Kukusanywa na kuhifadhiwa kwa quran
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
6.3. Kukusanywa na Kuhifadhiwa kwa Qur’an.
- Qur’an ina ahadi ya kuhifadhiwa na kulindwa na Mwenyezi Mungu (s.w) tofauti na vitabu vingine kama aya zifuatazo zinavyobainisha;
“Hakika Sisi ndio tulioteremsha mawaidha haya (Qur’an) na hakika Sisi ndio tutakayoyalinda” (15:9).
“Hakitakifikia batili mbele yake wala nyuma yake, kimeteremshwa na Mwenye Hikima ahimidiwaye” (41:42).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 kitabu cha Simulizi π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Kitau cha Fiqh π6 Kitabu cha Afya
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 kitabu cha Simulizi π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Kitau cha Fiqh π6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Tafsiri na mafunzo ya sura zilizochaguliwa - Saratul-fiyl
Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...HUKUMU ZA MIIM YENYE SAKINA
SURA YA NNE HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA HUKUMU ZA MIYM SAKINA: Mym sakina ni miym ambayo haina iβrab ( Ω Ω).
Soma Zaidi...Sababu za kushuka surat al alaqa
Asbsb nuzul surat al alaqa, sababu za kushuka surat alaqa. Sura hii imeshuka Makka na ina aya 19. Ni sura ya 96 katika mpangilio wa Quran.
Soma Zaidi...