Sura hii ni miongoni mwa Sura fupi sanya huwenda ndiosura yenye aya chache kuliko sura zote katika Quran.
SURATUL-KAUTHAR
Imeteremshwa maka, na sura hii imeshuka kwa sababu al-aAs ibn Waail. Siku mija Mtume (s.a.w) alikuwa anatoka msikitini na akakutana na al-aAs ibn Waail na wakawa wanazungumzwa.
Basi walipoachana Al-aAs alipokuwa anaingia msikitini wakamuuliza Maquraish ulikuwa unazungumza na nani, akajibu nilikuwa nazungumza na mtu aliyekatikiwa na kizazi.
Yaani Mtume alifiwa na mtoto wake Abdullah ambaye ndiye mtoto wake wa kiume hivyo hakuna tena wa kumrithi na kuendeleza kizazi chake kwa imani kuwa kizazi kinaendelea kwa watoto wa kiume.
Na katika mapokezi mengine al-aAs alisema kuwa atakapokufa mtume hakuna mtu atakayemkumbuka maana hatakuwa na kizazi tena. Hivyo Allah ndipo akashusha sura hii.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
SURAT AL-FIILSura hii imeteremshwa Makkah na ina Aya Sita pamoja na Basmallah.
Soma Zaidi...Tafsiri ya quran kw akiswahili, imeandikw ana Shekh Ali Muhsin al-Barwani
Soma Zaidi...Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...3; Mchujo wa maji dhaliliKatika aya nyingine tunakuja kupata funzo kuwa maji aliyoumbiwa mwanadamu licha yakuwa na sifa zilizotajwa katika kurasa zilizopita ila pia maji haya yanasifa kuwa ni madhalilina pia na yamechujwa kama tunavyoelezwa katika quran??
Soma Zaidi...SURAT AL-MUAWIDHATAYN (SURAT AL-FALAQ NA SURATUN-NAS) Inaelezwa kuwa sura mbili hizi zilishuka pamoja, na maulamaa wanaelezea kuwa Mtume (s.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...