ya Idh-har katika usomaji wa Quran.

Soma Zaidi...
quran na sayansi

YALIYOMONENO LA AWALI1.

Soma Zaidi...
Tofauti kat ya sura za Maka na Madina

Sura za Makka na Madina Kutokana na historia ya kushuka kwake sura za Qur-an zimegawanywa katika makundi mawili - sura za Makka na sura za Madina.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka kwa surat al qariah

Surat Al qariah, ni moja katika sura zilizochuka miaka ya mwanzoni mwa utume.

Soma Zaidi...